Thecoder
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,590
- 4,244
Ndio tupo tunashughulikia hilo swala ili hatua madhubuti zichukuliwe😂😂Sisi kama Jobless ProMax tunasema wadukuzi wameingia cha kike tutawadaka.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio tupo tunashughulikia hilo swala ili hatua madhubuti zichukuliwe😂😂Sisi kama Jobless ProMax tunasema wadukuzi wameingia cha kike tutawadaka.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Silitambui hilo mkuu, yote ni uongo mtupu.Half american unateja anakusubiria stendi umetokana naye wapi??
Sasa nilijiuliza mtu wa katavi na huyu mwenye IDs 270 kila siku mpya wapi nawapiSilitambui hilo mkuu, yote ni uongo mtupu.
No no no no noHalf american katika ID nyingine.
Bora unisaidie kujiuliza, mimi huko darasalama huwa napasikia tu sijafikamo.Sasa nilijiuliza mtu wa katavi na huyu mwenye IDs 270 kila siku mpya wapi nawapi
OMba asikukumbuke yupo hapo stendi kubwa ya kataviBora unisaidie kujiuliza, mimi huko darasalama huwa napasikia tu sijafikamo.
🤣 usijichanganye ukawapa watu hela ya kula , huo mji ni hatari ukiuliza uelekezwe njia tu unaliipia, kwa mama ntilie maji unanunua , maziwa fresh ni kipengele wanaozungusha mitaani ujue yamejazwa maji , ndizi moja jero sasa ni mji jehannam hiyo?Aisee kumbe huu mji ni wa kukaa kikamanda, japo naona Wana lazimisha wani pokee vitu vyangu.
Madam I repeat chill out, don't wake the dragon!Sasa nilijiuliza mtu wa katavi na huyu mwenye IDs 270 kila siku mpya wapi nawapi
RasiiiiBora unisaidie kujiuliza, mimi huko darasalama huwa napasikia tu sijafikamo.
Rasi ndio naniRasiiii
Sawa mkuuOMba asikukumbuke yupo hapo stendi kubwa ya katavi
Bro niko stendi ya magufuli hapa, naomba uni pokeeRasi ndio nani
Ahaa au sioWe itakua uliteta hayo na mmenya ndizi Mwachiluwi
kaka nili kukumbuka mwanangu, Nika sema nikuzingue v🤣😂Unazingua kenge maji 😂
Hamna kitu ka hicho,nwebsogea stendi ya magufuli hapa uta niona na mbuzi😂🤣Sisi kama Jobless ProMax tunasema wadukuzi wameingia cha kike tutawadaka.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna siku natoka kg kuingia kahama, Jamaa mmoja kavaa shati la namna hiyo full kucheka.😂 huo mfubao hatari sana
Chama chenyewe Cha ma jobless pro max, una tegemea upate nini 😂 😆Ananichafulia reputation yangu huyu kenge, nitafutieni mwanasheria mzuri nipate fidia.
Unataka kumshataki yeye kama yeye au taasisi nzima😂Ananichafulia reputation yangu huyu kenge, nitafutieni mwanasheria mzuri nipate fidia.