Acheni hizi porojo zenu mbona tunawaona watoto wengi tu wanawa appreciate baba zao na kusema hawataki hata kuwaona mama zao maana waliwatelekeza, shida hizi cases siyo nyingi na hamzisikii sana sababu ni wababa wachache wanaotelekezewa watoto na kukubali kuhangaika nao kama hivyo, huwezi linganisha na idadi ya wamama wanaotelekezewa watoto ndio maana cases za watoto kuwa appreciate mama zao ndio ziko nyingi na ndio zinaonekana sanaHapo mtoto akikua anaanza kuweka status za "my mum my everything"
Tena cheo kikubwa tuπππππ min -me si anacheo kwa jobless pro
hii ni comeback kufuatia tukio la Intelligent businessman raisi wa jobles pro kutelekezwa stendi
Sihusiki na hili, ila huyo Eli Cohen kaiga content yanguπ€£πEl Cohen na Intelligent businessman π€
Katibu wa chama Cha ma jobless pro max π€£π€£Tena cheo kikubwa tuππ
Shida wana chukulia vitu kwa u serious Sana, muda mwingine we rock back in time kufurahia.Acha kukaza mishipa ya shingo wewe, mda mwingine lainisha hata koo maisha yapo tuπ
ali iga content tu, halafu nami ndio naona Leo.Kwahiyo nyie wawili ni mtu mmoja eenh
Jadda as jd ππAcheni hizi porojo zenu mbona tunawaona watoto wengi tu wanawa appreciate baba zao na kusema hawataki hata kuwaona mama zao maana waliwatelekeza, shida hizi cases siyo nyingi na hamzisikii sana sababu ni wababa wachache wanaotelekezewa watoto na kukubali kuhangaika nao kama hivyo, huwezi linganisha na idadi ya wamama wanaotelekezewa watoto ndio maana cases za watoto kuwa appreciate mama zao ndio ziko nyingi na ndio zinaonekana sana
kikubwa kabisa katibu,Tena cheo kikubwa tuππ
Sisi ma jobless pro max tuna mipango mizuri ya namna ya kutoboa, na kuji kwamua kiuchumi.kikubwa kabisa katibu,
sasa kutokea kwa tukio hili kuna dhihirisha uimara wa uongozi hapo jobles pro max na inaonekana jobless promax mmekuja kivingine kabisa,
tofauti na inavyodhaniwa na memba wengine mfano mtoa mada