Ndugu yetu yupo kwenye mtego nchi moja ya hapo Ulaya, tunamtoaje?

Kutambua nchi sio kutambua mji! Toa ushauri Ila Kama huwezi Basi amini ujuaji wako ' lakin usilazimishe kuunga dot ili umjue Huyo mtu ndio lengo lako?
Basi alihamia London na issue imemkuta huko: Endelea kuunga dot.
 
Hata Jimbo la Los Angeles ni nadra sana kukuta jengo lenye ghorofa zaidi ya 31 kwenda juu
Wapi Imeandikwa Ni gorofa 31? Unajua ujuaji mwingne sio kabisa au lengo lenu Ni kuunga dot na wabongo mlivyo mkaaribu hata anapokaa ili atilimuliwe maana wivu Ni mmbaya Sana.
 
Pia Hebu Elezea garama za kupanga huko zipoje kwenye Apartment yanye Room 3 na sebuleni na jiko.... mengne hayawezi kukusaidia achana nayo.
 
Arudi chuo haraka aendelee kufanya kilichompeleka nasema kwa Sauti abadani asijaribu hata kidogo kugusa mke yeyote hapo
 
Ughaibuni unatakiwa kuwa makini sana hasa kama wewe ni mtu mweusi la sivyo wakikuhurumia utapigwa deportation
 
Huu ni uongo bwanaa!!
Uwongo unatoka wapi? Yaani mnaona ajaabu ' kwani kalazimishwa ? Au anaona dalili zote za kutakwa Ila mazingira Ni hatarishi kwake..hivyo Kwan mwanamke hawezi onyesha dalili za kukuitaji Ila Sasa kama mazingira yake Ni hatari utaenda?
 
Amefeli pakubwa
Skia hapo alipita tu huenda yupo nchi nyingne ' hiyo Ni mfano tu lakin yupo hapo ulaya! Nilijua wabongo mmetapakaa hapo ulaya Kama waind pale bongo so ' hiyo code Ni kuleta uhalisia kwa wagumu wa kuamini Ila ucje hisi mtu huko nje ' anaweza kuwa siyo yeye.
 
Hayo mambo yapo kila sehemu kikubwa afanye kilicho mpeleka,ni bora upige nyetu kuliko kuanza kutembea na wake za watu
Akumbuke pia ughaibuni siyo bongo
 
Huwezi jua kila kitu'...ili umjue tulia tu!
 
Kama
Kama wewe ndio Dokta chales basi Tuna madktari wa hovyo sana hapa Bongo.

Ndio maana bado Raia wengi wanapenda kuja kwetu kwa madktari wa mitishamba.

Sasa hapo tutuoe ushauri gani?

Au ni stori ya kutunga?
 
Ngoja aje afyatue vitoto vyeusi Kama wahaya, ndipo atajua wazungu Ni watu gani
πŸ˜„πŸ˜„ Ndio maana amekuwa huru kuomba ushauri! Na kuwa wazi angetaka hayo Ni kimya kimya wala huku yasingefika....Ila nyumba ya Bei nafuu sio mchezo.
 
Kama

Kama wewe ndio Dokta chales basi Tuna madktari wa hovyo sana hapa Bongo.

Ndio maana bado Raia wengi wanapenda kuja kwetu kwa madktari wa mitishamba.

Sasa hapo tutuoe ushauri gani?

Au ni stori ya kutunga?
Mtu akiwa na Jambo lake kuliko kuleta Hapa Ni Basi tu kuna watu wa bure kabisa..
Watu hupima mawazo anachanganya na ya kwake anapata majibu' Sa hihii
Maana ya jukwaa n Nini? Au wataka afanye yasiyo ili mwishoni aje kutekwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…