Tetesi: Ndugu yetu Hasheem Thabeet anarejea NBA

Tetesi: Ndugu yetu Hasheem Thabeet anarejea NBA

Well said, japokuwa kalagabaho anasema tunahate tukisema ukweli ila nashindwa kuelewa overall pick namba 2 akaflop vile alafu mtu alokuwa wa 16 akashine ville wakati pick zinafanyika kina James na Stieve walikuwa wanamwona HASHEEM NI MONSTER nna uhakika walikuwa wanamwogopa kabisa kwene game ila jamaa akachezea shilling chooni, penye ukweli tuwe tunasema tu tusikae kimya turekebishane tu panapobidi, kuna article nlishawahi soma wazungu wanasema alivyokuja NBA timu ziliweka ela nyingi kwake wakitegemea maajabu badala yake akawa anazidiwa statistics na hadi watu kama kina RAJON RONDO na ISAIA THOMAS sasa jitu kama hashimu unazidiwaje stats na vidogo kama hivi ? Twendeni mbele na kurudi nyuma...ILA KAMA ATAFANIKIWA KURUDI KWELI AMEPAMBANA MAANA MWAKA JANA NLISOMA ARTICLE NYINGINE INASEMA AMEAJIRI PERSONAL TRAINER KABISA WA KUMWEKA SAWA....All the Best Hasheem
Kuna muda unawaza mchongo kama ule angeupata mtu kama Dullah Mpemba aat his prime sijui hata ingekuaje!!
Yaani summer training camp unatrain na Hakeem Olajuwon,nyingine ile akawa na Mutombo,uko chama moja na The Beard,Russell na K.D afu we ndo jitu kubwa pale chini how do you flop???!!!!
All in all,the never say die spirit ya Hasheem ni kitu inani inspire sana.Bado anaamini he got this na atarudi kwenye ligi na ailipe kwa trust ambayo ilimuonyesha,true champion!
 
Why Hashim "Hasheem Thabeet" had a downfall career with Grizzlies, timu yake ya kwanza kabisa NBA...

Y'all should read this...

https://bealestreetbears.com/2019/01/17/memphis-grizzlies-tony-allen-hasheem-thabeet/
"didnt want to listen","no proffessional diet habits","no focus and attention" and "absolutely no talent"
Tony been there,done that.when he speaks you better listen!
Now you lot stop calling people "haters" wanapomkosoa mdogo wenu.He had an opportunity,even with minimum or no talent at all,his physicallity could do him better only if "he listened".
 
Kuna muda unawaza mchongo kama ule angeupata mtu kama Dullah Mpemba aat his prime sijui hata ingekuaje!!
Yaani summer training camp unatrain na Hakeem Olajuwon,nyingine ile akawa na Mutombo,uko chama moja na The Beard,Russell na K.D afu we ndo jitu kubwa pale chini how do you flop???!!!!
All in all,the never say die spirit ya Hasheem ni kitu inani inspire sana.Bado anaamini he got this na atarudi kwenye ligi na ailipe kwa trust ambayo ilimuonyesha,true champion!

Dah umenikumbusha Dullah jamaa alikua anajua na anapiga kazi kwelikweli tena kipindi ambacho wengi walikua wanacheza kibishoo.. hivi aliendaga wapi kucheza yule jamaa ni comoro au sikumbuki vizuri.. dah nimemkumbuka na Obote mwili mkubwa
 
"didnt want to listen","no proffessional diet habits","no focus and attention" and "absolutely no talent"
Tony been there,done that.when he speaks you better listen!
Now you lot stop calling people "haters" wanapomkosoa mdogo wenu.He had an opportunity,even with minimum or no talent at all,his physicallity could do him better only if "he listened".

Kwa background yake Hasheem alihitaji mwongozo toka katika development development ambayo Grizzlies hawakuwa nayo hiyo ndio sababu kuu ya ku fail kwa Thabeet kama ilivyoelezwa katika hiyo article ..then ndio tumgeukie yeye mwenyewe.. ni vyema tukawa fair kwenye kuhukumu
 
Kuna muda unawaza mchongo kama ule angeupata mtu kama Dullah Mpemba aat his prime sijui hata ingekuaje!!
Yaani summer training camp unatrain na Hakeem Olajuwon,nyingine ile akawa na Mutombo,uko chama moja na The Beard,Russell na K.D afu we ndo jitu kubwa pale chini how do you flop???!!!!
All in all,the never say die spirit ya Hasheem ni kitu inani inspire sana.Bado anaamini he got this na atarudi kwenye ligi na ailipe kwa trust ambayo ilimuonyesha,true champion!

Yaaaah hata mimi nampa bigup aisee kapambana ila alifanya kosa hilo inabid tukubali, wewe kina KD walikuwa wanamwangalia yeye kama jitu kubwa kwene timu yao, wazungu huwa wanashangaa jamaa kapatwa nini...All in all I wish him the best,
 
"didnt want to listen","no proffessional diet habits","no focus and attention" and "absolutely no talent"
Tony been there,done that.when he speaks you better listen!
Now you lot stop calling people "haters" wanapomkosoa mdogo wenu.He had an opportunity,even with minimum or no talent at all,his physicallity could do him better only if "he listened".

Well said man, KUDOS.....
 
Nimecheka kusikia alikuwa mbele Ya James Harden.
Thabeet, the second overall pick in the 2009 NBA Draft, has been a major disappointment, especially considering the fact that he was selected ahead of guys like James Harden, Stephen Curry,DeMar DeRozan and Jrue Holiday. He hasn’t played in the league since the 2013-14 season when he suited up for the Oklahoma City Thunder.
 
Dah umenikumbusha Dullah jamaa alikua anajua na anapiga kazi kwelikweli tena kipindi ambacho wengi walikua wanacheza kibishoo.. hivi aliendaga wapi kucheza yule jamaa ni comoro au sikumbuki vizuri.. dah nimemkumbuka na Obote mwili mkubwa
Enzi hizo
IMG_20190820_233424.jpeg
 
Tufanye wewe hujui kikapu kama mimi!

You are stupid too!

Akikaa NBA ni 10 days max!

Roy Hibbert diffensive player of the year hajapata mkataba ndio nonsense Hasheem adumu NBA?

Fvck outta here!

Y’all motherfvckers are clueless!

So dumb like morning doodoo!
😄😄 it is you again broh wyat
 
Dah umenikumbusha Dullah jamaa alikua anajua na anapiga kazi kwelikweli tena kipindi ambacho wengi walikua wanacheza kibishoo.. hivi aliendaga wapi kucheza yule jamaa ni comoro au sikumbuki vizuri.. dah nimemkumbuka na Obote mwili mkubwa
Mpaka mwaka jana alikua Uganda nafikiri
 
Wakati wenzake walikuwa busy kufanya mazoezi, yeye alikuwa busy kupigana na mateja Dar akina tid na kuongelea haters. 🤷🏻‍♀️
 
Wakati wenzake walikuwa busy kufanya mazoezi, yeye alikuwa busy kupigana na mateja Dar akina tid na kuongelea haters. 🤷🏻‍♀️

Juhudi na nguvu anazotumia Thabeet kwenye fani yake zinaweza kuzidi nguvu unazotumia wewe na ndugu zako wote kwenye fani zisizoeleweka
 
Juhudi na nguvu anazotumia Thabeet kwenye fani yake zinaweza kuzidi nguvu unazotumia wewe na ndugu zako wote kwenye fani zisizoeleweka

Truth be told, wkt Kobe Bryant yuko mazoezini muda mfupi after finals, na akina Dwayne Wade na Team members wenzake , hasheem alikuwa wapi kama si bongo akipiga madongo haters Clouds Fm na kupigana na akina Tid? Wakiwa break kidogo hata wiki 2 Hasheem alikuwa wapi kama si bongo anahangaika na kina jokate wenzie wakiwa mazoezini? Harudi tena nba huyo, imeshatoka hiyo! Abaki huko huko Japan aliko ..
 
Truth be told, wkt Kobe Bryant yuko mazoezini muda mfupi after finals, na akina Dwayne Wade na Team members wenzake , hasheem alikuwa wapi kama si bongo akipiga madongo haters Clouds Fm na kupigana na akina Tid? Wakiwa break kidogo hata wiki 2 Hasheem alikuwa wapi kama si bongo anahangaika na kina jokate wenzie wakiwa mazoezini? Harudi tena nba huyo, imeshatoka hiyo! Abaki huko huko Japan aliko ..

Duh! Kama ni kweli during the off season yakitokea hayo basi jamaa alijiua mwenyewe.
 
Back
Top Bottom