Ndugai: Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo uendelee, Dkt. Magufuli alishauriwa vibaya

Ndugai: Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo uendelee, Dkt. Magufuli alishauriwa vibaya

Kumaliza utata mkataba huo uwekwe wazi uanikwe hadharani. Wazee akina Ndugai musije achie vizazi vijavyo mizigo isiyowahusu si vizuri kurithisha kizazi kingine zigo Wanamchi tunaomba uwekwe wazi sababu ni wa miaka mingi pengine wote tuliopo hatutakuwepo duniani tutalaaniwa na vizazi vijavyo

Uwekeni wazi wanamchi tuseme kama una manufaa au la.Lakini kuongelea vitu tu gizani si sahihi sasa tutasemaje Magufuli alishauriwa vibaya na nani? Na Ndugai kashauriwa vizuri na nani? Mkataba wabunge wameuona?

Hiyo mikataba ya miaka mingi kupindukia hiyo iwekwe wazi
Mwende kwanza Halmashauri Kuu mkatafute kupata mitazamo yenu upya, baada ya kuachwa na Marehemu.
 
."...razima niseme ukweri..hii nchi ni tajiri..imeriwa sana"....kumbe 🤪🤪🤣🤣
 
Mkuu niunge mkono hoja

Mama awe makini saana na watu wa namna hii

Alienda kivipi huko makao makuu?

Usikute kila mtuu sasa hivi anatafuta namna ya kupiga.

Waweke mkataba ili sote tuone.



Hapa utagundua hapo hakuna mwenye nia njema na nchi hii.

Naanza kumuelewa Magufuli kwamba alijitoa maisha yake. Kweli alizungukwa saana tushukuru hata haka ka muda alikotumikia.

Sikuamini kama nchi inawatu wa namna hii.
kwani mwendazake mikataba alikuwa anaweka wazi ? vipi kuhusu na mikataba ya ununuzi wa ndege je iliwekwa wazi na kupitishwa na bunge?
 
We nae unaona umeongea ya maana!??... Tatizo ni mtu mweusi na ubinafsi wake na kuendekeza njaa.. haya mambo ya CCM,CUF na CDM mnashikana uchawi bure tu. Wale wabunge 19 wa CHADEMA walioingia bungeni walichaguliwa na nani!?.. Si ndio lilikuwa jeshi la wamama mnaloliamini CHADEMA!?... Kubali kataa mtu mweusi ni selfish sana, wote sio Mbowe, Lissu, Mnyika wala CCM. Hapa mnatafutana uchawi tu.
Kwa hiyo kwa madudu haya yanayoanikwa, wewe uko wapi? Mama au Marehemu? Hujui kajinywe uji kwanza.
 
Spika wa Bunge ameshauri mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo uendelee kwa sababu Magufuli alishauriwa vibaya, hii ni baada ya kamati ya Bunge ya bajeti kushauri kuwa serikali iangalie kuhusu kuendelea na mradi huo.

Ndugai amesema kuwa mradi huo utakuwa na faida kubwa kwa Watanzania na tukichelewa hatutauta tena.

Magufuli alisema mradi huo ulikuwa ni hasara kwani ulikuwa na masharti magumu ikiwemo ya kuzuia bandari yoyote kuendelezwa, wala TRA kukusanya kodi na kupewa lease kwa miaka 99.




Pia soma: Spika Job Ndugai: Kutokana na masharti ya Mradi wa Bandari Bagamoyo, ni sahihi Serikali kuusitisha

Ninachojifunza hapa ni kuishi maisha yako bila kumtegemea mwanadamu maana kumtoshereza ni vigumu.
Hivi itokee muujiza wamkute ndugu magufuli asubuhi yupo kwenye kiti chake ikulu akipitia taarifa zilizotolewa wakati amevunga kufa ili kuwaona wabaya wake, je atabakiza hata mmoja kwenye serikali yake?!
 
Bandari ya Bagamoyo ijengwe Kwa haraka Sana, na inahitajika Kwa haraka mno Kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu,

Lakini, Kwa kuwa hii ni nchi yetu sote, maana awali tulisikia sifa na uzuri wa uwekezaji huo, Mara ya pili tukasikia, uwekezaji huo, ni mwendawazimu pekee anayeweza kuruhusu uwekezaji wa Aina hiyo

Ili kuondoa utata, Tunaliomba Bunge kupitia Mh Sipika, Mkataba huo usomwe bungeni, nini faida yake na hasara yake

Itatusaidia kuondoa tongotongo usoni,

Kwa maana Kwa sasa hivi, CCM kuwaamini ni Sawa na kupoteza sehemu ya akili yako,

Maana usije kuta huyo anayewashawishi wabunge wenzake, na yeye aliahidiwa mgao wake, maana hata kile kipindi, ni yeye tu aliyekuwa amekomalia na badaye tena yeye mwenyewe Akasema, mradi huo masharti yake ni mabovu na haufai

Inakuwaje tena Leo anabadirika?? Unajua Kweli nyinyi CCM ni watu wa ajabu Sana,
 
Spika wa Bunge ameshauri mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo uendelee kwa sababu Magufuli alishauriwa vibaya, hii ni baada ya kamati ya Bunge ya bajeti kushauri kuwa serikali iangalie kuhusu kuendelea na mradi huo.

Ndugai amesema kuwa mradi huo utakuwa na faida kubwa kwa Watanzania na tukichelewa hatutauta tena.

Magufuli alisema mradi huo ulikuwa ni hasara kwani ulikuwa na masharti magumu ikiwemo ya kuzuia bandari yoyote kuendelezwa, wala TRA kukusanya kodi na kupewa lease kwa miaka 99.




Pia soma: Spika Job Ndugai: Kutokana na masharti ya Mradi wa Bandari Bagamoyo, ni sahihi Serikali kuusitisha

Tatizo langu siyo kuurudisha au hapana, Spika atueleze juu ya yale masharti. Ndivyo yalivyokuwa au hapana? Kama ni ndiyo, spika usijifanye nawe ni mkuu wa nchi. Kama sivyo, hapo tujadili aliyemdanganya rais ni nani?

Hata hivyo China inaeleweka kwa rushwa inapokuwa inashughulika na miradi nje ya nchi. Tusifurahie tu kuona mradi unarudishwa tujiulize hawa akina spika na wengine wanapenda tu au wamepewa chochote china na ziara zao.
 
Aliye M misled Magufuli ni nani!??
 
We nae unaona umeongea ya maana!??... Tatizo ni mtu mweusi na ubinafsi wake na kuendekeza njaa.. haya mambo ya CCM,CUF na CDM mnashikana uchawi bure tu. Wale wabunge 19 wa CHADEMA walioingia bungeni walichaguliwa na nani!?.. Si ndio lilikuwa jeshi la wamama mnaloliamini CHADEMA!?... Kubali kataa mtu mweusi ni selfish sana, wote sio Mbowe, Lissu, Mnyika wala CCM. Hapa mnatafutana uchawi tu.
Wnawake walikunja ngumi ... peoplessssss! Wao wanaitikia Power! kumbe pwaaaa!
 
Hawa wakubwa kwa jinsi wanavyoukumbuka mradi huu, sina shaka wana chao mfukoni tayari!
Mkuu, Mimi ninamashaka Sana Mh Sipika, kuna kaugali kake humo,

Si ni yeye aliyesemaga kuwa mradi huu Kweli Kwa masharti yaliyomo haufai??

Halafu leo anabadirika??
 


Hapa Ndingai anaishangaa serikali kusitisha ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. Anasema alikwenda China katika mji wa Chenzen ambako ndiko yaliko makao makuu ya wajengaji wa bandari. Walimuonyesha presention nzima a hakuona tatizo.

Pia wale wajamaa wanaoujua urafiki wa China na Tanzania wengi wamestaafu na wawili waliobaki waliwaambia wafanye haraka kufanya maamuzi ya ujenzi kwani wao of akiondoka, kizazi kipya kiko ki faida zaidi.

Siamini nachokisikia kwakweli!!!!!!!!!!!!
 
Hata Magufuli alishauriwa vibaya kumwondoa CAG Assad kisa kuhoji mabilioni aliyotumia Ndugai kwa matibabu.
Pamoja na kutoonyesha mkataba Magufuli alionyesha madhara ya mkataba wa bandari ya Bagamoyo yeye alipoenda China tutaamini vipi hakupewa rushwa
Hii ni sehemu ambayo JPM alikosea sana, now we know. Angemfungulia kesi ya uhujumu uchumi tu kng huyu!
 
Back
Top Bottom