Ndugu yangu na wengine sita wakamatwa usiku wa manane wakihisiwa kujifunza ugaidi na hatujui waliko hadi sasa

Ndugu yangu na wengine sita wakamatwa usiku wa manane wakihisiwa kujifunza ugaidi na hatujui waliko hadi sasa

Tanzania katika issue ya kupambana na masuala ya ugaidi wako very serious mzee hyo task force inafanya kazi usiku na mchana.

Kuna jirani yetu alikuwa na duka la spear za magari makubwa sasa pale nje kulikuwa na boda ambae walikuwa wanamtumia sana kwa issue za kusupply spear kwa wateja.

Sasa kuna siku wazew wakazi wakaja kumchkua huyo boda boda,baadae ikaja gundulika kuwa anahusika na masuala ya ugaidi alshabab.

Baada ya maneno mengi ya majirani kwa tajiri kuwa kamtupa jamaa aozee jela bas akapata nguvu akaenda kufatilia kituo fulani hapa dar weee mpemba wawatu ndani simu zilipigwa kila sehemu maana wana ndugu na jamaa mpaka jengo jeupe lakini mpemba wala boda boda hawakutoka.

Baada kama ya week 2 mpemba ndo akatoka ndani,na mpaka naandika hapa ni kwamba hakuwahi kuongea chochote alichofanyiwa au maisha ya hko alipokuwepo yakoje,boda boda mpaka leo hatujui kama alitoka au la.

NOTE:
Task force inayohusika na masuala ya ugaidi ina nguvu kubwa mno na inafanya kazi usiku na mchana na ndani yake kuna mixer ya usalama,polisi,jeshi,magereza,uhamiaji mixer comando's na mpaka ukiona mtu kaja kubebwa jua wana full intro kuhusu mtu husika kwani hawabahatishi
Waambieni vijana wawe makinaki akina Zuena ni wengi.
 
ABDUL OMARI KUONEWA[emoji3064]
Sijui kwanini majina hubeba roho ya uhalisia?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila huyu hajaonewa. Ukiona mtu mpaka anakamatwa kwa kuhisiwa ugaidi ujue anajihusisha kwa namna moja au nyingine.

Usione watu wako kanisani au msikitini ukawachukulia poa, wengine wako kazini kufuatilia taarifa za kiusalama wa nchi

Na akigundulika ana makosa bora wakazike mgomba atauawa juu kwa juu
 
Daah its so sad ishu ikoje kile kipindi cha sakata la kibiti walikamatwa akiwepo na yeye ila wakarudishwa baada ya kuona hawakuw na hatia ila huyo imamu ambae alikuwa anawapa mawaidha yanayohusiana na jihadi nasikia aliuliwa huko huko na tangu kipindi hicho ratba yake masaa 24 tunaijua asubuh mpak saa 12 yupo kazin kwake alafu jion anarud nyumban analala na mkewe anathibitisha hajawahi kutoka usiku hata siku moja labda akahisi kuna shughuli nyingine anaifanya kwa siri
Mpaka hapa huyo ndugu yako si mtu mzuri. Mark my words.
 
Mafunzo ya ugaidi mtu hata kutumia silaha hawezi.

Na lindi Kuna ugaidi ?????

Hao usalama waache mambo Yao ya kuonea watu kwa propaganda za wazungu.
 
Kwa nini Vijana WA Kikristo wasidanganywe kuwa magaidi?
Kwa nini tahadhari iwe pekee Kwa Vijana WA kiislam?

1. Je Vijana WA kiislam ni wajinga hivyo ni wepesi kulaghaiwa?

2. Je mafundisho ya kiislam ni rahisi kutumika kufanyia ugaidi kuliko mafundisho ya Kikristo?

3. Je Vijana wa kiislam ni Maskini ukilinganisha na Vijana WA Kikristo, Hali ijayosababisha kurubuniwa Kwa Pesa?

4. Je Vijana WA kiislam wanatamaa zaidi kuliko Vijana WA Kikristo?

Kwako Faiza
@Robert Heriel Mtibeli kwanza unatakiwa kujua hiyo sera ya ugaidi imeletwa na nani nchini tz ??? Na lengo lake ni kudhibiti Nini ???

Alafu nitakujibu.!
 
Ila huyu hajaonewa. Ukiona mtu mpaka anakamatwa kwa kuhisiwa ugaidi ujue anajihusisha kwa namna moja au nyingine.

Usione watu wako kanisani au msikitini ukawachukulia poa, wengine wako kazini kufuatilia taarifa za kiusalama wa nchi

Na akigundulika ana makosa bora wakazike mgomba atauawa juu kwa juu
Kwa hivyo kukamatwa ni uthibitisho wa uhalifu? Tuseme na Slaa, Mdude na Mwakabusi na wahaini?
 
Kama hawabahatishi mbona wanakamata watu na kuwarudisha
Tanzania katika issue ya kupambana na masuala ya ugaidi wako very serious mzee hyo task force inafanya kazi

Kuna jirani yetu alikuwa na duka la spear za magari makubwa sasa pale nje kulikuwa na boda ambae walikuwa wanamtumia sana kwa issue za kusupply spear kwa wateja.

Sasa kuna siku wazew wakazi wakaja kumchkua huyo boda boda,baadae ikaja gundulika kuwa anahusika na masuala ya ugaidi alshabab.

Baada ya maneno mengi ya majirani kwa tajiri kuwa kamtupa jamaa aozee jela bas akapata nguvu akaenda kufatilia kituo fulani hapa dar weee mpemba wawatu ndani simu zilipigwa kila sehemu maana wana ndugu na jamaa mpaka jengo jeupe lakini mpemba wala boda boda hawakutoka.

Baada kama ya week 2 mpemba ndo akatoka ndauwahi kuongea chochote alichofanyiwa au maisha ya hko alipokuwepo yakoje,boda boda mpaka leo hatujui kama alitoka au la.

NOTE:
Task force inayohusika na masuala ya ugaidi ina nguvu kubwa
 
Habari ndugu wana JF,

Jamani hii nchi kamatakamata haijaisha. Nina kaka yangu ambae ni wa kwanza kuzaliwa, miaka 31 amekamatwa usiku wa manane yapata wiki mbili sasa na watu tunaowahisi ni Usalama wa Taifa.

Walienda wakavunja komeo la mlango wake wakaingia ndani. Walikuwa na bunduki, wakamkamata pasi na kutoa maelezo maalum. Wakabeba na simu zake hatujui aliko hadi leo hii. Mama yake mzazi analia kuchwa kutwa hajui kama mwanae ni mzima ama amekufa.

Kwakweli hali ya usalama nchini si shwari, na hatukuwahi kumuona ama kumuhisi ana vitendo hivyo isipokuwa tu ni muislamu dhehebu la sunni na shughuli yake kuu tunaijua.

Kwahiyo ombi langu kwa mamlaka; hatukatazi kuwakamata na kuwahoji, ila ni vizuri mkawafahamisha ndugu wa karibu ili waelewe wapendwa wao wamepelekwa wapi. Pia ndugu Wana JF, naomba muendelee kupaza sauti kutokana na vitendo hivi vya usalama wa taifa.
Kwenye ishu ya ugaidi ni mara chache hawa jamaa kukukamata bila kuwa na sababu aisee. Inawezekana jamaa kuna watu aliwahudumia kwa kujua au kwa kutokujua
 
Askari Magereza aliaacha kazi ya jeshi akampiganie Allah.

Akawa anauza maji kwenye mzega mzega(toroli) kwahiyo watu wanamuona akiuza maji kama ndo shughuli yake inayomuingizia kipato kumbe ni undecover tu,Usiku wa maanan wanakutana katika mipango yao ya ugaidi na kuvamia ili kuishi.Huyo jamaa ndo alichonga mchongo wa kuvamia Staki Shari na kupora bunduki na kwenda kuleta movement kibiti.

Vipenyo wakagundua kuna watu wanatoka kwake saa 11 alfajiri,hilo gaidi likaja kuuliwa kwenye sekeseke la Kibiti.

Haya magaidi sio yakucheka nayo kabisa yaan.

Centre yao East Afrika ilikuwa Kenya kwa sheikh Logo anawahifadhi chakula,malazi,pesa nk...kisha kuwasafirisha kwa Al shabab,baadae shekh Makaburi lakini wote washatangulizwa mbele ya haki.

Hawa vijana wanaongopewa sana sana kuhusu pepo na mabikira,mafundisho hatarishi yote lazima yamulikwe kwa jicho la mwewe.
Kwa kurekebisha kidogo Sheikh Rogo na Makaburi hawakuwa wadhamini bali walikuwa kama recruiters ( watoa mafunzo) kwa vijana wadogo pale Masjid Musa Mombasani. Then vijana mafunzo yakiwaingia wanakuwa selected kwa watu wengine kwa stages nyingine. Kuwa full gaidi it's a process. Ndio maana hao kina Rogo Makaburi na mwingine jina limenitoka hawakuwahi kutiwa hatiani ktk kesi za mwanzo na mamlaka za Kenya cz hawakuwa na silaha au ushahidi wa moja kwa moja. Ila kwakuwa wakakuacha tabia ya kuwafunza jihad vijana basi mamlaka ikaona isiwe shida
 
Kwa kurekebisha kidogo Sheikh Rogo na Makaburi hawakuwa wadhamini bali walikuwa kama recruiters ( watoa mafunzo) kwa vijana wadogo pale Masjid Musa Mombasani. Then vijana mafunzo yakiwaingia wanakuwa selected kwa watu wengine kwa stages nyingine. Kuwa full gaidi it's a process. Ndio maana hao kina Rogo Makaburi na mwingine jina limenitoka hawakuwahi kutiwa hatiani ktk kesi za mwanzo na mamlaka za Kenya cz hawakuwa na silaha au ushahidi wa moja kwa moja. Ila kwakuwa wakakuacha tabia ya kuwafunza jihad vijana basi mamlaka ikaona isiwe shida

Inasikitisha sana asee,hii dini inashida gani?mbona wanafanya mambo ya kishamba sana wakati dunia imetoka huko siku nyingi.
 
Inasikitisha sana asee,hii dini inashida gani?mbona wanafanya mambo ya kishamba sana wakati dunia imetoka huko siku nyingi.
Padri akibaka ahukumiwe padri na si dini ila sheikh akibaka unahukumiwa uislam, Enyi wagalatia msio na akili ni nani aliyewaroga?
 
Back
Top Bottom