Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Uislam una mambo mingi balaa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uislam una mambo mingi balaa!
je sababu yakuwaisha kuzika ni nini??Kama Ni marehemu wa kawaida inazikwa siku hiyo hiyo au kesho yake Kama kafa usiku. Kama Ni hayati inaweza kuchukua hata wiki.
Refer sheikh Ali Hassan Mwingi.
Wale Ni waislam au Washiha 🤣🤣Kuna kitu sijakielewa bado, Iran ni Taifa la kiislamu, Rais ameuwawa na chopa jumapili, lakini mazishi yatafanyika Alhamisi, wakati deen inasema muislamu akifa azikwe haraka tena hukohuko alipofia.
Je hamuoni kwamba Iran ni Jamhuri ya kiislamu lakini hawafuati uislamu unasemaje?
Wala haishangazi.Kuna kitu sijakielewa bado, Iran ni Taifa la kiislamu, Rais ameuwawa na chopa jumapili, lakini mazishi yatafanyika Alhamisi, wakati deen inasema muislamu akifa azikwe haraka tena hukohuko alipofia.
Je hamuoni kwamba Iran ni Jamhuri ya kiislamu lakini hawafuati uislamu unasemaje?
Mamako angetoa mimba yako tu, kuliko kuleta duniani juha kama wewe.Uislam ni kwa ajili ya wasiojitambua huku Africa na kwingineko, ila watu walioendelea wanafanyia biashara hiyo deen basi.
😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 lkn hii dini inawasumbua akili sana....mnaipa kila jambo baya lkn wapi inaendelea kukua tu......hongera ww kwa dini nzuri inayowatambua weusi na wanawake😀😀😀😀Hii dini ina unafiki mwingi sana hasa lengo ikiwa kuwakandamiza vilaza weusi na wanawake.
Digital Islamic 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kuna kitu sijakielewa bado, Iran ni Taifa la kiislamu, Rais ameuwawa na chopa jumapili, lakini mazishi yatafanyika Alhamisi, wakati deen inasema muislamu akifa azikwe haraka tena hukohuko alipofia.
Je hamuoni kwamba Iran ni Jamhuri ya kiislamu lakini hawafuati uislamu unasemaje?
Kunamuislamu hapa Daslamu, anagawa VIBWENGO frii ovu chaji...Uislam una mambo mingi balaa!
Acha bwana.Uislam ni kwa ajili ya wasiojitambua huku Africa na kwingineko, ila watu walioendelea wanafanyia biashara hiyo deen basi.
Hizi imani zinatuvuruga sisi kina maamuma. Kuna watu wanazitumia kama fimbo za kucha sisi waja tusioelewa mamboKuna kitu sijakielewa bado, Iran ni Taifa la kiislamu, Rais ameuwawa na chopa jumapili, lakini mazishi yatafanyika Alhamisi, wakati deen inasema muislamu akifa azikwe haraka tena hukohuko alipofia.
Je hamuoni kwamba Iran ni Jamhuri ya kiislamu lakini hawafuati uislamu unasemaje?
Yeye mleta mada kwanza alete ushahidi wa ULAZIMA kuwa muislam akifa azikwe haraka.weka authority hapa, nawewe hatupashwi kukuamini, weka ushahidi wa hicho unachokisema
Kuna kitu sijakielewa bado, Iran ni Taifa la kiislamu, Rais ameuwawa na chopa jumapili, lakini mazishi yatafanyika Alhamisi, wakati deen inasema muislamu akifa azikwe haraka tena hukohuko alipofia.
Je hamuoni kwamba Iran ni Jamhuri ya kiislamu lakini hawafuati uislamu unasemajhapo
Hapo iliachwa hewani Ili kujiongeza, maskini akifa anawahi kunuka shida, hakuna pilau nk. Tajili akifa hanuki mkuu.Kuna kitu sijakielewa bado, Iran ni Taifa la kiislamu, Rais ameuwawa na chopa jumapili, lakini mazishi yatafanyika Alhamisi, wakati deen inasema muislamu akifa azikwe haraka tena hukohuko alipofia.
Je hamuoni kwamba Iran ni Jamhuri ya kiislamu lakini hawafuati uislamu unasemaje?
Mimi siyo muislamu ila kuna mambo ambayo are not backed by science ni mila ambazo hazina maana yoyote kwa dunia ya leo.Yeye mleta mada kwanza alete ushahidi wa ULAZIMA kuwa muislam akifa azikwe haraka.
Hilo ni jambo lilipendekezwa na kuambiwa inafaa mtu azikwe haraka ila Sio lazima. Ingekuwa lazima maana yake mtu asipozikwa haraka basi mnapata dhambi! Ila hakuna dhambi kwa kumchelewesha mtu kumzika.
Si mwanamke tu hata mwanamme, uislam ni DINI si mtu. DINI imekamilika wala haibadiliki maandiko yake. Kufuata au kutokufuata maamrisho ya dini hakumaanishi kuwa hayo maamrisho hayapo.Hapo hapo nipewe elimu kidogo, Kuna Ile mwanamke wa kiislam hapaswi kupeana mkono na mtu anayeweza kumuoa.
Lakini Mkuu wetu nimeona Mara nyingi anasalimiana na watu kadhaa Kwa kupeana mikono. Hiyo nayo imekaaje?
Binafsi siamini kama kuto*#$@@+×=/<>^%$^*(:'mbana kama ni dhambiHata hawa waislam wa bongo madongokuinama wasiwe na haraka ya kuzika waumini haina maana. Taratibu wasubiri mpaka ndugu za marehemu toka mbali wafike. Ndio maana huwa tunawaambia wale kitimoto kwa raha hakuna dhambi ni nyama kama nyama zingine zinazoliwa na binadamu. Utakuta jitu ni liislam halitaki kula kitimoto linaona ni haramu lakini ni lihuni, lilevi, linakula rushwa na lizinzi linafanya na kuona poa tu. Maiti za masikini ndio huwa wanazikimbiza kama mbio za mwenge kwenda makaburini kuzika. Wanakimbiza maiti kipuuzi sana
Kesho tar 23Rais wa Iran anazikwa leo.
Umeleta ushahidi wa hiki ulichoandika?Yeye mleta mada kwanza alete ushahidi wa ULAZIMA kuwa muislam akifa azikwe haraka.
Hilo ni jambo lilipendekezwa na kuambiwa inafaa mtu azikwe haraka ila Sio lazima. Ingekuwa lazima maana yake mtu asipozikwa haraka basi mnapata dhambi! Ila hakuna dhambi kwa kumchelewesha mtu kumzika.