Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #221
mkuu hili ni zaidi ya Picha la kijapanKama masihara hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu hili ni zaidi ya Picha la kijapanKama masihara hivi
Kaka una wasaliti masela kisa pesa ya mbuzi na mcheleWe nakutumia nauli, ukifika tu stendi nakufata utaenda sehemu unataka utakaa Kwa muda unaotaka siku ukichoka ntakupa nauli😁
Kwani ni kweli au unatufurahisha?mkuu hili ni zaidi ya Picha la kijapan
Sijawasaliti maselaKaka una wasaliti masela kisa pesa ya mbuzi na mchele
Mkuu bado niko stendi hapa, japo tuna songa ugali na wazee wa bajaji hapa.Kwani ni kweli au unatufurahisha?
Njoo uni pokee Sasa chafu yanguSijawasaliti masela
Dar ni jiji la kibepariNjoo uni pokee Sasa chafu yangu
Kaka ko una goma kuja kuni pokea?, aisee wakurungwa ma snitch Sana.Dar ni jiji la kibepari
Njoo uni pokee Sasa chafu yangu
Masaki halafu nafikia kwa nani?Mkuu ulizia magari ya kwenda masaki
Ngoja tuone kutakuchajeKaka ko una goma kuja kuni pokea?, aisee wakurungwa ma snitch Sana.
Ko nilale stendi ehh?, kaka nina mbuzi na jogoo tuta pika mtoriNgoja tuone kutakuchaje
Watakupokea Tu walinzi utachili nao au nenda maeneo ya sheliMasaki halafu nafikia kwa nani?
Nime yatimba aisee.noma sana
Kaka huu si uungwana lakini, jf sisi si washkaji?Watakupokea Tu walinzi utachili nao au nenda maeneo ya sheli
Kaka lala stendi asubhi nikupitie 😹Sister nawe mbona hufiki aisee?
Sawa karibu ugali na jogoo lililo Shiba mtama, hapa stendi ya bajajiKa
Kaka lala stendi asubhi nikupitie 😹