Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #381
Naam jua ni kali, kelele kibaoHahahaha xaiv mnaxukuma maisha Kwa joto la dar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naam jua ni kali, kelele kibaoHahahaha xaiv mnaxukuma maisha Kwa joto la dar
Ila watu bdo wanakomaa humohumo.Naam jua ni kali, kelele kibao
NaamIla watu bdo wanakomaa humohumo.
Kwa hili jua la Dar Hilo shati lazima lingefubaa Tu😂Aisee ndugu zangu mni samehe, nili hisi nime pata mchongo.
Bado niko stendi Wanangu, nime vaa shati jeupe ila kutokana na kufubaa liko Kama jekundu.
Site kaka, saidia fundi nilikua nahamisha tofali walizonunua UWABATA kwa hela waliyoibadilisha matumizi ya kuhonga 😂Rasii Half american where are my friend
Anhaa ko uli kuwa una wasaidia mafundi, kushusha tiles kwako😂😂Site kaka, saidia fundi nilikua nahamisha tofali walizonunua UWABATA kwa hela waliyoibadilisha matumizi ya kuhonga 😂
Na lime chok kudadadeki 😁😁Kwa hili jua la Dar Hilo shati lazima lingefubaa Tu😂
Nimesha rudi nanjilinji mkuuUnga safari urudishe Mpira kwa golikipa uanze upya maana huna jinsi
JichanganyeAnhaa ko uli kuwa una wasaidia mafundi, kushusha tiles kwako😂😂
Niji chanbganye kuja kushusha tiles au😂😂Jichanganye
Tiles ni za kujengea makaburi ya waliojichanganya wakaishia kupostiwa na mishumaa na kinjiwa cheupe kilichobeba jani 🕊Niji chanbganye kuja kushusha tiles au😂😂
Angalia uta pasuka 😂 😂Tiles ni za kujengea makaburi ya waliojichanganya wakaishia kupostiwa na mishumaa na kinjiwa cheupe kilichobeba jani 🕊
NeverAngalia uta pasuka 😂 😂
Wewe jina lako ni nusu albino, sio never tigere😁😂Never