Ndugu yangu amekuwa mlevi wa kupindukia, nataka nimpeleke sober house

Ndugu yangu amekuwa mlevi wa kupindukia, nataka nimpeleke sober house

kichwa yake ikipoa pombe kidogo, huwa anahadithia ukweli mambo yalivyo mule ndani, utaskia anasema namnukuu

"uncle acha thu, jamaa wa mulye ndani hawanya hurthuma wanaweztha kukuua kabithaa ukiletha ubisthi, wanapiga matheke hayo ni balaa"

mwisho wa kunukuu.

anayasema hayo huku akiwa amezishika na kuzipapasapapasa taya zake zilizopishana"
Sikumoja akiwa chakali, mpeleke hospital alafu kula mchongo namadoctor wamdanganye.
 
niliwahi mpeleka ndugu yangu huko sober alirudi taya zimepishana, meno yamepasuka, halafu anakithembe.
Mfano ukimwambia sema Simba yeye ansema Thimbwaa,
 
walimpiga wenzie alikua ana kaukorofi na kaubishi ka maudhi, alitandikwa vibaya sana karibu afe ila yeye alisema eti amepata ajali.

actually wale jamaa wa pale sober walikua wakitupatia taarifa zake ila yeye anageuza anatia uongo

Dah hii dunia hii wewe acha tu [emoji3][emoji3]
 
Salama kwa wote, naandika Kutoka CHANGAMOTO NI MATUMAINI, kabisa shida ya Dawa Za kulevya na pombe ni Kama minyororo. Lakini sisi tunapamban dhidi ya Yanga hilo tangu miaka 15 iliyopita. Tumaini lipo, mkihitaji msaada tuwasiliane. Huduma yetu ni bure, pata maelezo kila jnne na ijumaa katika ofisi yetu pale Salasala ( kituo cha Mbujuni) simu +255 783 413 138
 
Back
Top Bottom