Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,849
- 3,506
πππππDah mimi mwenyewe nimeshangaa mkuu mimi nipo zangu huku naombania riziki ya siku nakutana na hili.View attachment 3248058
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππDah mimi mwenyewe nimeshangaa mkuu mimi nipo zangu huku naombania riziki ya siku nakutana na hili.View attachment 3248058
Mhm sio kweli mkuu hata wanaume tunaweza fanya .Kazi za supermarket wanafanyaga mademu
ππππKazi za supermarket wanafanyaga mademu
[emoji1787] Sio na wewe bwanah kuna mwenzie ameanzisha thread kama hii apa chit-chatMtu mmoja tena[emoji16][emoji16] inawezekana vip madam?
Poa Kenzy habari ya wewe apoBaby mambo
Hivi kumbe upo....Poa Kenzy habari ya wewe apo
Nipo Mwifwa nimefurahi kukuona sasa hivi tumeshajizeekea tunaonekana mara chache sanaHivi kumbe upo....
nzuri, nimekuhamu sana!Poa Kenzy habari ya wewe apo
πPole kijana uliingizwa cha kike na wahuni mimi mwenyewe nipo huku namtumbo hata dar sijawahi kufika.
View attachment 3248047
Mmeshaanza. Kammon FANYENI kazi nyie!Baby mambo
Kwahiyo nyie wawili ni mtu mmoja eenh
Nimekuhamu pia Kenzynzuri, nimekuhamu sana!
DaaahSijakuelewa wote wawili ni mtu mmoja Au?
Hapo mtoto akikua anaanza kuweka status za "my mum my everything"
Ahsante! ulipotelea wapi mimi nina wivu nawewe..!Nimekuhamu pia Kenzy
Noma sanaHapo mtoto akikua anaanza kuweka status za "my mum my everything"