Ndugai: Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo uendelee, Dkt. Magufuli alishauriwa vibaya

Ndugai: Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo uendelee, Dkt. Magufuli alishauriwa vibaya

kwani mwendazake mikataba alikuwa anaweka wazi ? vipi kuhusu na mikataba ya ununuzi wa ndege je iliwekwa wazi na kupitishwa na bunge?
Nawe sasa unajisema tu! Ndege inanunuliwa kwa mkataba tena! Kwani ilikodishwa? Jiongeze bhana!
 
Sijawahi kuwaamini Wagogo hata siku moja sidhani kama mtu ambae ana sifa ya kuomba akawa na msimamo
 
Kwani hao washauri walishikiwa Bunduki hadi kumshauri mwendazake vibaya??

Unaweza kuta washauri wale wale waliomshauri JPM kutotekeleza mradi kwamba hauna manufaa makubwa kwa Nchi ndiyo hao hao wanashauri mradi Mhe. Samia Suluhu kuutekeleza kwa kuwa wamegundua Una manufaa kwa Nchi mara hii.

Tanzania kinachotugharimu ni Unafiki, Woga na kuendekeza Majungu.

Imagine kama mradi ungetekelezwa 2016 leo hii si ingekuwa Meli zimeanza kushusha na mzigo hapo. Tumekubali kuyumbishwa na siasa uchwara hatimaye tumepoteza zaidi ya maTrilioni kwenye Ushuru na Kodi.
Hawakuwa wanamshauri kwa maslahi ya nchi ila ya ulaji wao wenyewe tu . Mwendazake hajawahi waza lolote jema isipokuwa kwa maslahi yake au ndugu zake ma makampuni yake.
 


Hapa Ndingai anaishangaa serikali kusitisha ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. Anasema alikwenda China katika mji wa Chenzen ambako ndiko yaliko makao makuu ya wajengaji wa bandari. Walimuonyesha presention nzima a hakuona tatizo.

Pia wale wajamaa wanaoujua urafiki wa China na Tanzania wengi wamestaafu na wawili waliobaki waliwaambia wafanye haraka kufanya maamuzi ya ujenzi kwani wao of akiondoka, kizazi kipya kiko ki faida zaidi.

Sasa ndio nimeamini kabisa CCM ni kitu cha kukiogopa sana ktk maisha yetu, huyu sialikuwa anashangilia ujengwaji wa reli? na alikuwa wa mbele kusema kinachofanywa na aliyekuwapo madarakani ndicho stahiki kwa nchi hii? ni maajabu kwa kweli ktk ulimwengu wa sasa Mungu atusaidie sana kuvuka ktk hili.
 
Kumaliza utata mkataba huo uwekwe wazi uanikwe hadharani. Wazee akina Ndugai musije achie vizazi vijavyo mizigo isiyowahusu si vizuri kurithisha kizazi kingine zigo Wanamchi tunaomba uwekwe wazi sababu ni wa miaka mingi pengine wote tuliopo hatutakuwepo duniani tutalaaniwa na vizazi vijavyo

Uwekeni wazi wanamchi tuseme kama una manufaa au la.Lakini kuongelea vitu tu gizani si sahihi sasa tutasemaje Magufuli alishauriwa vibaya na nani? Na Ndugai kashauriwa vizuri na nani? Mkataba wabunge wameuona?

Hiyo mikataba ya miaka mingi kupindukia hiyo iwekwe wazi
Hahahahaahahahahahaahahahahaah
 
KWA JINSI NIONAVYO:

Mafisadi at Work..... mapema...... tutasikia mengi..... tarajia yafuatayo
1. Mradi wa Umeme Rufiji atapewa muwekezaji.... na atamiliki 100% ya mradi na Tanesco watanunua umeme kwa muwekezaji.....
2. Mradi wa SGR atapewa muwekezaji na 80% ya hisa zitakuwa za muwekezaji akishirikiana na WASALITI wa Mwendazake.....
Kwa ufupi WAFISADI at Work.....
 
Hata ile somo la historia John Pombe Joseph Magufuli ataongelewa ukura mmoja, kwenye orodha ya marais.

Magufuli alikuwa dikteta sana.

Mwaka 2000 alimteka mgombea wa cuf ili asimpinge jimboni.

Mwaka 2005 alimteka Dr Sende, akazizuia boti zake kufanya usafirisha na akamteka na kumzuia asigombee ubunge.

2010 alipingwa na Dr Lukanima, mkufunzi wa uchumi Mzumbe, alifukuzwa kazi na akakimbilia uhamishoni Chile Magu alipokuwa Rais, kuna kijana mwingine alimpinga mwaka huo, baadae huyo kijana anaitwa Deusdedit, akapigwa uhujumu uchumi hadi leo yupo lupango. Alikuwa mtumishi NEMC.

Idara ya usalama, msijaribu kuruhusu mtu type yake kuwa Rais au makamu.

Tumshukuru sana Mungu.
Kwa kweli ni jambo la kumshukuru sana Mungu, kwa kumuondosha huyu NYOKA. Mamia wameumizwa sana kwa MKONO wake wa CHUMA.
Hata ile somo la historia John Pombe Joseph Magufuli ataongelewa ukura mmoja, kwenye orodha ya marais.

Magufuli alikuwa dikteta sana.

Mwaka 2000 alimteka mgombea wa cuf ili asimpinge jimboni.

Mwaka 2005 alimteka Dr Sende, akazizuia boti zake kufanya usafirisha na akamteka na kumzuia asigombee ubunge.

2010 alipingwa na Dr Lukanima, mkufunzi wa uchumi Mzumbe, alifukuzwa kazi na akakimbilia uhamishoni Chile Magu alipokuwa Rais, kuna kijana mwingine alimpinga mwaka huo, baadae huyo kijana anaitwa Deusdedit, akapigwa uhujumu uchumi hadi leo yupo lupango. Alikuwa mtumishi NEMC.

Idara ya usalama, msijaribu kuruhusu mtu type yake kuwa Rais au makamu.

Tumshukuru sana Mungu.
 
Mnaotaka 'mkataba' uwekwe wazi nawaonea huruma sana.. perhaps your level of naivete is astonishing!
 
Nimecheka spika alichoongea Ndugai kwenye Clip anasema ukiangalia presentation waliyotufanyia wachina kule kwao ule mradi ni mzuri sana!!!

Nimweleweshe mradi mzuri huuangalii kwenye presentation nenda kwenye mkataba huko ndiko utajua ni mzuri au la
Tuonyesheni mkataba

Pili anasena ni kosa kuanza kujenga reli kabla ya bandari!!! kwa hiyo unaanza kujenga stendi ya mabasi kabla ya barabara? Mfano hakuna barabara hata moja ya kutoka Dar kwenda mkoa wowote kwa hiyo wewe cha kwanza utaanza kujenga stendi ya ubungo wakati huna hata barabara moja?

Bandari sisi tunayo tayari hilo la kusema tumetanguliza mkokoteni mbele ya punda anayetakiwa yeye kuwa mbele na mkokoteni nyuma sio kweli .Sisi bandari tunayo tayari huo mfano hautuhusu walitakiwa wawajibu hivyo hao wachinadio tu ku swallow everything!

Naanza kunusa harufu ya rushwa Ndugai na kundi lake China walipoenda kuna kitu waliahidiwa au walikula rushwa!!
Huwezi kuukubali mradi kwa ka kapresentation tu kadogo ka dakika chache ka power point bila kuona mkataba!!!
Kashakua Ndugai na kundi lake???
 
Kwa kweli ni jambo la kumshukuru sana Mungu, kwa kumuondosha huyu NYOKA. Mamia wameumizwa sana kwa MKONO wake wa CHUMA.
 
Na hichi kibaridi nina uhakika maua kwenye kaburi la mwendazake bado hayajanyauka ila tayari mataga wameshabetua mipango yake waliyokua wanaiunga mkono apo awali.
Sasa na wale walilia bungeni sijui wana hali gani kwa sasa maana furushi la kuhamishiwa bila maneno sijui litatoka wapi tena.
 
KWA JINSI NIONAVYO:

Mafisadi at Work..... mapema...... tutasikia mengi..... tarajia yafuatayo
1. Mradi wa Umeme Rufiji atapewa muwekezaji.... na atamiliki 100% ya mradi na Tanesco watanunua umeme kwa muwekezaji.....
2. Mradi wa SGR atapewa muwekezaji na 80% ya hisa zitakuwa za muwekezaji akishirikiana na WASALITI wa Mwendazake.....
Kwa ufupi WAFISADI at Work.....
Ongezea ..
Ndege zote zitakodishwa ila watakaokodisha hawatalipa hata senti bali serikali ndio italipa uendeshaji..dadeki
 
Nashindwa Cha kucomment sijui nimshauri mama maana nahisi wanaume wanamfanyia ubabe?
 
KWA JINSI NIONAVYO:

Mafisadi at Work..... mapema...... tutasikia mengi..... tarajia yafuatayo
1. Mradi wa Umeme Rufiji atapewa muwekezaji.... na atamiliki 100% ya mradi na Tanesco watanunua umeme kwa muwekezaji.....
2. Mradi wa SGR atapewa muwekezaji na 80% ya hisa zitakuwa za muwekezaji akishirikiana na WASALITI wa Mwendazake.....
Kwa ufupi WAFISADI at Work.....
Itabidi tuwaombe kina Mabeyo watusaidie kuzuia hayo yasitokee, hakuna namna nyingine tunawza kupona.
 
We nae unaona umeongea ya maana!??... Tatizo ni mtu mweusi na ubinafsi wake na kuendekeza njaa.. haya mambo ya CCM,CUF na CDM mnashikana uchawi bure tu. Wale wabunge 19 wa CHADEMA walioingia bungeni walichaguliwa na nani!?.. Si ndio lilikuwa jeshi la wamama mnaloliamini CHADEMA!?... Kubali kataa mtu mweusi ni selfish sana, wote sio Mbowe, Lissu, Mnyika wala CCM. Hapa mnatafutana uchawi tu.
Kwahiyo unasema CCM tuna ubinafsi na tunaendekeza njaa??
 
Ili mkataba uwekwe hadharani.... lazima wananchi waingie barabarani.... kwa sbb.... WASALITI watakuwa na hisa zao kwa kuwapa dili wawekezaji....
Mnaotaka 'mkataba' uwekwe wazi nawaonea huruma sana.. perhaps your level of naivete is astonishing!
 
Back
Top Bottom