Autodidacts
JF-Expert Member
- Jun 9, 2021
- 1,165
- 1,804
Kama ni suala la usalama wao basi polisi walipaswa kutoa ulinzi nyumbani kwao sio kuwaweka ndani.Ndugu wa kijana Hamza aliyeuwa polisi watatu na yeye kuuawa pale daraja la Salenda wametiwa mbaroni na polisi usiku huu.
Ndugu wote wamekamatwa na nyumba yao imefungwa na iko chini ya ulinzi.
Chanzo: Ayo tv
kama nawaona jamaa kwenye hyo picha wanavyotetemeka dah!😟Kama ni kweli huu ni upumbavu wa KUKURUPUKA. Ndugu kuwa mhalifu haina maana ndugu zake wote ni wahalifu labda kama kuna ushahidi wa uhalifu wa ndugu zake. Wakamate na maccm yote basi yaliyokuwa karibu na huyo muuaji. View attachment 1908450
Shida ukiambiwa unaisaidia polisi means mateso yatahusika pakubwa.Kama shahidi wa kwanza ni marehemu, close relatives including family members watahojiwa, ni jambo la kawaida
Kuwahoji watu wa karibu na mharifu ndio standard procedures za vyombo vya usalama duniani kote. Huwezi kamata mtu au mtu akafa/akauwawa kisha polisi wakakwepa kuhoji watu na kuwaweka kwenye usalama wao. Kama hatutaki polisi tupendekeze jeshi hili lifutwe tuone tutapata faida ganiHizo kesi 147 zilizofutwa na wa KUDEMKA kama siyo KUKURUPUKA kwa polisiccm ili kubambikia watanzania kesi FEKI ni kitu gani hicho! Unadhani yule dhalimu mwendazake asingeondoka zile kesi FEKI ZINGEFUTWA!? Tumia akili yako japo kiduchu tu. Hawa polisiccm wameumiza Watanzania wengi sana kwa KUKURUPUKA kwao.
Wewe unajua walichokikuta?Unajua wamekuta nini nyumbani kwao? Unatoa mapovu tu!
Kitete iko wapi hii sio kibiti kweli hiiAll ze wei from somalia to ccm lumumbaView attachment 1908476
Kama ni kweli huu ni upumbavu wa KUKURUPUKA. Ndugu kuwa mhalifu haina maana ndugu zake wote ni wahalifu labda kama kuna ushahidi wa uhalifu wa ndugu zake. Wakamate na maccm yote basi yaliyokuwa karibu na huyo muuaji. View attachment 1908450
Ukweli anao marehemu peke yake, wanakosea sana kushikilia ndugu.Ilikuwa ni lazima. Hata marafiki zake nao watatafutwa, hiyo ni njia tu ya upelelezi na kutaka kuujua ukweli.
Haishangazi
Wakisema hawajui chochote kuhusu hilo tukio utawafanyajeWanaendea kuisaidia Polisi, wakishatoa maelezo ya kueleweka na kuridhisha wataruhusiwa kama hawakushiriki kwa chochote.
Hata mi naona km ni watu wawili tofautifake picture na aliyetuma anafuatiliwa
Wewe ungetumia njia gani kupeleleza hilo tukio bila kuhusisha ndugu na marafiki wake wa karibu?Wakisema hawajui chochote kuhusu hilo tukio utawafanyaje
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Ndugu wa kijana Hamza aliyeuwa polisi watatu na yeye kuuawa pale daraja la Salenda wametiwa mbaroni na polisi usiku huu.
Ndugu wote wamekamatwa na nyumba yao imefungwa na iko chini ya ulinzi.
Chanzo: Ayo tv
Njia sahihi ilikuwa ni kumkamata muhusika mwenyewe ataje kila kituWewe ungetumia njia gani kupeleleza hilo tukio bila kuhusisha ndugu na marafiki wake wa karibu?
BAK maisha yako ya mitandaoni ,unapenda kupinga kila kitu.Hizo ni theory na philosophy za kiintelejensia.Kama ni kweli huu ni upumbavu wa KUKURUPUKA. Ndugu kuwa mhalifu haina maana ndugu zake wote ni wahalifu labda kama kuna ushahidi wa uhalifu wa ndugu zake. Wakamate na maccm yote basi yaliyokuwa karibu na huyo muuaji. View attachment 1908450
Waulize makada wenzio,hamza noma kama ilani ya ccm inavyosema
Polisi hawana data base ya wananchi. Inatakiwa wawe na mahusiano mazuri na wananchi ili linapotikea jambo wanakuwa na first knowledge. Zamani polisi cid walikuwa kila sehemu si kwenye mabaa majumba ya sinema vijiwe vyote na anywhere watu walipokusanyika na walipata taarifa haraka kabla jambo halijatokea. Siku hizi wanasikiliza vyama vya siasa tu wanaacha ulinzi kwa wananchiPolisi wa Tanzania huo ndio uwezo wao ulipoishia