Uchaguzi 2020 Ndugu yetu Tundu Lissu, KUBALI matokeo na ujipange safari ijayo

Hapo kwenye uchaguzi wa haki bora usipaongelee maana huku mtaani kuna wasimamizi wanaongea kila kitu, wanasema jinsi walivyolazimishwa kupenyeza kura feki
Uzushi mtupu, kura fake ziingie kutoka wapi?. Watanzania mbona mnapenda kula takataka?. Hakuna kura fake wala nini watanzania wakiamua yao wameamua.
 
Uzushi mtupu, kura fake ziingie kutoka wapi?. Watanzania mbona mnapenda kula takataka?. Hakuna kura fake wala nini watanzania wakiamua yao wameamua.
Begi alilokamata halima mdee bado haujaliona
 
Lini Chadema waliwahi kukubali Matokeo?. Kugaragazwa mmegaragazwa tu hakuna kisingizio hapa,kisingizio cha kuibiwa kura na bla bla ni upuuzi mtupu. Ingieni barabarani muipate dawa tamu. Mita kumi tu, mwisho.
 
Ongelea yajayo kuhusu Tz ya kijani, ya chadema yaache tu maana kuna tatizo si dogo la miaka 5 bila ruzuku, ss ww unaongelea kujisahihisha sijui marekebisho nyakati hizi za kuwaza michango ya chama itakavyokuwa mingi?.
 
No opposition candidate has ever lost an election and graciously conceded. Not one, since 1995 when the first multiparty general election was held!
Wapo. Wale wanaozoa 1%-5% ya votes. Utawaona tu kwenye hafla fupi ya kumkabidhi cheti JPM.

Si ajabu na Membe nae akawepo mbele kabisa pale
 
Kamanda, umemaliza kila kitu. Hakuna kuvuna bila kupanda. Watanzania wameishangaza dunia nzima. Kuanzia kwenye Corona mpaka uchaguzi mkuu.
 
MATAGA at work

Matokeo ya kura hayaendani na hali halisi japokuwa wapo wengi ambao hawajapiga kura.

Mojawapo ya sababu ya kutokupiga kura wapo wengi ambao hawana imani na electoral process na hii huwezi kuwalaumu wapinzani. Mtu haoni kama walio madarakani wanaweza kukubali kushindwa.

Wamekatishwa tamaa!
 
Ongelea yajayo kuhusu Tz ya kijani, ya chadema yaache tu maana kuna tatizo si dogo la miaka 5 bila ruzuku, ss ww unaongelea kujisahihisha sijui marekebisho nyakati hizi za kuwaza michango ya chama itakavyokuwa mingi?.
Namrekebisha huyo Ndugu yangu hapo anaposema Mimi sio mwanachadema kwani mtazamo wangu kuhusu Kiongozi flani hauna chama and that's me and my opinions. Na naamini kuwa next time watajifunza na kufanya vyema but amani yetu ni mpango mzima aiseeeh.
 
Wewe ni mpiga nduru tu wa CCM usojua lolote tuulize sie tulovaa fulana za chama
je wajua kura nyingi za Magufuli zilipigwa na wafu
je wajua wanafunzi kuanzia form one walipiga kura
na walio wengi wasoenda kituoni kupiga kura sie wasimamizi wa tume tuliwawakilisha
bado kulikuwa na marundo ya kura zilizopigwa tayari
mode futeni na hii post tena kwa maana mmeshaonyesha itikadi
 
Hizo ni hoja fupi, walio piga kura wengi ni kinamama na watu wa makamo Kama wewe binafsi umepiga kura basi umehionea. Vijana wengi hawajapiga kura na sababu mojawapo kubwa hasa ni kutokua na makazi permanent in 5 yrs vijana wanamove Sana na mahala walipojiandikishia panakua mbali Sana na makazi yao mapya na hilo ndo tatizo kubwa kuliko yote na sio kutokua na imani na system. Mbona hawajaingia mtaani Kama wanavyoelekezwa kufanya vijana wa kitanzania sio wajinga kabisa.
 
Lissu na Chadema msikubali udhalimu huu. Kama kuna njia yoyote ya kuudhibiti itumieni hata kama ina madhara kwa taifa letu. Liwalo na liwe!
Ufalme unapatikana kwa nguvu, na wenye nguvu ndio wanaoupata. Hakuna wakati ccm itaondoka madarakani kwa uchaguzi. Huu ndio ujumbe ambao wameuletea upinzani wa Tanzania kwenye uchaguzi huu. Mkisema msubiri uchaguzi wa miaka 5 ijayo wataubaka kama huu. Haki haiombwi. Haki inanyakuliwa kwa nguvu. It's now or never. Huu ni wakati wenu muafaka wa kuchukua haki ya WaTz kuliko wakati mwingine wowote.
 
Wewe ndo mpiga nduru na hujui husemalo kabisa. So you mean umehusika kabisa kwa Kila hali kuingiza hizo kura feki sio? Then wewe ni mjinga wa mwisho kwasaabu huwezi fanya upuyaya Kama huo afu unaposti sahiv hapa na Kama umefanya kwasaabu ya pesa basi wewe pia ni mshenzi wa kutupa na msaliti mkumbwa wa kutupa. Hizo propaganda ndo zinapandishwa pia kule twitter ili kupata sympathy ya mabeberu so as tuanzishe machafuko nchini Kwetu. Narudia kusema watanzania sio wajinga hata siku moja hatutokubali ujinga propaganda Kama hizo. Alafu Unaweza kuta ww hata kituoni hufika Wala kura hijapiga.
 
Namrekebisha huyo Ndugu yangu hapo anaposema Mimi sio mwanachadema kwani mtazamo wangu kuhusu Kiongozi flani hauna chama and that's me and my opinions. Na naamini kuwa next time watajifunza na kufanya vyema but amani yetu ni mpango mzima aiseeeh.
Amani itakuwepo. Wapinzani wametolewa mapema kwenye ligi. Wameumia ila wana amani. Maumivu yataisha soon na watakuwa wapenzi watazamaji. Mm nadhani wanaotakiwa kuwa na hofu ni waliopewa madaraka maana hawana wa kumpa lawama tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…