Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Kwani kuna chanzo tayari.?
Kaka wa Kwanza wa Kuzaliwa au ndio wale Wazungu wanao waita Brother in Arms? Mda utaeleza.Habari ndugu wana JF,
Jamani hii nchi kamatakamata haijaisha. Nina kaka yangu ambae ni wa kwanza kuzaliwa, miaka 31 amekamatwa usiku wa manane yapata wiki mbili sasa na watu tunaowahisi ni Usalama wa Taifa.
Walienda wakavunja komeo la mlango wake wakaingia ndani. Walikuwa na bunduki, wakamkamata pasi na kutoa maelezo maalum. Wakabeba na simu zake hatujui aliko hadi leo hii. Mama yake mzazi analia kuchwa kutwa hajui kama mwanae ni mzima ama amekufa.
Kwakweli hali ya usalama nchini si shwari, na hatukuwahi kumuona ama kumuhisi ana vitendo hivyo isipokuwa tu ni muislamu dhehebu la sunni na shughuli yake kuu tunaijua.
Kwahiyo ombi langu kwa mamlaka; hatukatazi kuwakamata na kuwahoji, ila ni vizuri mkawafahamisha ndugu wa karibu ili waelewe wapendwa wao wamepelekwa wapi. Pia ndugu Wana JF, naomba muendelee kupaza sauti kutokana na vitendo hivi vya usalama wa taifa.
Poleni sana famili, lakini ukisema watakuwa usalama wa Taifa ni kuwakosea watu hao maana hauna evidence, na pia kusema mnahisi ni kosa la ugaidi tayari lipo unalojua zaidiHabari ndugu wana JF,
Jamani hii nchi kamatakamata haijaisha. Nina kaka yangu ambae ni wa kwanza kuzaliwa, miaka 31 amekamatwa usiku wa manane yapata wiki mbili sasa na watu tunaowahisi ni Usalama wa Taifa.
Walienda wakavunja komeo la mlango wake wakaingia ndani. Walikuwa na bunduki, wakamkamata pasi na kutoa maelezo maalum. Wakabeba na simu zake hatujui aliko hadi leo hii. Mama yake mzazi analia kuchwa kutwa hajui kama mwanae ni mzima ama amekufa.
Kwakweli hali ya usalama nchini si shwari, na hatukuwahi kumuona ama kumuhisi ana vitendo hivyo isipokuwa tu ni muislamu dhehebu la sunni na shughuli yake kuu tunaijua.
Kwahiyo ombi langu kwa mamlaka; hatukatazi kuwakamata na kuwahoji, ila ni vizuri mkawafahamisha ndugu wa karibu ili waelewe wapendwa wao wamepelekwa wapi. Pia ndugu Wana JF, naomba muendelee kupaza sauti kutokana na vitendo hivi vya usalama wa taifa.
Unamengi ya kujifunza chiefBrooo hivi gaidi serious auze maji kwenye mkokoteni sasa kuna maana gan ya kuwa gaidi
💯 correctKwanini una imani ni watu wa usalama wamemchukua?
Inawezekana pia ni vikundi vingine vya uhalifu vimemteka.
Kama si gaidi ataachiwa huru, kama ni gaidi atapotezwa. Pia hata kama ni gaidi wewe usingejua.Anaitwa ABDUL OMARI KUONEWA ni mkazi wa RUANGWA mjini hapo mjini penyewe nasikia wamekamatwa kama vijana sita
Ruangwa? So Iko jirani na msumbiji hiyoAnaitwa ABDUL OMARI KUONEWA ni mkazi wa RUANGWA mjini hapo mjini penyewe nasikia wamekamatwa kama vijana sita
Mmmmh
Mkuu wangu hebu tulia kwanza kisha tafakari vizuri kwa kina.
- Je unaifahamu ratiba ya nduguyo 24hrs kwa 7days?
- Haujawahi kuwa na picha yake, je huyo ni ndugu wa damu au ndugu katika imani?
- Mmetoa taarifa polisi? Na wamejibu nini?
- Vijana sita waliokamatwa naye, nao shughuli zao ni zipi?
Haya maelezo yako kidogo yanaonyesha jamaa yako ana viashiria vya uhalifu.Daah its so sad ishu ikoje kile kipindi cha sakata la kibiti walikamatwa akiwepo na yeye ila wakarudishwa baada ya kuona hawakuw na hatia ila huyo imamu ambae alikuwa anawapa mawaidha yanayohusiana na jihadi nasikia aliuliwa huko huko na tangu kipindi hicho ratba yake masaa 24 tunaijua asubuh mpak saa 12 yupo kazin kwake alafu jion anarud nyumban analala na mkewe anathibitisha hajawahi kutoka usiku hata siku moja labda akahisi kuna shughuli nyingine anaifanya kwa siri
Mi amadi we nani? 🤣Ungejitambulisha kwanza ili wajue wewe ni nani? Unaishi wapi? Hii itasaidia kukujua na kukuletea msaada.
Kwasababu siyo ndugu yako.Kuna usemi wa siku hizi usemao "Kichaa anachekesha km sio ndugu yako".Acheni nyie damu ni nzito kuliko maji.Acha uvivu na mashaka, kama yupo kwenye mikono ya serikali basi jua yupo mahali salama. Lkn kama kachukuliwa na magaidi wenzake, basi imekula kwake.
Ni jukwaa pia huko tweeter, au telegram 'wenye nchiwananchi' na youtube, kunakojadiliwa mambo mbalimbali yanayoendelea nchini.Maria spaces ndo nini
Maria spaces ndo nini
Muhammad said; I have been given superiority over the other prophets in six respects: I have been given words which are concise but comprehensive in meaning; I have been helped by terror (in the hearts of enemies):......Sahih Muslim 523aOkay.
V I jana wa akiiskam wasidanganyike kwa tamaa ya pesa.
Uislam haufundishi ugaidi.
Mkiona mtu hata msikitini anajidai kufanya urafiki abawarubuni kwa pesa mumtolee ripoti polisi haraka sana.
Siyo kila muislamu ni gaidi lakini kila gaidi ni muislamu.Mbona hapo ushamtuhumu kuwa ni gaidi?
Au kila Muislam ni gaidi?
Huo ndiyo ujinga tulioaminisha na kujazwa nao vichwani.Siyo kila muislamu ni gaidi lakini kila gaidi ni muislamu.
Muanzilishi wa ugaidiUonevu na chuki zid ya waislam ila wafanye wafanyavyo hawawezi zima nuru ya uislam