Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Nimesamehe ss hivi, nimekubali nimetapeliwa ππππ€£π€£π€£Jmn mbona nitakoma...
Wabheja sana πKesho asubuhi na mapema, utapigiwa simu upokee mzigo.
πππ huogopi ngoja wakulipueNakwambia Niko Gaza ,nimejikokiπ€£π€£
Wabheja kulumba.Wabheja sana π
π€£π€£π€£Wabheja kulumba.
π
Nami nimoπ€£π€£π€£
Nami nimo
Mimi nilijua sisi wenye O hatupatagi hii makitu, manake mimi nilishawahi kupita mazingira hatari kabisa, lakini baadae kuja kupimwa nikakutwa niko fiti kalikiti.Yupo Jiran yangu hapa Ana O+ but Anatumia ARV na huwez mjua maana Makalio yamebinuka hataree nawaonea huruma vijana sana wnakchakata Mbususu yake.
Kwahiyo kuwa na O+ siyo Kigezo cha kutokupata Maradhi mbalimbali ikiwemo kuambukizwa HIV lead to AIDS...
Mjini hapa, kila sekta inabidi uibie uibie kidogo.πUnaibia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kapime tena huenda doctor alikuwa kalewa.Mimi nilijua sisi wenye O hatupatagi hii makitu, manake mimi nilishawahi kupita mazingira hatari kabisa, lakini baadae kuja kupimwa nikakutwa niko fiti kalikiti.
We usitudanganye tujichanganye kukuamini, simba akilowa hawi paka πππKweli ni njaa tu ndo siielewi, sijawahi kulazwa toka nimezaliwa.
Sema me ni mtundu nishavunjika mkono, kudundana kwangu kawaida.
Ugomvi shuleni haunogi, unaweza hata kuahirishwa km Lamomy sipo siku hiyo ππππ
Ss hivi nimeacha baba angu hadi ananishangaa mana nishachezea suspension za kutosha, nishapeleka wazazi fake km wote skonga. Nisiongee sana watanijua bure
We usitudanganye tujichanganye kukuamini, simba akilowa hawi paka [emoji23][emoji23][emoji23]
Oh! darling binti kiziwi, how old are you?O+ na miaka yangu hii sijawahi umwa chochote nikalazwa hospital.