kidole cha simba
JF-Expert Member
- Jun 3, 2022
- 1,994
- 2,510
TZ 2na2mia mbinu za IDF,2nanusa mpaka spana!!!Waambieni vijana wawe makinaki akina Zuena ni wengi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TZ 2na2mia mbinu za IDF,2nanusa mpaka spana!!!Waambieni vijana wawe makinaki akina Zuena ni wengi.
Padri akibaka ahukumiwe padri na si dini ila sheikh akibaka unahukumiwa uislam, Enyi wagalatia msio na akili ni nani aliyewaroga?
Kumbe unajua kabisaIshu nahisi ni kampani maana nasikia huy rafiki yake mmoja ana video kabisa za mauaji yanayofanywa na alshabab au vikundi vingne vya kigaidi kwenye simu yake
hayajakukuta,endelea kuropoka tuKwa akili yangu ndogo Nina imani hakuna mtu anakamatwa bahati mbaya, kwani mtaani kwake Kuna watu wengi wanaendelea na maisha yako. KWANINI YEYE????
Nilichokiropoka Nina uhakika nacho kwa 100%.hayajakukuta,endelea kuropoka tu
Dini ni upumbavu wa kiwango cha lami duniani, ishi ukiamini Mungu tu, achana na hizi dini, watu wanageuzwa mataahira kabisa, pande zote za hizi diniInasikitisha sana asee,hii dini inashida gani?mbona wanafanya mambo ya kishamba sana wakati dunia imetoka huko siku nyingi.
Tanzania kuna wakristo na waislam hatuoni hizo fight?View attachment 2806625
Mkuu kuna shida mahali kwenye mafundisho ya hii dini,mbona ninyi kila siku,kwani hii dunia haipaswi kuwa na wanadamu wenye imani tofauti,mbona kila mahali ninyi ndio tatizo?
wewe ni gaidi.usalama muangalieni huyu.Huo ndio uonevu sasa
Je shughuli zake ndogondogo na mipango mchepuko zake mnazijua?Habari ndugu wana JF,
Jamani hii nchi kamatakamata haijaisha. Nina kaka yangu ambae ni wa kwanza kuzaliwa, miaka 31 amekamatwa usiku wa manane yapata wiki mbili sasa na watu tunaowahisi ni Usalama wa Taifa.
Walienda wakavunja komeo la mlango wake wakaingia ndani. Walikuwa na bunduki, wakamkamata pasi na kutoa maelezo maalum. Wakabeba na simu zake hatujui aliko hadi leo hii. Mama yake mzazi analia kuchwa kutwa hajui kama mwanae ni mzima ama amekufa.
Kwakweli hali ya usalama nchini si shwari, na hatukuwahi kumuona ama kumuhisi ana vitendo hivyo isipokuwa tu ni muislamu dhehebu la sunni na shughuli yake kuu tunaijua.
Kwahiyo ombi langu kwa mamlaka; hatukatazi kuwakamata na kuwahoji, ila ni vizuri mkawafahamisha ndugu wa karibu ili waelewe wapendwa wao wamepelekwa wapi. Pia ndugu Wana JF, naomba muendelee kupaza sauti kutokana na vitendo hivi vya usalama wa taifa.
Ndugu yako ndiye yule jamaa mweusi kwenye video ya HAMAS wakiteka Waisrael huku akipiga Kelele AlawakubarMwezi wa nne sasa ndugu yetu kimya na tumeshatapeliwa zaidi ya million 1.5 kwa watu waliojinasibu ni usalama na wanataka kumrejesha ndugu yetu