Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeHata ile somo la historia John Pombe Joseph Magufuli ataongelewa ukura mmoja, kwenye orodha ya marais.
Magufuli alikuwa dikteta sana...
Tumbo + maladhiWasaliti wa Magu tutawajua siku si nyingi!!🤣--- huo ni unafiki.
Binafsi sihitaji mkataba, lakini JPM (RIP) alishotudokeza mambo ya kipuuzi yaliyomo kwa ufupi. Waseme tu ni kweli au hapana? na ukweli ni upi then tutamuona JPM hakujua kitu.Mnaotaka 'mkataba' uwekwe wazi nawaonea huruma sana.. perhaps your level of naivete is astonishing!
Oooh! Yes hata rais anahongwa tu! Jamaa hao ni wabaya sana wakiwa nje ya nchi yao.tukumbuke wachina wanaweza honga bunge na baraza zima la mawaziri.
Kumaliza utata mkataba huo uwekwe wazi uanikwe hadharani. Wazee akina Ndugai musije achia vizazi vijavyo mizigo isiyowahusu si vizuri kurithisha kizazi kingine zigo Wanamchi tunaomba uwekwe wazi sababu ni wa miaka mingi pengine wote tuliopo hatutakuwepo duniani tutalaaniwa na vizazi vijavyo...
Sasa ndio utajua ni kwa kiwango gani hilo genge liitwalo ccm ni hatari kwa nchi hii. Hao ambao wiki tatu zilizopita walikuwa wanajifanya wazalendo kwa kuepusha nchi na mikataba ya wizi, ndio haohao wanarudi kwa kasi kwenye mikataba waliyokuwa wanasema ni ya hatari kwa nchi.Binafsi sihitaji mkataba, lakini JPM (RIP) alishotudokeza mambo ya kipuuzi yaliyomo kwa ufupi. Waseme tu ni kweli au hapana? na ukweli ni upi then tutamuona JPM hakujua kitu.
Kwa hiyo inawezekana hata hizo report ya CAG ni kutupumbaza kwanza tuone JPM aliharibu kila kitu kumbe wana lao jambo?Kweli mkuu,ila kuna shida kubwa sana kwa vingozi wetu,hivi hofu yao ilikuwa nini hadi wakawa wanamkubalia kila kitu mheshimiwa hayati JPM, uchu Wa madaraka au unafiki?...
Vipi kuhusu tunavyowaachia deni la Taifa, halina laana?Kumaliza utata mkataba huo uwekwe wazi uanikwe hadharani. Wazee akina Ndugai musije achia vizazi vijavyo mizigo isiyowahusu si vizuri kurithisha kizazi kingine zigo Wanamchi tunaomba uwekwe wazi sababu ni wa miaka mingi pengine wote tuliopo hatutakuwepo duniani tutalaaniwa na vizazi vijavyo...
Kwenye big three za samia hiyo gas ni number 2. yeye anaiita LNG ili waswahili wasielewe anazungumzia niniUtawekewa na nani wakati kila upuuzi wa ccm ulikuwa ukuunga mkono, na kuishia kulishwa upuuzi kuwa ccm ni chama imara badala ya majizi ya kura? Spika huyu huyu enzi za Magufuli alisema tena kwa mbwembwe kuwa mradi wa Bagamoyo ni hatari kwa nchi hii....
Du! Kweli kuna mabadiliko na hata mhimili wa Bunge umepata sauti ya kuongea.