Umemaliza yote.Dodoma ni porini bwashee!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemaliza yote.Dodoma ni porini bwashee!
Hapa mama atafute namna ya kumtoa hata ikibidi kupoteza kichwa hiki,huwa ana kauli za kumpinga Sana Samia.
.Hivi nyinyi vitimbakwiri ni nani wa kumtisha Rais?
Yani genge la wahuni wa Kisukuma ndio mumjambishe Rais?
Subiri Mbowe aachiliwe tuanze kuwashughulikia wote.
Amenyimwa jina la soko !!Badala ya kuitwa Ndugai Limeitwa Nnauye
Dodoma ni porini bwashee!
Acha hasira kameshakufa....Hata Dar ni pori tu Mji mchafu na una slam kila sehemu sema ni sehemu ya kipiga hela za wananchi hasa hako kabandari subiri hangaya waingize chaka na bagamoyo ndo mtajua hamjui!
Mjinga weww😀😀😀watu mna maneno wallah...chatrol oyeeeee!!Na wale wa Chato wanasemaje? Bei ya hotel na guest house kwa sasa zimepanda?😄😄
Nina kiwanja nauza Chato laki mbili tu mwenye anakitaka anirushie tigo pesa nimkabidhi kwa mwenyekiti wa mtaa.😄😄
Yaani hawa jamaa ni wajinga wajinga sana kuongozwa na majitu maswahili ni ujinga ujinga tu yaani kila siku Nyerere Road foleni na misafara!Acha unafiki wewe fala mbona huwa sikusomi jamaa..... wewe leo unasema dom porini? Mmeshatumia pesa zetu kibao kuijenga dom now mnarudi dar hapa samia anachemka serikali iwe na kauli moja
Au amuue kabisa kwa sauti ya Dk. MusukumaHapa mama atafute namna ya kumtoa hata ikibidi kupoteza kichwa hiki,huwa ana kauli za kumpinga Sana Samia.
Ukielewa maana ya Amiri jeshi mkuu, huwezi kuwaza huo upuuzi wa kuamini huyo taahira wa Kongwa kwamba ni lolote kwenye nchi hii.Nitafurahi sana kama Ndugai atakuwa ni Sukuma Gang... Huyu mama inabidi atuachie nchi yetu
Hivi nyinyi vitimbakwiri ni nani wa kumtisha Rais?
Yani genge la wahuni wa Kisukuma ndio mumjambishe Rais?
Subiri Mbowe aachiliwe tuanze kuwashughulikia wote.
Cheki hii njemba watu wakitoa maoni yao eti oooh mamluki wa meko wtz kama hawa ni jinga kabisamamluki wa Meko bado hawaamini kuwa meko kafa
Sheria kitu gani bwana! Dodoma ni Kijiji hapafai na hapana hadhi ya kuwa jiji.ndugu zangu wapende ama wasipende Dodoma ni lazima wataishi kwa sababu Bunge lilishatunga sheria na kamwe haiwezi kubadirika."
Rais kama huyu avunje bunge? Gwajima tu kamtoa jasho! Wewe kweli zezeta! Bila Mabeyo angekuwa hapo? Subiri ninyamaze tu!Ukielewa maana ya Amiri jeshi mkuu, huwezi kuwaza huo upuuzi wa kuamini huyo taahira wa Kongwa kwamba ni lolote kwenye nchi hii.
Rais ana mamlaka ya kulivunja bunge muda wowote na huyo mpuuzi wenu kurudi mtaani na mashine yetu ya dayalisis atukabidhi tuipeleke kwenye hospitali za umma.
Kwan waliamua pomoja kwenda dom?Acha unafiki wewe fala mbona huwa sikusomi jamaa..... wewe leo unasema dom porini? Mmeshatumia pesa zetu kibao kuijenga dom now mnarudi dar hapa samia anachemka serikali iwe na kauli moja
Kwanini usiamie DOM nakuwacha WASWAHILI na mji wao kelele za nini? Bro IdiotYaani hawa jamaa ni wajinga wajinga sana kuongozwa na majitu maswahili ni ujinga ujinga tu yaani kila siku Nyerere Road foleni na misafara!
Yaani wao wako kutetea ujinga wa serkali hiiCheki hii njemba watu wakitoa maoni yao eti oooh mamluki wa meko wtz kama hawa ni jinga kabisa