Ndugu yangu min-me, hii ni zaidi ya miyeyusho na mizinguo

Ndugu yangu min-me, hii ni zaidi ya miyeyusho na mizinguo

Hapo mtoto akikua anaanza kuweka status za "my mum my everything"
Acheni hizi porojo zenu mbona tunawaona watoto wengi tu wanawa appreciate baba zao na kusema hawataki hata kuwaona mama zao maana waliwatelekeza, shida hizi cases siyo nyingi na hamzisikii sana sababu ni wababa wachache wanaotelekezewa watoto na kukubali kuhangaika nao kama hivyo, huwezi linganisha na idadi ya wamama wanaotelekezewa watoto ndio maana cases za watoto kuwa appreciate mama zao ndio ziko nyingi na ndio zinaonekana sana
 
Acheni hizi porojo zenu mbona tunawaona watoto wengi tu wanawa appreciate baba zao na kusema hawataki hata kuwaona mama zao maana waliwatelekeza, shida hizi cases siyo nyingi na hamzisikii sana sababu ni wababa wachache wanaotelekezewa watoto na kukubali kuhangaika nao kama hivyo, huwezi linganisha na idadi ya wamama wanaotelekezewa watoto ndio maana cases za watoto kuwa appreciate mama zao ndio ziko nyingi na ndio zinaonekana sana
Jadda as jd 😂😂
 
kikubwa kabisa katibu,
sasa kutokea kwa tukio hili kuna dhihirisha uimara wa uongozi hapo jobles pro max na inaonekana jobless promax mmekuja kivingine kabisa,

tofauti na inavyodhaniwa na memba wengine mfano mtoa mada
Sisi ma jobless pro max tuna mipango mizuri ya namna ya kutoboa, na kuji kwamua kiuchumi.
 
Back
Top Bottom