Ndugu katika imaan, inakuwaje nchi ya kiislamu maiti iwekwe wiki nzima bila kuzikwa?

Ndugu katika imaan, inakuwaje nchi ya kiislamu maiti iwekwe wiki nzima bila kuzikwa?

Iran ni Jamhuri ya kiislamu tangu mwaka 1979.

Au ulitaka wawe Sunni au Sufi ndio ujuwe ni waislamu?

Kwani hawa Mashia wamewakodea nini? Msifanye siri semeni wazi tulijuwe tatizo.
Kiufupi ushia sio uislamu kabisa. Ila wao wenyewe wanajiita waislamu. Hatuwezi kumhukumu shia Moja Moja kuwa si muislamu kwasababu anaweza huyo mtu asifuate itikadi za kishia na akajiita tu kuwa yeye shia. Kujiita tu hakukutoi katika uislamu bali ukifuata mionendo ya kishia na itakadi zake basi mtu atakuwa amejitoa kwenye usilamu. Mfano huwezi kusema Mo dewj si muislamu kisa shia coz wapo watu wengi wanajiita shia au dhehebu jengine potevu hali ya kuwa itikadi yao ni ya kisunni.

Kwaiyo itikadi ya kishia ni ukafiri na mtu Moja Moja inakuwa Mungu ndio anaejua hukmu ya kila mtu kwasababu niliyoitoa hapo juu.

Ushia ni ukafiri kwasababu;
1. Wanasema kuwa maswahaba kama Abubakar, uthaman na Umar kuwa ni makafiri na kuwatusi waziwazi.
2. Kuwatusi wake na Mtume na kuwashifu
3. Wanasema Qur an imekosewa au baadhi ya Ayah zimekosewa au kuachwa
4. Wanapinga dalili zilizokuja kwenye Qur-an au Hadith.
5. Na upotevu wao upo katika mambo mengine mengi sana.

Hitimisho: Ushia ni ukafiri lakini si kila shia ni kafiri
 
Kiufupi ushia sio uislamu kabisa. Ila wao wenyewe wanajiita waislamu. Hatuwezi kumhukumu shia Moja Moja kuwa si muislamu kwasababu anaweza huyo mtu asifuate itikadi za kishia na akajiita tu kuwa yeye shia. Kujiita tu hakukutoi katika uislamu bali ukifuata mionendo ya kishia na itakadi zake basi mtu atakuwa amejitoa kwenye usilamu. Mfano huwezi kusema Mo dewj si muislamu kisa shia coz wapo watu wengi wanajiita shia au dhehebu jengine potevu hali ya kuwa itikadi yao ni ya kisunni.

Kwaiyo itikadi ya kishia ni ukafiri na mtu Moja Moja inakuwa Mungu ndio anaejua hukmu ya kila mtu kwasababu niliyoitoa hapo juu.

Ushia ni ukafiri kwasababu;
1. Wanasema kuwa maswahaba kama Abubakar, uthaman na Umar kuwa ni makafiri na kuwatusi waziwazi.
2. Kuwatusi wake na Mtume na kuwashifu
3. Wanasema Qur an imekosewa au baadhi ya Ayah zimekosewa au kuachwa
4. Wanapinga dalili zilizokuja kwenye Qur-an au Hadith.
5. Na upotevu wao upo katika mambo mengine mengi sana.

Hitimisho: Ushia ni ukafiri lakini si kila shia ni kafiri
Kwa sababu ulizozitaja basi hata mimi ningekuwa Muislamu ningekuwa Shia.

Hawa Shia kumbe wanajitambuwa na batili wanasema batili, na Quran haikuandikwa na Mungu, imeandikwa na binadamu itakosaje makosa?

Shia wapo sahihi sana na wanajielewa.
 
Yule ni kiongozi mkubwa,Ana taratibu zake pia ambazo sio za kidini ni ka kitaifa na kimataifa.

Kuna uchunguzi pia sababu ya kifo tata cha ajali.

Anazikwa leo.
 
Dini ya kiislamu haisemi ni LAZIMA kuzika siku hiyo hiyo inasema ni vizuri usicheleweshe kuzika maiti kama hamna sababu za maana za kufanya hivyo.
Msiwe mnakurupuka kwenye conclusion huku hamjui chochote kuhusu Uislamu.
hata hivyo iran sio waislam, ni washia.
 
Kiufupi ushia sio uislamu kabisa. Ila wao wenyewe wanajiita waislamu. Hatuwezi kumhukumu shia Moja Moja kuwa si muislamu kwasababu anaweza huyo mtu asifuate itikadi za kishia na akajiita tu kuwa yeye shia. Kujiita tu hakukutoi katika uislamu bali ukifuata mionendo ya kishia na itakadi zake basi mtu atakuwa amejitoa kwenye usilamu. Mfano huwezi kusema Mo dewj si muislamu kisa shia coz wapo watu wengi wanajiita shia au dhehebu jengine potevu hali ya kuwa itikadi yao ni ya kisunni.

Kwaiyo itikadi ya kishia ni ukafiri na mtu Moja Moja inakuwa Mungu ndio anaejua hukmu ya kila mtu kwasababu niliyoitoa hapo juu.

Ushia ni ukafiri kwasababu;
1. Wanasema kuwa maswahaba kama Abubakar, uthaman na Umar kuwa ni makafiri na kuwatusi waziwazi.
2. Kuwatusi wake na Mtume na kuwashifu
3. Wanasema Qur an imekosewa au baadhi ya Ayah zimekosewa au kuachwa
4. Wanapinga dalili zilizokuja kwenye Qur-an au Hadith.
5. Na upotevu wao upo katika mambo mengine mengi sana.

Hitimisho: Ushia ni ukafiri lakini si kila shia ni kafiri
hata utupu wa nyuma wa wake zao wanaruhusiwa kama suna.
 
Ndiyo maana wasomi, wana hadi nyuklia, dhehebu lao tofauti na dhehebu tulilolizoea.
 
Kuna kitu sijakielewa bado, Iran ni Taifa la kiislamu, Rais ameuwawa na chopa jumapili, lakini mazishi yatafanyika Alhamisi, wakati deen inasema muislamu akifa azikwe haraka tena hukohuko alipofia.

Je hamuoni kwamba Iran ni Jamhuri ya kiislamu lakini hawafuati uislamu unasemaje?

Jua kutofautisha Rais wa Nchi na raia wa kawaida
Ujue pamoja na taratibu za Dini lakini kuna protocol za nafasi husika
Ila muhimu zaidi, ameuwawa kwenye ajali ambayo ina utata hivyo mambo mengi ya kiuchunguzi yanaendelea.
 
Hata hawa waislam wa bongo madongokuinama wasiwe na haraka ya kuzika waumini haina maana. Taratibu wasubiri mpaka ndugu za marehemu toka mbali wafike. Ndio maana huwa tunawaambia wale kitimoto kwa raha hakuna dhambi ni nyama kama nyama zingine zinazoliwa na binadamu. Utakuta jitu ni liislam halitaki kula kitimoto linaona ni haramu lakini ni lihuni, lilevi, linakula rushwa na lizinzi linafanya na kuona poa tu. Maiti za masikini ndio huwa wanazikimbiza kama mbio za mwenge kwenda makaburini kuzika. Wanakimbiza maiti kipuuzi sana
[emoji16][emoji16][emoji16]daa eti wanakimbizana kama mbio za mwenge
 
Dini ya kiislamu haisemi ni LAZIMA kuzika siku hiyo hiyo inasema ni vizuri usicheleweshe kuzika maiti kama hamna sababu za maana za kufanya hivyo.
Msiwe mnakurupuka kwenye conclusion huku hamjui chochote kuhusu Uislamu.
Ni Sahihi Dini Inasema Hivyo, Nimuuliza Mwana Zuoni Nguri Ulamaa
Majibu Yake Yapo Sawa Na Yako Kwa Mujibu Wa Dini
 
Una acha kwenda kuhiji kwenye makaburi ya mababu zako huko sitimbi unaenda kuhiji makaburi ya waarabu,wewe si kichaa kabisa
Sasa ndugu mimi na wewe nani kichaa?

Kwenye makaburi nikahiji natafuta nini?! Sasa unahiji nini walikofukiwa wafu?!

Ndo nyinyi mlidanganywa lile jiwe la qa'aba ni kaburi la mtume😊...dahh! Poleni sana!
 
Kwa sababu ulizozitaja basi hata mimi ningekuwa Muislamu ningekuwa Shia.

Hawa Shia kumbe wanajitambuwa na batili wanasema batili, na Quran haikuandikwa na Mungu, imeandikwa na binadamu itakosaje makosa?

Shia wapo sahihi sana na wanajielewa.
Kwa kuwa mshia mfuata hizo itikadi basi usingekuwa muislamu
 
Hata hawa waislam wa bongo madongokuinama wasiwe na haraka ya kuzika waumini haina maana. Taratibu wasubiri mpaka ndugu za marehemu toka mbali wafike. Ndio maana huwa tunawaambia wale kitimoto kwa raha hakuna dhambi ni nyama kama nyama zingine zinazoliwa na binadamu. Utakuta jitu ni liislam halitaki kula kitimoto linaona ni haramu lakini ni lihuni, lilevi, linakula rushwa na lizinzi linafanya na kuona poa tu. Maiti za masikini ndio huwa wanazikimbiza kama mbio za mwenge kwenda makaburini kuzika. Wanakimbiza maiti kipuuzi sana
🤣🤣🤣 Kwakweli speed ya kukimbiza masikini kaburi ni Kali Sana ukilinganisha na matajiri.
 
Back
Top Bottom