Ahsante. Unaweza kuelezea tofauti ya Uislamu na waislamu?
Uislamu ni muongozo yaani njia inayokupeleka katika yale malengo ya kuumbwa kwako, Waislamu ni walio kubali kuifata hiyo njia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante. Unaweza kuelezea tofauti ya Uislamu na waislamu?
Usiwe unabisha kwa kitu ambacho huna elimu nacho unaonekana ni punguani.Iran ni Jamhuri ya kiislamu tangu mwaka 1979.
Au ulitaka wawe Sunni au Sufi ndio ujuwe ni waislamu?
Kwani hawa Mashia wamewakodea nini? Msifanye siri semeni wazi tulijuwe tatizo.