Ndugu yangu na wengine sita wakamatwa usiku wa manane wakihisiwa kujifunza ugaidi na hatujui waliko hadi sasa

Padri akibaka ahukumiwe padri na si dini ila sheikh akibaka unahukumiwa uislam, Enyi wagalatia msio na akili ni nani aliyewaroga?


Mkuu kuna shida mahali kwenye mafundisho ya hii dini,mbona ninyi kila siku,kwani hii dunia haipaswi kuwa na wanadamu wenye imani tofauti,mbona kila mahali ninyi ndio tatizo?
 
Je shughuli zake ndogondogo na mipango mchepuko zake mnazijua?
 
Mwezi wa nne sasa ndugu yetu kimya na tumeshatapeliwa zaidi ya million 1.5 kwa watu waliojinasibu ni usalama na wanataka kumrejesha ndugu yetu
 
Mwezi wa nne sasa ndugu yetu kimya na tumeshatapeliwa zaidi ya million 1.5 kwa watu waliojinasibu ni usalama na wanataka kumrejesha ndugu yetu
Ndugu yako ndiye yule jamaa mweusi kwenye video ya HAMAS wakiteka Waisrael huku akipiga Kelele Alawakubar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…