Buma kazimia
Member
- Sep 14, 2023
- 28
- 21
Sikumoja akiwa chakali, mpeleke hospital alafu kula mchongo namadoctor wamdanganye.kichwa yake ikipoa pombe kidogo, huwa anahadithia ukweli mambo yalivyo mule ndani, utaskia anasema namnukuu
"uncle acha thu, jamaa wa mulye ndani hawanya hurthuma wanaweztha kukuua kabithaa ukiletha ubisthi, wanapiga matheke hayo ni balaa"
mwisho wa kunukuu.
anayasema hayo huku akiwa amezishika na kuzipapasapapasa taya zake zilizopishana"
hapo kwene familia kuwa complicated ndo penye chanzo. Kabla hujampeleka sober jaribu kumcheki afya yake.Ni Mwanamke umri 44 yrs, ana familia japo ni complicated, pombe anakunywa yoyote ambayo ipo karibu yake.
Sawa mkuuhapo kwene familia kuwa complicated ndo penye chanzo. Kabla hujampeleka sober jaribu kumcheki afya yake.
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Nenda banana mtafute bodaboda yoyote akupeleke,kipunguni AIko wapi mkuu?
Ndo maana nataka nimpeleke sober house angalau apumzike, hali yake inazidi kuwa mbaya
Kinyesi Cha binadamu?Weka kinyesi kwenye pombe bila yeye kujua lolote,,, shughuri atakayoipata Kila akiona chupa ya pombe au harufu ya pombe atakimbia! Onyo ufanye Siri asijue yeyote zaidi yako! Ukifanikiwa uje utoe mrejesho
Haya yatafanya kazi kwa anti kitimoto....Wanasema pia maziwa ya nguruwe ni dawa,unachanganya kwenye pombe asione
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Mmhh sina uhakika bhana inafanya kazi kwa wote [emoji23][emoji23]Haya yatafanya kazi kwa anti kitimoto....