Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #321
Sipendi rangi ya kijani, tafuta blueZuga zuga jioni ntakuijia na range Rover ya kijani MPAUKO.
Karibu sanaa 😊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sipendi rangi ya kijani, tafuta blueZuga zuga jioni ntakuijia na range Rover ya kijani MPAUKO.
Karibu sanaa 😊
Hakika Jua ni Kali Sana mkuuKaka hili jua la daslam ni kali sana
Haaahaa, niuzie mbuzi @ 70000 maana jua la dar ni noma pia huku mjini majani ni noma.Sipendi rangi ya kijani, tafuta blue
Siku moja nilikamatwa na askari hapo mkoani enzi za JPM ukiuza dai risiti ukinunua dai risiti.Nilichojifunza mtu akitoka mikoani akaenda kuishi dar kisha akarudi mkoa alipotoka kwanza anakuwa na sifa hizi
1. Wajuaji sana
2. Waongeaji sana
3. Matapeli
Huwa mnawapa nini vijana huko dsm?
Mbuzi mwenyewe kachoka jicho hoi, jua Lina mfanya apagaweHaaahaa, niuzie mbuzi @ 70000 maana jua la dar ni noma pia huku mjini majani ni noma.
Maji ya kwunywa ni pesa kwaio mbuzi near soon atakua NGOFA pia hata huyo kuku jogoo ataanza kupungua uzito.
Mbuzi huyu namuuza laki 3, bila laki 3 bora nirudi nae nanjilinjiHaaahaa, niuzie mbuzi @ 70000 maana jua la dar ni noma pia huku mjini majani ni noma.
Maji ya kwunywa ni pesa kwaio mbuzi near soon atakua NGOFA pia hata huyo kuku jogoo ataanza kupungua uzito.
Kapicha ka mbuzi?!Mbuzi huyu namuuza laki 3, bila laki 3 bora nirudi nae nanjilinji
Aisee kumbe huu mji ni wa kukaa kikamanda, japo naona Wana lazimisha wani pokee vitu vyangu.Nilichojifunza mtu akitoka mikoani akaenda kuishi dar kisha akarudi mkoa alipotoka kwanza anakuwa na sifa hizi
1. Wajuaji sana
2. Waongeaji sana
3. Matapeli
Huwa mnawapa nini vijana huko dsm?
Nimehama jana ulivyoshuka tu nikabeba kilicho changu 😅aisee kweli nime yatimba, bro kwani wewe hukai daslam?
Kaka mimi sio jobless, mimi ni raisi wa chama Cha ma jobless pro max.Weka namba uchangiwe nauli ya kurudi kwenu Jobless wa Mchongo
Unazingua kenge maji 😂Oya bro Half american hebu acha matani, ujue mi mgeni hili jiji?.
Ananichafulia reputation yangu huyu kenge, nitafutieni mwanasheria mzuri nipate fidia.[emoji23] noma sana
La hasha huu si uungwana.
We itakua uliteta hayo na mmenya ndizi Mwachiluwiali sema ana fungua biashara ya kuuza miguu ya kuku na firigisi, hivyo kwa ujuzi wangu ninge kuwa mpishi mkuu.
😂 huo mfubao hatari sanaAisee ndugu zangu mni samehe, nili hisi nime pata mchongo.
Bado niko stendi Wanangu, nime vaa shati jeupe ila kutokana na kufubaa liko Kama jekundu.
Sisi kama Jobless ProMax tunasema wadukuzi wameingia cha kike tutawadaka.Nusu mmarekani itabidi atusamehe kwa maana raisi wetu simu yake ilidukuliwa na watu wenye nia ovu