Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #261
Brow maana yake nini mkuu?Start as gradually change brow
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Brow maana yake nini mkuu?Start as gradually change brow
Shemeji simu ili ishiwa charge, ila kwa sasa niko hewani.Shemeji pokea simu!
Haya sasa uko wapi nikutumie dere?Shemeji simu ili ishiwa charge, ila kwa sasa niko hewani.
Niko stendi ya magufuli, kule wanapo paki bajaji.Haya sasa uko wapi nikutumie dere?
Aisee watu wa daslam ni mna roho za kipekee😂😂, morningIvyo vitu Ni mtaji kabisa😆 omba meza mahali upige kazi 😆😆😆😆
Madam mbona sija elewa, wa kuoa nani tena?.
hujui mi kataa ndoa ebo!
Kumbe Ile movie ya bongo daslam ni kweli aisee?, we si uli sema niki fika uta nipeleka kigamboni!.Mi nimetoka one time nimekuja Ruaha Mbuyuni hapa.
Ras umempata lakini?
Madam hebu tuma house girl aje ani pokee, maana toka Jana sija lala vizuri.😂😂😂
Sawa, sio kwamba sifahamu..
Hivi kumbe JF inamasiara kiasi hiki hata sikutegemeaIvyo vitu Ni mtaji kabisa😆 omba meza mahali upige kazi 😆😆😆😆
😆😆Hivi kumbe JF inamasiara kiasi hiki hata sikutegemea
Mmmh
kaka hapa napiga hesabu nirudi kwetu, maana hili jiji siliweziDaah nimecheka sana hilo shati jeupe limebadilika kuwa white dent wahuni sio watu aisee....
Dah! Kwa hiyo kakutelekeza stendi hakika huu c uungwana 😆Bro huu sio utu wala uungwana kabisa, hata Kama ni unyama huu sio wa Dunia hii.
nakumbuka ni wewe ndio uli nishauri nitoke kwetu nanjilinji, ili nije kukutembelea huko daslam.
Kila tuki piga story una nichana eti nanjilinji sio pazuri, eti mi binadamu nakubali vipi kukimbizana na nyani shambani.
Nika sema isiwe kesi, jana usiku nika kujulisha kuwa bro kesho juma tatu naanza safari.
Ukasema niondoe wasiwasi, eti tuko pamoja na tayari ume andaa kuku wa chalinze.
Cha kushangaza nime fika stendi ya magufuli hapa, una niambia nimu ulizie rasi?.
Kila ninaye muuliza ana ishia kuni tazama na kucheka, Eti wana mjua rasi Simba tu.
Bro Half american ndugu yako bado niko stendi ujue.
View attachment 3248012