Ndugu wa mke kuja nyumbani kwangu bila mimi kujulishwa imekaa kitaalamu kweli hii kitu?

Ninachojua, baba mwenye nyumba sio tu anapewa taarifa anaombwa ruhusa.

Kama hakuna ulazima wa kuja kipindi fulani unaweza wapangia wakati mwingine.
 
Faza house taharifa ya nini?utamfumaniaje mkeo?
 
Kabisa
 
Ukioa mwanamke wa kabila la Tlaatlaah watakuja mabinamu wengi wa kiume kumsalimia. Hao mabinamu karibu wote ni michepuko wa mke. Watamgongea hapohapo kwako. Wanawake wa hilo kabila warembo sana ila hiyo tabia inawaharibia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…