Ndugu Mtanzania unalijua kundi lako la damu?

🀣🀣🀣🀣 Mwehu we!!
Vichaa watakuwa wengi
Hakuna tuta KAUNTABALANSI vizuri zaidi,
Lazima tuBAIOLOJIANE sisi kwa sisi, group O liwe na watu wengi zaidi.πŸ˜‚
 
Nilichangia damu nikapimwa na vitu vingine ikiwemo blood group, kwenye majibu nikaambiwa nina A+
 
miss uuuuu beib😘😘😘
Miss u more 😍😍😍
Wamekuficha wapi? Au ndio upo Dub’s πŸ˜‚πŸ˜‚

Pesa zangu vipi sasa? Mama mchungaji nimechacha, nifanyie mpango hata wa nusu hasara basi.
Kweli mmeamua kunipotezea mwanakondoo wenu wewe na Kantri??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…