Yani mkuu mpaka unashindwa kujua vinataka nini, unatoka kazini umechanganyikiwa unakuja kumalizia vimeo vingine home, nako unakutana na balaa la kitoto cha watu kimevuta mashavu, mara kizime pc yaan full mazigazi.Aseee. Watoto wa 2000's ni kisanga
Tuonyeshe SMS uliyomtema na kumchana liveMkuu naomba kukuweka sawa.
Hiyo sms ndefu ni sms yake yeye baada ya mm kumuambia ukweli kuwa simuhitaji mana Kuna siku nilimwambia kama Mungu amepanga tuwe wote basi atatupa majibu yeye akajibu hiyo Mimi nikajibu sawa.
Kigoma, Tabora Mmetajwa Sehemu
Kuwa makini usije ukapata murder case aseeYani mkuu mpaka unashindwa kujua vinataka nini, unatoka kazini umechanganyikiwa unakuja kumalizia vimeo vingine home, nako unakutana na balaa la kitoto cha watu kimevuta mashavu, mara kizime pc yaan full mazigazi.
Kuna maisha baada ya ndoa. Huyo mwanamke ni mpumbavu, sijui umempendea nini hapo. Anataka harusi ipendeze kwa ajili ya kupost picha status, hawazi Maisha. Je mkimaliza harusi watu wamekula na kunywa, na nyie mmebaki hapo mmefulia mtakuwa wageni wa nani?Wakuu huyu mwanamke nampenda sana na anadai ananipenda sana, Sasa issue ipo kwenye mahari.
Binafsi Nina 1m kwa ajili ya ndoa ila Cha ajabu yeye anataka 2.6m anataka akiba yote niinvest kwenye mahari na ndoa jamani hii imekaa sawa??
Namuuliza anasema kama vipi tuachane. Mimi nimemwambia ukweli kuwa siwezi kutoa zaidi ya 1.m kama deni sawa ntamalizia yeye anataka 2.6m Sasa ina maana mtu uache kuexpand biashara uwekeze kwenye ndoa?
Hii ipoje wakuuu!
Unataka niprove Nini kwako? Endelea kUamini unavyo amini au huyo demu ni dada Yako? Watu wameshanipa ushauri ni maamuzi yangu kuamuaTuonyeshe SMS uliyomtema na kumchana live
Nimeachana nacho mkuu, nimekubali hasara.Kuwa makini usije ukapata murder case asee
Huo ndio "uanamme" Sasa👍Nilivyokiambia kitafute watoto wenzie kikauliza vipi kuhusu vitu ulivyoninunulia nikacheka kimoyomoyo.
Huo ndio "uanamme" Sasa👍
Asipobadilika mahusiano yatamtesa sana.Huyu anaendeshwa na hisia mwanaume unaendeshwajwe na hisia hakika kuna maumivu mbeleni
SanaaaAsipobadilika mahusiano yatamtesa sana.
huyu demu anaitwa Suzy bila shaka yule wa kiluvya
Alilopoka mmoja hivi nikamwambia poa!nikashngaa kanuna yeye na kuzira!Redflag ya kwanza ni kuandika kwa herufi kubwa neno TUACHANE!
Kimbia uiokoe roho yako...
Umenielewa tofauti ndugu ila sawa kazi njema.Unataka niprove Nini kwako? Endelea kUamini unavyo amini au huyo demu ni dada Yako? Watu wameshanipa ushauri ni maamuzi yangu kuamua
Kaka niruhusu nikutaftie mwanamke wa kisukuma ukasukume maisha huko.