Ndugu yangu min-me, hii ni zaidi ya miyeyusho na mizinguo

Ndugu yangu min-me, hii ni zaidi ya miyeyusho na mizinguo

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
min -me Nimekucheck pm mwezi iliopita kuwa natafuta ajira. Unanihakikishia kabisa utani connectia na supermarket yenu ya familia iitwayo "Minimal Price" iliopo mwenge. Ukaniambia hata nikishafika mwenge hio sehemu ni maarufu sana hata wasanii wakubwa kama harmorapa wananunua bidhaa hapo.

Nafunga safari nikatoka kwetu napimbi, katika ya safari tuliongea vizuri ,muda ulivyozidi kwenda ukasema mara network inasumbua kufika stendi ya magu hupokei simu.

Nikachukua nauli , dala nikaunga hadi hadi mwenge, kuulizia minimal supermarket kila mtu ananiona bwege, wananiambua kitu maarufu hapa ni soko la vinyago na ITV.
Screenshot_20250224-175321.png


Hadi sasa mwana hapokei simu ila JF analike tu nyuzi za wa tu

Niko hapa hii stendi mpya niko apeche alolo mwana JF yoyote alie vizuri anisaidie nirudi home.
 
min -me Nimekucheck pm mwezi iliopita kuwa natafuta ajira. Unanihakikishia kabisa utani connectia na supermarket yenu ya familia iitwayo "Minimal Price" iliopo mwenge. Ukaniambia hata nikishafika mwenge hio sehemu ni maarufu sana hata wasanii wakubwa kama harmorapa wananunua bidhaa hapo.

Nafunga safari nikatoka kwetu napimbi, katika ya safari tuliongea vizuri ,muda ulivyozidi kwenda ukasema mara network inasumbua kufika stendi ya magu hupokei simu.

Nikachukua nauli , dala nikaunga hadi hadi mwenge, kuulizia minimal supermarket kila mtu ananiona bwege, wananiambua kitu maarufu hapa ni soko la vinyago na ITV.
View attachment 3248043

Hadi sasa mwana hapokei simu ila JF analike tu nyuzi za wa tu

Niko hapa hii stendi mpya niko apeche alolo mwana JF yoyote alie vizuri anisaidie nirudi home.
Cookie ilete chit chat hii
 
Back
Top Bottom