makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Ulizia gari za kukufikisha kigamboni, fika feri, baada ya hapo vuka kuja kigamboni, ukifika hapo nijuze.Bro nikaribie wapi?, si uje uni pokee mwanao wa arsenal
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulizia gari za kukufikisha kigamboni, fika feri, baada ya hapo vuka kuja kigamboni, ukifika hapo nijuze.Bro nikaribie wapi?, si uje uni pokee mwanao wa arsenal
Jaja nina mizigo ya mbuzi, jogoo1 mihogo gunia 1 na unga wa dona maana mi siwezi kula chips yaiUlizia gari za kukufikisha kigamboni, fika feri, baada ya hapo vuka kuja kigamboni, ukifika hapo nijuze.
Rasi ninaye msemea ni Half american huyu jomba mizunguoRasi yupo jamaa ana kibanda Cha kutoa huduma ya kucharge simu
Waoooohhh, Asante sana boss nikiwa tu tayari nakushtuaWe nakutumia nauli, ukifika tu stendi nakufata utaenda sehemu unataka utakaa Kwa muda unaotaka siku ukichoka ntakupa nauli😁
Aisee una jiona mjanja, ngoja wakuache stendiWaoooohhh, Asante sana boss nikiwa tu tayari nakushtua
Mpaji Mungu hawezi kunifanyia hivo kabisa. Ingekuwa wewe ndio ningetia shaka😂😂Aisee una jiona mjanja, ngoja wakuache stendi
Kwangu sina mabanda, naishi ghetto tu, cha msingi uza mbuzi upate hela ya nauli, hiyo mihogo itandaze hapo mbezi uza kwa mafungu, kidoogo hilo dona linaweza kusaidia na hilo jogoo tutachinja tumtafune leo leo.Jaja nina mizigo ya mbuzi, jogoo1 mihogo gunia 1 na unga wa dona maana mi siwezi kula chips yai
Si uje uni fate hapa, maana mizigo mingi.
Karibu nauza mbuzi kutoka nanjilinjiMpaji Mungu hawezi kunifanyia hivo kabisa. Ingekuwa wewe ndio ningetia shaka😂😂
Aisee nime kumanya, kumbe una pigia hesabu unga wangu wa dona?.Kwangu sina mabanda, naishi ghetto tu, cha msingi uza mbuzi upate hela ya nauli, hiyo mihogo itandaze hapo mbezi uza kwa mafungu, kidoogo hilo dona linaweza kusaidia na hilo jogoo tutachinja tumtafune leo leo.
Kama una mizigo yote hiyo kwa nini usingefikia kwangu hapa hapa mbezi magufuli.Jaja nina mizigo ya mbuzi, jogoo1 mihogo gunia 1 na unga wa dona maana mi siwezi kula chips yai
Si uje uni fate hapa, maana mizigo mingi.
Akunyimae kunde.... ....Aisee nime kumanya, kumbe una pigia hesabu unga wangu wa dona?.
basi bora nibaki stendi arifu
Mpaji mungu anamiliki TRANSPORTER AGENT a.k.a CARGOWaoooohhh, Asante sana boss nikiwa tu tayari nakushtua
kaka wasio julikana ni wengi, ndio maana nafikia Kwa washkaji zanguKama una mizigo yote hiyo kwa nini usingefikia kwangu hapa hapa mbezi magufuli.
Zuga zuga jioni ntakuijia na range Rover ya kijani MPAUKO.Kaka hili sio suaka la kuchekaz omba yasi kukute.
yaani naamkia watu ila hawa niitikii.
Au kama vipi nije kukupokea mizigo ili uwe huru kwenda kutafuta washkaji zako.kaka wasio julikana ni wengi, ndio maana nafikia Kwa washkaji zangu
Fanya mazoezi ya kulisha twiga, kupanda farasi na mengine utayakuta Kwa washiraziWaoooohhh, Asante sana boss nikiwa tu tayari nakushtua
Amekesha stendi ya Magufuli huku kashikilia mbuzi wake hawezi kukuelewaMpaji Mungu hawezi kunifanyia hivo kabisa. Ingekuwa wewe ndio ningetia shaka😂😂
Aisee 😂 😂Amekesha stendi ya Magufuli huku kashikilia mbuzi wake hawezi kukuelewa
Kaka nime kaza sura, kila anaye jaribu kuni sogelea ana ogopa.Amekesha stendi ya Magufuli huku kashikilia mbuzi wake hawezi kukuelewa
Kaka huu si wizi Sasa?Au kama vipi nije kukupokea mizigo ili uwe huru kwenda kutafuta washkaji zako.