Ndugu katika imaan, inakuwaje nchi ya kiislamu maiti iwekwe wiki nzima bila kuzikwa?

Ndugu katika imaan, inakuwaje nchi ya kiislamu maiti iwekwe wiki nzima bila kuzikwa?

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Kuna kitu sijakielewa bado, Iran ni Taifa la kiislamu, Rais ameuwawa na chopa jumapili, lakini mazishi yatafanyika Alhamisi, wakati deen inasema muislamu akifa azikwe haraka tena hukohuko alipofia.

Je hamuoni kwamba Iran ni Jamhuri ya kiislamu lakini hawafuati uislamu unasemaje?
 
Dini ya kiislamu haisemi ni LAZIMA kuzika siku hiyo hiyo inasema ni vizuri usicheleweshe kuzika maiti kama hamna sababu za maana za kufanya hivyo.
Msiwe mnakurupuka kwenye conclusion huku hamjui chochote kuhusu Uislamu.
 
Dini ya kiislamu haisemi ni LAZIMA kuzika siku hiyo hiyo inasema ni vizuri usicheleweshe kuzika maiti kama hamna sababu za maana za kufanya hivyo.
Msiwe mnakurupuka kwenye conclusion huku hamjui chochote kuhusu Uislamu.
weka authority hapa, nawewe hatupashwi kukuamini, weka ushahidi wa hicho unachokisema
 
Dini ya kiislamu haisemi ni LAZIMA kuzika siku hiyo hiyo inasema ni vizuri usicheleweshe kuzika maiti kama hamna sababu za maana za kufanya hivyo.
Msiwe mnakurupuka kwenye conclusion huku hamjui chochote kuhusu Uislamu.
Basi kuna watu huwa wanajiamini kufahamu dini kumbe hata hamjui.
 
Kuna kitu sijakielewa bado, Iran ni Taifa la kiislamu, Rais ameuwawa na chopa jumapili, lakini mazishi yatafanyika Alhamisi, wakati deen inasema muislamu akifa azikwe haraka tena hukohuko alipofia.

Je hamuoni kwamba Iran ni Jamhuri ya kiislamu lakini hawafuati uislamu unasemaje?
Anazikwa leo tena mji aliopata ajali wala harudishwi hata mji wa nyumbani alikozaliwa.
 
Naomba unifahamishe mkuu raisi wa Iran huwa anapatikana kidemocras au kwa mfumo upi
Anapatikana kwa uchaguzi.

Lakini kuna baraza la kidini liko chini ya Ayatollah mkuu Lina Watu/viongozi wa kidini 80 au zaidi kidogo, hao hufanya mchujo, wasipokutaka hupati nafasi ya kugombea, na pia wanaweza kukukataa hata ukishinda

Pia Licha ya kuwa mtu wa pili kwa nguvu kuna wizara zinachaguliwa Moja kwa Moja na Ayatollah mkuu kama wizara ya Ulinzi.

Wairan walimpindua mfalme, ila watapata mfumo wa kislutan/kifalme kwa jina la Imam
 
Kuna kitu sijakielewa bado, Iran ni Taifa la kiislamu, Rais ameuwawa na chopa jumapili, lakini mazishi yatafanyika Alhamisi, wakati deen inasema muislamu akifa azikwe haraka tena hukohuko alipofia.

Je hamuoni kwamba Iran ni Jamhuri ya kiislamu lakini hawafuati uislamu unasemaje?
Wairan ni Washia, a very special form of Islam
 
Hata hawa waislam wa bongo madongokuinama wasiwe na haraka ya kuzika waumini haina maana. Taratibu wasubiri mpaka ndugu za marehemu toka mbali wafike. Ndio maana huwa tunawaambia wale kitimoto kwa raha hakuna dhambi ni nyama kama nyama zingine zinazoliwa na binadamu. Utakuta jitu ni liislam halitaki kula kitimoto linaona ni haramu lakini ni lihuni, lilevi, linakula rushwa na lizinzi linafanya na kuona poa tu. Maiti za masikini ndio huwa wanazikimbiza kama mbio za mwenge kwenda makaburini kuzika. Wanakimbiza maiti kipuuzi sana
 
Kuna kitu sijakielewa bado, Iran ni Taifa la kiislamu, Rais ameuwawa na chopa jumapili, lakini mazishi yatafanyika Alhamisi, wakati deen inasema muislamu akifa azikwe haraka tena hukohuko alipofia.

Je hamuoni kwamba Iran ni Jamhuri ya kiislamu lakini hawafuati uislamu unasemaje?
Uislam ni kwa ajili ya wasiojitambua huku Africa na kwingineko, ila watu walioendelea wanafanyia biashara hiyo deen basi.
 
Hapo hapo nipewe elimu kidogo, Kuna Ile mwanamke wa kiislam hapaswi kupeana mkono na mtu anayeweza kumuoa.

Lakini Mkuu wetu nimeona Mara nyingi anasalimiana na watu kadhaa Kwa kupeana mikono. Hiyo nayo imekaaje?
 
Anazikwa leo tena mji aliopata ajali wala harudishwi hata mji wa nyumbani alikozaliwa.
Nani kakwambia? Kuna jamaa anawaita "Wapalestina / Waarabu wa Tandale" kwa jinsi mnavyoitetea vitu ambavyo hamna uhakika navyo. Mwili wa marehemu Raisi unapelekwa ktk miji karibu yote yenye umuhimu kidini na kimila za Ki-Irani kabla ya kuzikwa. Hivi sasa wapo TEHERAN kwa niaya kumuaga mpendwa wao, watu ni wengi kweli kweli. Hivyo usiwe unabisha bila kuwa na taarifa sahihi. HAPA anasema " Raisi's body is expected to be buried in his birthplace, Mashhad, on Thursday"
Hebu soma ama tafuta mtu wa kukusaidua hapo juu..
SOMA ALJAZEERA ambao ni waumini wenzako hapa chini kuna sehemu anasema ==> Reporting from the capital, Tehran, Al Jazeera’s Resul Serdar said on Tuesday that funeral ceremonies for Iranian state dignitaries occur over “an extended period of time in several locations”.

 
Back
Top Bottom