Ndugu Faustine Ndugulile tafadhali 'Usitusaliti' na usikubali huo 'Ushawishi' unaopewa ili Namba Tatu agombee

Ndugu Faustine Ndugulile tafadhali 'Usitusaliti' na usikubali huo 'Ushawishi' unaopewa ili Namba Tatu agombee

Hao Watu wawili tena 'Waandamizi' kabisa wanaotumwa Kwako mara kwa mara kuja 'Kukushawishi' kuwa umuachie Namba Tatu 'agombee' hilo Jimbo na kwamba Wewe 'Utateuliwa' ama kuwa Balozi au Mbunge waambie kuwa Kamati ya Roho Mbaya ya CCM Jimbo la Kigamboni 'itashawishi' Wana CCM wote wampigie 'Kura' Mgombea wa CHADEMA na CCM 'itaanguka' vibaya sana.

Hao Watu wawili wameshajulikana na nakuomba waambie kuwa kama Namba Tatu anataka huo Ubunge asubirie hadi 'Babaake' amteue Novemba.
Dah mkuu pamoja na kuongoza 'kamati ya roho mbaya' kumchinja, bado upo naye hatua kwa hatua kuhakikisha 'figisu' zake hazizai matunda.

Ila me naomba arejeshwe ili uongoze kamati yako ya 'roho mbaya' kupeleka jimbo Chadema.
 
Mtoa UZI nikushauri jambo !
Embu ya kaisari mpeni kaisari. Embu tii mamlaka za wakubwa

Tena kupitia Kwako hapa hapa nasema waziwazi na 'Mubashara' kuwa CCM 'ikimkata' Faustine Ndugulile basi ilisahau pia rasmi Jimbo la Kigamboni.
 
Mpuuzi Mmoja hivi ambaye sasa hivi 'anahangaika' kila mara kumpigia Simu Mama Namba Mbili 'Kikatiba' ili amsaidie kwa 'Babaake' apitishwe Yeye.
Taarifa za uhakika kutoka chanzo cha ndani kabisa zinasema Bashite alikuwa akimsumbua mama jana Jumanne wakiwa kwenye kikao Chamwino Ikulu.
Mpaka kikao kinaisha majira ya saa2 usiku bado Bashite alikuwa akipiga simu kumuuliza mama imekuwaje.

Hivi hizi harakati za chama ndo zifanyikie ikulu yetu takatifu?
 
Ngoja uone kitakachotokea kilicho kinyume na matarajio yako ndipo utajithibitisha mwenyewe kuwa Huna akili huhitaji wa kukupima akili yako

Tatizo langu la kutokuwa na 'Akili' nimelirithi kutoka kwa 'aliyekuzaa' na sina uhakika kama Yeye mpaka hivi sasa ameshapona na umemkolea mno.
 
Tena kupitia Kwako hapa hapa nasema waziwazi na 'Mubashara' kuwa CCM 'ikimkata' Faustine Ndugulile basi ilisahau pia rasmi Jimbo la Kigamboni.
Sasa mbona kama ume zira /kususia uchaguzi. Embu tii mamlaka sababu ndio wenye mamlaka ya juu kabisa
 
Hao Watu wawili tena 'Waandamizi' kabisa wanaotumwa Kwako mara kwa mara kuja 'Kukushawishi' kuwa umuachie Namba Tatu 'agombee' hilo Jimbo na kwamba Wewe 'Utateuliwa' ama kuwa Balozi au Mbunge waambie kuwa Kamati ya Roho Mbaya ya CCM Jimbo la Kigamboni 'itashawishi' Wana CCM wote wampigie 'Kura' Mgombea wa CHADEMA na CCM 'itaanguka' vibaya sana.

Hao Watu wawili wameshajulikana na nakuomba waambie kuwa kama Namba Tatu anataka huo Ubunge asubirie hadi 'Babaake' amteue Novemba.
POPOMA naona unaendelea harakati zako za kupiga RAMLI.......
 
Dah mkuu pamoja na kuongoza 'kamati ya roho mbaya' kumchinja, bado upo naye hatua kwa hatua kuhakikisha 'figisu' zake hazizai matunda.

Ila me naomba arejeshwe ili uongoze kamati yako ya 'roho mbaya' kupeleka jimbo Chadema.

Mkuu hakuna Mtu ambaye ananinyima 'Usingizi' na 'nahaha' nae Kutwa tu katika Kumfanyia 'Figisu' kama huyo 'Kubwa Jinga' na wala hatofanikiwa.
 
Taarifa za uhakika kutoka chanzo cha ndani kabisa zinasema Bashite alikuwa akimsumbua mama jana Jumanne wakiwa kwenye kikao Chamwino Ikulu.
Mpaka kikao kinaisha majira ya saa2 usiku bado Bashite alikuwa akipiga simu kumuuliza mama imekuwaje.

Hivi hizi harakati za chama ndo zifanyikie ikulu yetu takatifu?

Na Mama Namba Mbili 'Kikatiba' nae simwelewi kwani huyu Kijana ( Kubwa Jinga ) alikuwa 'hamuheshimu' leo anataka Kumsaidia na Kumbeba pia.
 
Hujawahi kuwa na hata 1% tu ya IQ pindi uwapo hapa Jamvini ( JamiiForums ) hivyo basi acha niendelee Kujadili na Werevu baki na Ujuha wako.
GENTAMYCINE, nakushukuru! Watu kama Wewe wapo kwa ajili ya majibu kama haya kwa watu kama hawa!
 
GENTAMYCINE, nakushukuru! Watu kama Wewe wapo kwa ajili ya majibu kama haya kwa watu kama hawa!

'Wapuuzi' kama Yeye ( Hao ) huwa 'siwacheleweshi' kabisa Mkuu. Ukija 'Kistaarabu' utanipenda, ila ukija 'Kihuni' najua tu jinsi ambavyo nitakukera.
 
Mpuuzi Mmoja hivi ambaye sasa hivi 'anahangaika' kila mara kumpigia Simu Mama Namba Mbili 'Kikatiba' ili amsaidie kwa 'Babaake' apitishwe Yeye.
Mama anajiingiza kwenye upumbavu utakao mvua ushungi hadharani bure.
Asione anapona mashambulizi mengi akadhani ni ujanja wake kumbe ni kuwa alionekana mstaarabu na mwenye kujali utu wa watu.
Sasa kujiambatanisha na MTU mshenzi kama yule ni kutafuta balaa
 
Jumamosi ni siku mbaya sana kwa wana CCM, hofu imewatanda katika nyoyo zao. Siku ambayo chama kinaweza kikaendelea kujikongoja au ndio siku chama kinavunjika zaidi ya 2015.

Meku huko alipo hapati usingizi, maana alivyojiachia na kulewa uongozi alijua Oktoba haitofika milele.
CCM hatuangalii sura ya mtu tunapitia mafaili kwanza MUNGU mbariki magufuli
IMG-20200819-WA0006.jpg
IMG-20200818-WA0003.jpg
 
Atamteua wapi wakati Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania kuanzia October 2020 ni Tundu Antipas Lissu
Labda atamteua kwa sababu anamuogopa kwani 7sept2017 alikuwepo Dodoma kwenye Nissan Nyeupe.
Na hii nikwa sababu eti Lissu anamoyo mkubwa kuliko hata wa Yesu.
 
Mama anajiingiza kwenye upumbavu utakao mvua ushungi hadharani bure.
Asione anapona mashambulizi mengi akadhani ni ujanja wake kumbe ni kuwa alionekana mstaarabu na mwenye kujali utu wa watu.
Sasa kujiambatanisha na MTU mshenzi kama yule ni kutafuta balaa

Umeandika vyema kabisa Mkuu. Huyu Mama wa Pili 'Kikatiba' nchini Tanzania sijui kwanini hivi sasa anataka Kumkumbatia aliyekuwa Adui yake pia.
 
Jumamosi ni siku mbaya sana kwa wana CCM, hofu imewatanda katika nyoyo zao. Siku ambayo chama kinaweza kikaendelea kujikongoja au ndio siku chama kinavunjika zaidi ya 2015.

Meku huko alipo hapati usingizi, maana alivyojiachia na kulewa uongozi alijua Oktoba haitofika milele.
Hivi kati CCM na cdm kina nani wanajikongoja?
 
Back
Top Bottom