Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
KUA MAKINIWashkaji wa stendi wame nipokea, tuko tuna songa ugali na jogoo 1 hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KUA MAKINIWashkaji wa stendi wame nipokea, tuko tuna songa ugali na jogoo 1 hapa.
Mkuu jisikie upo nyumban usiogope kupotezwa na waxojulikanMkuu wasio julikana kwa Sasa ni wengi, nashukuru lakini.
😭Ugali situmii usiku ntapata kitambi🤣🤣Sawa karibu ugali na jogoo lililo Shiba mtama, hapa stendi ya bajaji
Ulikua unatuzunguka kutafuta ajira kimyakimya bila kutushirikishaali sema ana fungua biashara ya kuuza miguu ya kuku na firigisi, hivyo kwa ujuzi wangu ninge kuwa mpishi mkuu.
Mungu ameamua kumuumbua 😂
ushampata huyo yudaUkianza kula mbuzi tutatoka hiyo miogo we kula tu mtu una mbuzi si uza na huyo jogoo urud kwenu
raisi wetu kumbe fisadi kabisa haina budi kufanya mapinduzi 😂Mungu ameamua kumuumbua 😂
Kumbe ndo alikuwa amekuja dar kwa dhumuni Hilo?
Vitu vikifika ghetto anaitwa shemeji yake anakuwa anapika ugali anamkadiria kipimo, paja za kuku, maini na firigisi anampa rafiki ake yeye mletaji anakula vibawa.Kama umekuja na hayo basi soon utapokelewa halafu ukaachwe pale ubungo
watu wa dar hua nachoka hapo kweny kaugar ka kukadiria.. Asee nikama unaonjeshwaaVitu vikifika ghetto anaitwa shemeji yake anakuwa anapika ugali anamkadiria kipimo, paja za kuku, maini na firigisi anampa rafiki ake yeye mletaji anakula vibawa.
Mapinduzii hapanaaa! Ila Spana tumpigeeraisi wetu kumbe fisadi kabisa haina budi kufanya mapinduzi 😂
sawasawa msemaji, tunasubiri aje kuelezea hili kwa kinaMapinduzii hapanaaa! Ila Spana tumpigee
Ntaitisha kikao cha kamati kuu haraka sana
Ugali ngumi wanaitawatu wa dar hua nachoka hapo kweny kaugar ka kukadiria.. Asee nikama unaonjeshwaa
Kinoma mkuuKaka huu si uungwana lakini, jf sisi si washkaji?
Shemeji pokea simu!Shemela wangu binti kiziwi njoo uni pokee ndugu yangu nime achwa stendi ya magufuli hapa.
Kumbuka uki niacha nipotee, mdogo ako ata olewa na nani?
Start as gradually change browHaina jinsi, maana nime yatimba
Ndio maana mimi nime kuja na unga wangu wa donawatu wa dar hua nachoka hapo kweny kaugar ka kukadiria.. Asee nikama unaonjeshwaa
Shemeji Sasa mimi makosa yangu ni yapi?Now nimesoma comments nimecheka sana! Mashemeji zangu wote miyeyusho 😅😂😭