mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 21,057
- 41,992
Duuuuuh!Hata mwili wa mtume wao ulikaa siku kadhaa ukaharibika wakaamua kumzikia chumbani mwa Bi Aisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuuuh!Hata mwili wa mtume wao ulikaa siku kadhaa ukaharibika wakaamua kumzikia chumbani mwa Bi Aisha.
Nafikiri kutokana na uduni wa Elimu ya kuifadhi maiti ya wakati huo! Waliweka hii sheria ili Maiti isiharibike kabla ya mazishi na pia haya maeneo yana hali ya joto sana sio kama Ulaya.... ni mapokea tu- Mungu anadeal na roho yako Mara tu Ukikata Moto! tukifa tu sawa na Kambale au kwenge na Roho zetu either ziende Peponi au Dampo kwenye Moto wa milele😁Kuna kitu sijakielewa bado, Iran ni Taifa la kiislamu, Rais ameuwawa na chopa jumapili, lakini mazishi yatafanyika Alhamisi, wakati deen inasema muislamu akifa azikwe haraka tena hukohuko alipofia.
Je hamuoni kwamba Iran ni Jamhuri ya kiislamu lakini hawafuati uislamu unasemaje?
Sio ina unafiki,wanafiki ni ngozi nyeusi ambao wanaivamia kuliko kupata elimu yake.Wakiambiwa wasome dini kiundani hawataki,pelekeni vijana wakasome Dini Uarabuni hawataki,kiufupi mtu wa Pwani hapendi elimuHii dini ina unafiki mwingi sana hasa lengo ikiwa kuwakandamiza vilaza weusi na wanawake.
Usisahau inasemwa ktk uislam hakuna mtu special wote linapokuja suala la dini maskini tajiri,raia kiongozi wote ni sawa!Sababu ipo, ni kiongozi wa taifa hivyo taratibu ni lazima zifuatwe.
Hii dini hata kuitetea haiwezekani, si umeona hata wewe umeshindwa?Sio ina unafiki,wanafiki ni ngozi nyeusi ambao wanaivamia kuliko kupata elimu yake.Wakiambiwa wasome dini kiundani hawataki,pelekeni vijana wakasome Dini Uarabuni hawataki,kiufupi mtu wa Pwani hapendi elimu
Yan watu ni wachokozi😂Kuna kitu sijakielewa bado, Iran ni Taifa la kiislamu, Rais ameuwawa na chopa jumapili, lakini mazishi yatafanyika Alhamisi, wakati deen inasema muislamu akifa azikwe haraka tena hukohuko alipofia.
Je hamuoni kwamba Iran ni Jamhuri ya kiislamu lakini hawafuati uislamu unasemaje?
vilaza weusi wamekuwa kama nyumbu huwaambi kitu kuhusu kupumbazwa akili na dini hiyo. Siku si nyingi watashangaa huko kwa wenye dini yao wameanza kuipuuzia na kuachana nayoHii dini ina unafiki mwingi sana hasa lengo ikiwa kuwakandamiza vilaza weusi na wanawake.
Si umeona ile nyingine wazungu wenyewe washaipuuza kabisa ni swala la muda tu.vilaza weusi wamekuwa kama nyumbu huwaambi kitu kuhusu kupumbazwa akili na dini hiyo. Siku si nyingi watashangaa huko kwa wenye dini yao wameanza kuipuuzia na kuachana nayo
wee jamaa jaribu kufikiria kwa hekima kidogo!!! wee ulitaka azikwe chapchap kama mchoma mahindi wa IFAKARA???? wee jamaa nia aje??? angeumwa muda mrefu kweli wangejiandaa kwa lolote na angezikwa kama inavopasa,sasa m2 kafa ghafla bin vuu,,alaf ni rais wa nchi,kuna mamabi kibao ya kuwekwa sawa!!!!......wee umeishia form two B nini?????,,,ukiendekeza sana dini bila kuweka akili kidogo utakuwa mpumbavu!!!!!,,,,ndo manake ata NGURUWE tumekatzwa kula,lakini ukiwa huna namna yoyote ya kupata chakula na unaweza kukabiliwa na kifo "RUKSA",,,,wewe ndo wale wanaojilipua nini!!!!!!!!!!!!!!!!!!!"sikutegemea una akili GB 1 namna iviKuna kitu sijakielewa bado, Iran ni Taifa la kiislamu, Rais ameuwawa na chopa jumapili, lakini mazishi yatafanyika Alhamisi, wakati deen inasema muislamu akifa azikwe haraka tena hukohuko alipofia.
Je hamuoni kwamba Iran ni Jamhuri ya kiislamu lakini hawafuati uislamu unasemaje?
Wanaingiza fedha kwa ajili ya wageni wanaokwenda kuhiji, wanaofikia kwenye mahoteli... Hijja kama hijja ni bure!saudia wanaingiza matrilioni ya fedha kwa mahujaji toka sehemu mbalimbali duniani.
halafu anatokea humu nyumbu mweusi anatetea dini ya mnyaazi mungu kichwani mweupe hajui anachokiamini ni kitu gani kajawa na jazba anatukana watu hovyo akiwaita makafiriSi umeona ile nyingine wazungu wenyewe washaipuuza kabisa ni swala la muda tu.
!Hata hawa waislam wa bongo madongokuinama wasiwe na haraka ya kuzika waumini haina maana. Taratibu wasubiri mpaka ndugu za marehemu toka mbali wafike. Ndio maana huwa tunawaambia wale kitimoto kwa raha hakuna dhambi ni nyama kama nyama zingine zinazoliwa na binadamu. Utakuta jitu ni liislam halitaki kula kitimoto linaona ni haramu lakini ni lihuni, lilevi, linakula rushwa na lizinzi linafanya na kuona poa tu. Maiti za masikini ndio huwa wanazikimbiza kama mbio za mwenge kwenda makaburini kuzika. Wanakimbiza maiti kipuuzi sana
Kama wazungu walivyopuuzia ukristo ndio una maana hiyo.?Sasa wanaume kwa wanaume wanaoana na wewe upo kwenye hilo genge?Dini zipo na kuna vitabu na sheria zake.Wewe fuata umagharibi lakini ukitongozwa ukubali usirushe ngumi.Si unapenda umagharibi wewe.vilaza weusi wamekuwa kama nyumbu huwaambi kitu kuhusu kupumbazwa akili na dini hiyo. Siku si nyingi watashangaa huko kwa wenye dini yao wameanza kuipuuzia na kuachana nayo
Kuna mambo mawili nayapenda kwa Waislamu ;Ninachojuwa mimi wanaowahi kuzika hakuna sababu nyingine zaidi ya kufuata maelekezo ya uislamu.
Wapemba akifa hata saa 10 jioni wanaweza kuzika hata usiku.
Dr Omar Ally Juma alikuwa ni mpemba na makamu wa kwanza wa Rais alizikwa faster kiasi kwamba kama uko bize na mambo yako huwezi kujuwa makamu wa Rais amekufa na kuzikwa.
Wewe mama yako ndio amepata hasara kama mpaka muda huu hujaujua ukweli wa hizi dini,endelea kuomba mizimu ya waarabu na wazungu fala weweMamako angetoa mimba yako tu, kuliko kuleta duniani juha kama wewe.