Uchaguzi 2020 Ndugu yetu Tundu Lissu, KUBALI matokeo na ujipange safari ijayo

Hakuna kitu kibaya kama kulazimisha furaha yani bora uhuzunike hatimaye utakua vizuri! Mleta mada hiyo #1 tu umeandika ila nafsi inakusuta achilia mbali yote yaliyofuatia! Ni mtoto aliyezaliwa 2015 tu ndio atashindwa kujua ccm hawaibi kura kwenye chaguzi ! Ila kila aliyeshuhudia chaguzi zote analijua hilo ila kwa wizi wa mwaka huu it was too much ! Hadi waliokuwa hawajui wamejua zaidi huwa zinaibwaje
 
Wazungu wengi wana mtizamo wao kuhusu Afrika; ambao ni hasi.
 
CCM wakienda ulaya America kuomba omba misaada hupiga magoti huwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa ujinga upumbavu unyanyasaji uonevu mateso ya CCM kwa wapinzani ndipo CCM hugeuka na kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani nyinyi CCM ni mbuzi jike
 
Hakuna uchaguzi Tanzania CCM imefanya vioja maigizo kuuhadaa ulimwengu kuwa kuna uchaguzi
Mh. Magufuli kitendo cha kuwaombea kura wabunge na madiwani ni ishara tosha ya kuwa he was prepared for this battle, narudia kusema hili ni jambo kujifunza na kufanyia kazi sio unaenda jukwaani unaanza kuimiza watu kugoma, kufanya fujo as I said Tanzanians aren't idiots Kama wengi mnvyofikiria hakuna mtu anashidwa kupredict kuwa Kiongozi flani wants this from me or us.
 
Msaada wengi wanaomba mbona, ila kumwaga damu aaaah bana embu kuwa kama mtanzania.
 
Kesho kutakuwa na press ya ACT/Chadema combined. Hakuna kulala kuanzia kesho. Ni ama za Uhai ana Kifo kuanzia kesho baada ya press.

Ukiogopa kuuliwa kwa risasi utauliwa kwa msongo wa mawazo ama njaa.
 
Kesho kutakuwa na press ya ACT/Chadema combined. Hakuna kulala kuanzia kesho. Ni ama za Uhai ana Kifo kuanzia kesho baada ya press.

Ukiogopa kuuliwa kwa risasi utauliwa kwa msongo wa mawazo ama njaa.
Nimeona tangazo, and this was all predicted as I said toka mwanzo Mh. Lissu was predicted toka mwanzo wa kampeni zake. Kinachoumiza zaidi hakuweka effort ya ziada kubadilisha kabisa his scheme na ndo maana hata hitimisho lake lilikua linajilikana and this is what was expected, I expected it kabisaaah so jiandaeni pia kumbiwa kuingia barabarani [emoji38][emoji38]. Lakini pia kwa ninavyoelewa watanzania wenzangu na huyu ndugu yangu minyoo ndo kwanza atakua amembonji[emoji23][emoji23][emoji23]. Kama vipi utatakuta kwenye VPN party ambayo watanzania washaandaa[emoji23][emoji23].
 
Sasa si ukafungue kesi mahakamani mkuu,maana inaelekea una ushahidi wa hatari?
 
Tupo tusio na chochote Cha kupoteza. Uhai wetu hauna maqna tena kwa maisha haya. Bora kufa napigania haki kuliko kufa nimechutama kuiomba haki.

Kesho nasikia harufu ya damu ikinukia puani mwangu halafu nafurahia kuuliwa kwma shujaa.
 
Napinga kabisa kwa nguvu zote wazo la kumtia moyo huyu 'mnanii' kusema eti ajipange kwa kipindi kijacho. Amemaliza zamu yake, amegalagazwa vibaya sana, aende zake.
Nakubaliana na wazo la chadema kujitafakari na kujipanga upya, kwa kujiondoa kabisa kwenye shombo ya lissu (kupinga kila kitu, kushogesha nchi, kuweka rehani madini, kutumiwa na kufadhiriwa na mabeberu, nk). Hakuna mgombea yeyote wa chadema atakayeweza kushinda bila kujivua hiyo harufu mbaya. Watanzania siyo wajinga kiasi hicho.
 
Upo nchini wewe au unaropoka toka kwa mabeberu? Mmekwisha sahau kuwa Magu wenu alipiga marufuku shughuli za kisiasa za vyama vingine. CCM ilianza kampeni hii tangu Magu alivyoingia madarakani 2015 huku akiwakataza vyama vingine
 
Nifute kwaajili gani?, I do support JPM kwani naona na napenda what he has done with this country. If is was up to me ningemwongezea hata 20yrs Kama Mungu angempa uzima. That's my opinions sikuzuii kutoa zako kwani hii ni nchi huru.
Mjomba huu uzi umeandika ukijinasibisha wewe ni mwanachadema ilhali sio kweli tukifuatilia nyuz zako za nyuma
 
CAG Pr.Assad
 
Si Hamia huko marekan kila kitu marekani marekani khaa
 
Andika namba yako ya simu hapa , umepata wilaya.
Subiri utapigiwa.
 
Hicho kiburi tungekuwa nacho kama tungekuwa tunajitegemea hasa kiuchumi.Lakini kwa sasa tusidanganyane wale jamaa walituachia Uhuru wa bendera tu kumbe walikusudia kutuletea ukoloni mbaya kuliko ule wa mijeredi(Ukoloni part II).Ndio maana mara tuwaite mabeberu mara nchi wahisani.Kauli mbili zinazokinzana kutoka katika kinywa kimoja.Na mbaya zaidi tunawaona watanzania wenzetu wenye mawazo mbadala kama maadui zetu badala ya kutafuta njia za kimkakati za kumkabili adui yetu halisi.Tanzania ni yetu sote na bahati mbaya Mungu katupa Tanzania moja tu,hakuna Tanzania nyingine.
 
Nilishawahi kuandika humu.Silaha (ulinzi) bora kabisa wa kiongozi yeyote hasa wa kiafrika ni raia wake.Ukishagundua una maadui wa nje si vema kutengeneza maadui wa ndani tena kwa makusudi.Naamini Gadafi angekuwa anawatreat raia wake kwa haki bila harufu yoyote ya ubaguzi basi hao tunaowaita mabeberu wangekosa pathway.Kiongozi kuonesha waziwazi kwamba kuna raia wako huwapendi na unawafanyia unyama wa aina moja au nyingine ni hatari.Sioni jema hapo.
 
Ingia barabarani kama jeuri unayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…