Ndugu yangu na wengine sita wakamatwa usiku wa manane wakihisiwa kujifunza ugaidi na hatujui waliko hadi sasa

Ndugu yangu na wengine sita wakamatwa usiku wa manane wakihisiwa kujifunza ugaidi na hatujui waliko hadi sasa

Habari ndugu wana JF,

Jamani hii nchi kamatakamata haijaisha. Nina kaka yangu ambae ni wa kwanza kuzaliwa, miaka 31 amekamatwa usiku wa manane yapata wiki mbili sasa na watu tunaowahisi ni Usalama wa Taifa.

Walienda wakavunja komeo la mlango wake wakaingia ndani. Walikuwa na bunduki, wakamkamata pasi na kutoa maelezo maalum. Wakabeba na simu zake hatujui aliko hadi leo hii. Mama yake mzazi analia kuchwa kutwa hajui kama mwanae ni mzima ama amekufa.

Kwakweli hali ya usalama nchini si shwari, na hatukuwahi kumuona ama kumuhisi ana vitendo hivyo isipokuwa tu ni muislamu dhehebu la sunni na shughuli yake kuu tunaijua.

Kwahiyo ombi langu kwa mamlaka; hatukatazi kuwakamata na kuwahoji, ila ni vizuri mkawafahamisha ndugu wa karibu ili waelewe wapendwa wao wamepelekwa wapi. Pia ndugu Wana JF, naomba muendelee kupaza sauti kutokana na vitendo hivi vya usalama wa taifa.
Kaka wa Kwanza wa Kuzaliwa au ndio wale Wazungu wanao waita Brother in Arms? Mda utaeleza.
 
Habari ndugu wana JF,

Jamani hii nchi kamatakamata haijaisha. Nina kaka yangu ambae ni wa kwanza kuzaliwa, miaka 31 amekamatwa usiku wa manane yapata wiki mbili sasa na watu tunaowahisi ni Usalama wa Taifa.

Walienda wakavunja komeo la mlango wake wakaingia ndani. Walikuwa na bunduki, wakamkamata pasi na kutoa maelezo maalum. Wakabeba na simu zake hatujui aliko hadi leo hii. Mama yake mzazi analia kuchwa kutwa hajui kama mwanae ni mzima ama amekufa.

Kwakweli hali ya usalama nchini si shwari, na hatukuwahi kumuona ama kumuhisi ana vitendo hivyo isipokuwa tu ni muislamu dhehebu la sunni na shughuli yake kuu tunaijua.

Kwahiyo ombi langu kwa mamlaka; hatukatazi kuwakamata na kuwahoji, ila ni vizuri mkawafahamisha ndugu wa karibu ili waelewe wapendwa wao wamepelekwa wapi. Pia ndugu Wana JF, naomba muendelee kupaza sauti kutokana na vitendo hivi vya usalama wa taifa.
Poleni sana famili, lakini ukisema watakuwa usalama wa Taifa ni kuwakosea watu hao maana hauna evidence, na pia kusema mnahisi ni kosa la ugaidi tayari lipo unalojua zaidi
 
Anaitwa ABDUL OMARI KUONEWA ni mkazi wa RUANGWA mjini hapo mjini penyewe nasikia wamekamatwa kama vijana sita
Kama si gaidi ataachiwa huru, kama ni gaidi atapotezwa. Pia hata kama ni gaidi wewe usingejua.
 
Mmmmh
Mkuu wangu hebu tulia kwanza kisha tafakari vizuri kwa kina.

  1. Je unaifahamu ratiba ya nduguyo 24hrs kwa 7days?
  2. Haujawahi kuwa na picha yake, je huyo ni ndugu wa damu au ndugu katika imani?
  3. Mmetoa taarifa polisi? Na wamejibu nini?
  4. Vijana sita waliokamatwa naye, nao shughuli zao ni zipi?

Kuanzia kwny kona hiyo ya nanganga kwenda hadi mbele ya ruangwa, kila mtu anamjua karibu kila mtu. Kama kweli Serikali wamemfuata, tambua wana taarifa zote kumuhusu
 
Pole kwa yaliyomkuta Kaka yako:-
1)Mpaka wanyookee kwake na wenzake, inawezekana kuna viashiria vya awali vilivyoonyesha ya kuwa ana nyendo zinazotia shaka;

2)Kama hana tatizo, uwezekano ni atarudi salama (95% - 100%);

3)Kutokumuhisi sio sababu ya yeye kutojihusisha kwa vitendo viovu (Siri ya mtu iko moyoni / Pia kuna msemo MLIPO-WAPO/THE ENEMY WITHIN (BUT PERHAPS) THE SAVIOUR TO MANY !!);

4)Na hata akirudi salama, unaweza usijue nini kilijiri kipindi alichokuwa anashikiliwa (95%-100% / Sijui huwa yanawakuta yapi !!);

5) Kaa kwa kutulia na kumwombea arudi salama (What if YOUR ARE NEXT !!!)

6) Pia inawezekana wamechukuliwa na washirika wao !!! (BETREYAL/SABABU NYINGINEZO !!!)
 
Daah its so sad ishu ikoje kile kipindi cha sakata la kibiti walikamatwa akiwepo na yeye ila wakarudishwa baada ya kuona hawakuw na hatia ila huyo imamu ambae alikuwa anawapa mawaidha yanayohusiana na jihadi nasikia aliuliwa huko huko na tangu kipindi hicho ratba yake masaa 24 tunaijua asubuh mpak saa 12 yupo kazin kwake alafu jion anarud nyumban analala na mkewe anathibitisha hajawahi kutoka usiku hata siku moja labda akahisi kuna shughuli nyingine anaifanya kwa siri
Haya maelezo yako kidogo yanaonyesha jamaa yako ana viashiria vya uhalifu.
 
Maria spaces ndo nini
Ni jukwaa pia huko tweeter, au telegram 'wenye nchiwananchi' na youtube, kunakojadiliwa mambo mbalimbali yanayoendelea nchini.
#MariaSpaces#MariaSpaces
 
Okay.

V I jana wa akiiskam wasidanganyike kwa tamaa ya pesa.

Uislam haufundishi ugaidi.

Mkiona mtu hata msikitini anajidai kufanya urafiki abawarubuni kwa pesa mumtolee ripoti polisi haraka sana.
Muhammad said; I have been given superiority over the other prophets in six respects: I have been given words which are concise but comprehensive in meaning; I have been helped by terror (in the hearts of enemies):......Sahih Muslim 523a
 
Huyo ndugu yenu hajakamatwa kimakosa na familia inajua kila kitu na sio mara ya kwanza kukamatwa ndo maana hukutaka kufunguka sana!

Elezea vizuri kwanini alikamatwa kwenye yale yaliyokua yanaendelea kibiti? Kwani wakati huo hakua anauza maji?
 
Uonevu na chuki zid ya waislam ila wafanye wafanyavyo hawawezi zima nuru ya uislam
Muanzilishi wa ugaidi

Muhammad said; I have been given superiority over the other prophets in six respects: I have been given words which are concise but comprehensive in meaning; I have been helped by terror (in the hearts of enemies):......Sahih Muslim 523a
 
Back
Top Bottom