Ndugai: Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo uendelee, Dkt. Magufuli alishauriwa vibaya

Ndugai: Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo uendelee, Dkt. Magufuli alishauriwa vibaya

Ili mkataba uwekwe hadharani.... lazima wananchi waingie barabarani.... kwa sbb.... WASALITI watakuwa na hisa zao kwa kuwapa dili wawekezaji....
wataleta 'doctored copy' thats for sure..achana na hawa jamaa asiee
 
Kumaliza utata mkataba huo uwekwe wazi uanikwe hadharani. Wazee akina Ndugai musije achie vizazi vijavyo mizigo isiyowahusu si vizuri kurithisha kizazi kingine zigo Wanamchi tunaomba uwekwe wazi sababu ni wa miaka mingi pengine wote tuliopo hatutakuwepo duniani tutalaaniwa na vizazi vijavyo

Uwekeni wazi wanamchi tuseme kama una manufaa au la.Lakini kuongelea vitu tu gizani si sahihi sasa tutasemaje Magufuli alishauriwa vibaya na nani? Na Ndugai kashauriwa vizuri na nani? Mkataba wabunge wameuona?

Hiyo mikataba ya miaka mingi kupindukia hiyo iwekwe wazi
Leo Umeongea kama mwananchi Raia Wa Tanzania.
I Agree
 
Sauti ya Mama kuwa yy ndo Rais imewanya watu wajirudi mapema ili wasionekane kwamba wako ule upande waliokuwa wameuchagua.
 
Mkuu, Mimi ninamashaka Sana Mh Sipika, kuna kaugali kake humo,

Si ni yeye aliyesemaga kuwa mradi huu Kweli Kwa masharti yaliyomo haufai??

Halafu leo anabadirika??
Ni aibu mtu kusifia mradi kwa sababu ya presentation aliyofanyiwa China, badala ya kutueleza contents ya mkataba.
Wakatae mambo ya Magufuli lakini sasa hapa wamekuwa kama fisi wenye njaa ya maiaka 5 iliyopita.
 
Ogopa sana watu wanao kushangilia na kukuunga mkono kwenye kila kitu.
Kweli mkuu,ila kuna shida kubwa sana kwa vingozi wetu,hivi hofu yao ilikuwa nini hadi wakawa wanamkubalia kila kitu mheshimiwa hayati JPM, uchu Wa madaraka au unafiki ?

Binafsi Mimi sina hulka ya kumshangilia mtu ilikhali naona kabisa anaharibu,ni bora nikakaa kimya,JPM nilimkubari kwakuwa niliamini alitimiza matakwa Yangu,kamwe siwezi kubadili misimamo.

Watu kama akina ndungai,magwangala and the alike hawafai kuwa viongozi Wa taifa letu,iweje wakubalianae na misimamo ya JPM huku wakimsifu kwa nyimbo na mapambio ilikhali kiuhalisia alikuwa waliamini kuwa anaharibu kulingana na mitazamo yao,

Harafu huyu ndungai anatufanya sisi malofa sana,bunge ni mhimili huru,sasa kwanini aliruhusu hoja ambayo alijua kabisa haina tija kwa nchi yetu,kwanini hakutoka hadharani ili kumpinga JPM,? ogopa sana mtu mnafiki anayejali Tumbo lake,hawa ni wanasiasa wachumia matumbo hawafai hata kudogo.

Ikiwa tu ndugai alikuwa anajipendekeza kwa JPM ,vipi kuhusu Mimi ambaye hata kula Yangu haijulikani,si itakuwa balaa.

Mpuuzi sana huyu ndugai na magwangalla wake,ngoja tuendelee kusikilza.

Pumzika kwa amani Hon.JPM, kazi iendelee kwa Hon.SSH
 
Kweli mkuu,ila kuna shida kubwa sana kwa vingozi wetu,hivi hofu yao ilikuwa nini hadi wakawa wanamkubalia kila kitu mheshimiwa hayati JPM, uchu Wa madaraka au unafiki ?

Binafsi Mimi sina hulka ya kumshangilia mtu ilikhali naona kabisa anaharibu,ni bora nikakaa kimya,JPM nilimkubari kwakuwa niliamini alitimiza matakwa Yangu,kamwe siwezi kubadili misimamo.

Watu kama akina ndungai,magwangala and the alike hawafai kuwa viongozi Wa taifa letu,iweje wakubalianae na misimamo ya JPM huku wakimsifu kwa nyimbo na mapambio ilikhali kiuhalisia alikuwa waliamini kuwa anaharibu kulingana na mitazamo yao,

Harafu huyu ndungai anatufanya sisi malofa sana,bunge ni mhimili huru,sasa kwanini aliruhusu hoja ambayo alijua kabisa haina tija kwa nchi yetu,kwanini hakutoka hadharani ili kumpinga JPM,? ogopa sana mtu mnafiki anayejali Tumbo lake,hawa ni wanasiasa wachumia matumbo hawafai hata kudogo.

Ikiwa tu ndugai alikuwa anajipendekeza kwa JPM ,vipi kuhusu Mimi ambaye hata kula Yangu haijulikani,si itakuwa balaa.

Mpuuzi sana huyu ndugai na magwangalla wake,ngoja tuendelee kusikilza.

Pumzika kwa amani Hon.JPM, kazi iendelee kwa Hon.SSH
Eeehhh!! !!! CCM haoo.... Nyiee. Yani nyie ni wa kuchoma moto.
 
."...razima niseme ukweri..hii nchi ni tajiri..imeriwa sana"....kumbe [emoji2957][emoji2957][emoji1787][emoji1787]
mkuu naona mmeanza kukumbukwa, angalau hata muipate hiyo bandari mzee akumbukwe maana kule nyumbani ni kama vile hakufanya chochote kwa wakati wake ukilinganisha na aliyemfuatia (mwendazake)
 
Unapendekeza nini!? Maana haya manasiasa hayaaminiki tena.. Neverrr
Ushauri wangu ni kuwa tuachane na hii kitu asilimia 100. Ikiwezekana hata udhibiti wa miradi iliyopo uwe-doubled, iishe kwa weledi kabisa then Rais wa awamu ijayo alete manifesto nyengine tuitathmini.
 
Hawakuwa wanamshauri kwa maslahi ya nchi ila ya ulaji wao wenyewe tu . Mwendazake hajawahi waza lolote jema isipokuwa kwa maslahi yake au ndugu zake ma makampuni yake.
Wakaona bora waanze SGR itakayohitaji miaka 10 kukamilika badala ya Bandari inayohitaji miaka 3 kukamilika kama sio miaka 2 kisa wamekosa 10% kwenye mradi X na kupata kwenye mradi Y

Tutafika tu
 
Yawezekana kweli ni mradi mzuri lakini inatia shaka kwamba Spika anaupenda mradi huu tangu miaka 5 iliyopita. Sababu kubwa; alifanyiwa presentation akiwa China kwa ziara nyingine, akaongozwa na balozi wetu. Hadi leo haelewi vingine yeye anataka bandari hiyo. Huku ni kukosa aibu kwa Watanzania.

Muhimu kabisa, tulistahili tuambiwe mkataba unsaemaje? Suala siyo mradi, ni mkataba! Je, yeye Spika yuko tayari kutueleza mkataba unasemaje? Tamaa hii ni ile ya fisi aliye na njaa kali, na amekuwa akisubili mlinzi aondoke. Kweli mlinzi kaondoka sasa ni kampeni chakula kiliwe bila kujali kina sumu au la!
 
Ndo mkataba wa kununua ndege? Zinasemaje juu ya kununua ndege boss! najua unasema PPRA. Kama huijui kuliko mimi naomba unyamaze.
Yani unataka kusema ndege ya serikali inaweza kununuliwa bila mkataba wa mananunuzi kama mtu ananunua Tv ya sebuleni kwake ?
 
Wanyonge tukiona Nchi inaanza kuuzwa tatawatoa wahuni Bungeni na ikulu huku tukisindikwa na walinda katiba.
 
NI aibu mtu kusifia mradi kwa sababu ya presentation aliyofanyiwa China, badala ya kutueleza contents ya mkataba.
Kuna baadhi ya wabunge wa CCM mule bungeni akili hawana kabisa alipokuwa akisema ule mradi niliuona mzuri walipoonyesha kwenye presentation wachina ikawa inapiga makofi.Yaani ile clip ukiona aisee unajiuliza hivi bungeni kweli.tumepeleka mijinga hivyo halafu wengine waliokuwa wakipiga makofi ni baadhi ya mawaziri.Very sad
 
Kuna baadhi ya wabunge wa CCM mule bungeni akili hawana kabisa alipokuwa akisema ule mradi niliuona mzuri walipoonyesha kwenye presentation wachina ikawa inapiga makofi.Yaani ile clip ukiona aisee unajiuliza hivi bungeni kweli.tumepeleka mijinga hivyo halafu wengine waliokuwa wakipiga makofi ni baadhi ya mawaziri.Very sad
Yees hii ndiyo CCM yenu.
Umechelewa sana kujua kuwa wabunge wenu wa ccm ni bure kabisa.
 
Back
Top Bottom