Ndugu yetu yupo kwenye mtego nchi moja ya hapo Ulaya, tunamtoaje?

Mimi hata kibaha sijafika Ila nilivyowaelewa wadau ni kuwa hakuna apartment ya ghorofa 12 na sio kwamba hakuna majengo ya shughuli nyingine ya ghorofa hizo, Ila pia kuwa makini nahisi wanataka ufunguke zaidi ili wamfahamu muhusika
 
Mtoa post ndo dokta mwenyewe... hao wazungu wanajua saikologia yako unawaza chin mda wote wanachofanya n kukutega ujae wakuhamishe hapo
 
Chai tupu. "
Kuhusu sindano Nurse wa kike hakuwa zamu ikabidi aje achomwe kesho yake'
Acha kuwasingizia mabeberu huu upuuzi. Hapa bongo na ujinga wetu wote hakuna mgonjwa anayeweza ambiwa utachomwa sindano kesho kwa sababu nesi hayupo. Ukitaka kuleta CHAI jipange vizuri.
 
awaepuke wote,aangalie kazi zake tu,na zaidi ya hapo atafute demu ambae yuko free amchukue akae nae hapo kwenye appartment
 
Nchi gani hiyo??? Hii ni chai isiyo na sukari. Uwe mwanafunzi alafu upate kazi hospitali kiasi cha kupewa mpaka wagonjwa??

Chai said who?? Wabongo hatuna exposure kabisa mbona ni kawaida kwa wanafunzi kupewa wagonjwa what if anasoma masters au phd?? Dooh kazi kweli
 

Sweeden nzima na norway hakuna apartment yenye ghorofa 12?? Kweli?? Kuweni serious aisee stop ‘much know’
 
Kupitia uelewa wako Duni bila Exposure yoyote Ni uwongo uaminivyo ww!

Kama umefika hiyo nchi elezea zilipo nyumba za Bei nafuu' Ila kuhusu uwongo cjui nn? Elezea unacho kujua Cha kweli wapi Kuna nyumba au apay za Bei nafuu'??
Hiyo comment imekuuma eeeh!! Maana umeiquote na kuijibu mara nne🤣🤣🤣🤣
 
Chai said who?? Wabongo hatuna exposure kabisa mbona ni kawaida kwa wanafunzi kupewa wagonjwa what if anasoma masters au phd?? Dooh kazi kweli
🤣🤣🤣
Eti exposure, kufanya kazi za kitaaluma nchi za ulaya unahitaji leseni kutoka bodi ya taaluma husika.

Kwa mfano ili ufanye kazi ya udaktari nchini Sweden unahitaji usajiliwe na bodi yao ya usajili ambayo ina masharti kadhaa ikiwa ni pamoja na mafunzo ya mwaka mmoja kwa waliopata elimu ya udaktari nje ya EU/Nordic countries, kujifunza lugha ya ki swidi n.k

Ukiwa mwanafunzi hauwezi kutimiza masharti hayo, kwenye taaluma ulaya sio kama bongo, wako very strict.

BTW, ninesoma elimu ya juu UK, ambako masharti ni magumu zaidi, kwa kifupi ukiwa full time student hauruhusiwi kufanya kazi zaidi ya masaa 20 kwa wiki!

Ndio maana wanafunzi almost wote wanaokwenda kusoma ulaya wanafanya kazi zisizohitaji usajili kama vile cashier, cleaner, bar tending N.K

Alichokiandika mleta mada ni uongo mtupu!
 

Hapana sio uongo shida ni kujifanya mnajua kila kitu wakati hamjui pia mambo mengi sana yanabadilika kuna favors nyingi sana nowadays zinatolewa na serikali husika kwa wanafunzi hasa wanaotoka africa…kusoma UK sio shida unaweza kuwa umesoma UK lakini ni miaka 20 iliyopita[emoji23][emoji23][emoji23]

Mzee mambo yanabadilika…vitu vinabadilika sio wewe tu watu kibao tumesoma nje na kufanya kazi nje tena juzi juzi tu tukiwa na umri mdogo[emoji23][emoji23] na hata haturingi[emoji23] wala hatuna ujuaji tumetulia tu,

Uongo how?? Mtu atunge hii thread kwa faida ya nani???

Hii thread ipo very relevant shida yako/ yenu ujuaji mwingi wakati hamjui kitu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haya, there is no need to argue. Huna unalolijua na kwa bahati mbaya unadhani unajua.
 
Haya, there is no need to argue. Huna unalolijua na kwa bahati mbaya unadhani unajua.

No my brother wewe ndo huna unalolijua ndo maana umekurupuka huko kuja kusema ni uongo[emoji23][emoji23] tupunguze ujuaji…U much know kwenye kila kitu mwisho siku utaonekana mpumbavu kwenye kundi la wajinga
 
Sweeden nzima na norway hakuna apartment yenye ghorofa 12?? Kweli?? Kuweni serious aisee stop ‘much know’
Ndio afu usibishe bishe kwanza ata passport huna..wana Jf wote humu tuko Ulaya na tusha fika Ulaya
 
Acha uongo hapo ni Sweden ghorofa zikizidi sana ni 8.
Kwasababu ya kuogopa matetemeko km Turkey.
Na hamna mtu binafsi amiliki hilo ghorofa yote ni ya Serikali.
Sema alipewa chumba akae na wanachangia sebule ndio akutane na wengine.
Au aonane nao kwenye dining room.
Hela ngumu huko na ulivyosema huyo mama mzee ni anakula pensheni.
Atatoa wapi hela ya kumuhurumia huyo wakati yeye anapewa na Serikali huduma zote.
Hizo nchi utapewa ofa ya mbususu tu.
Hata bia moja hapati.
Na hakuna Dr huko toka third world country apewe mzawa amuhudumie mpk asome lugha na aielewe vyema ili waweze kuwasiliana na mgonjwa.
Madoctor wapo wengi huko na kazi wanafanya masaa ma3 tu kwa kupokezana.
Kiingereza ni km hakuna.
Msilete ujinga hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…