Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemkuta bikra na nimeshaitoa mwaka sasaPumbavu chapa mwendo, kwani anabikra?
Ndio ana 24Siku hizi mahari mnapanga na mademu zenu kwa SMS?
Huyo lazima ni chini ya 25,yupo kwenye kilele cha ubora!
Kama anasema muachane fanya apendavyo, mwambie mimi nimeishia hapoNimemkuta bikra na nimeshaitoa mwaka sasa
Sawa nashukuru sana mkuuKama anasema muachane fanya apendavyo, mwambie mimi nimeishia hapo
Mwanamke hata hujamuoa tayari anakuwa na dharau kiasi hicho?Mzazi wangu kuwa nikitaka mke nimwambie mzazi wangu
Sasa Tabora na Kigoma wamemkosea nini🤣🤣🤣
Yan una 1M halafu unapanga matumizi ya kwenda kuwekeza kwa watu bado unabeba tatizo lao unajimilikisha linakua lako ukiwa umeacha ile Milion kwao mnakuja kuanza upya? Kweli mkuu?Namuuliza anasema kama vipi tuachane. Mimi nimemwambia ukweli kuwa siwezi kutoa Zaidi ya 1.m kama deni sawa ntamalizia yeye anataka 2.6m Sasa inaamaana mtu uache kuexpand biashara uwekeze kwenye ndoa?? Hii ipoje wakuuu!
Yeye ni mndali mtu wa mbeyaHuyu pimbi yeye kabila gani hadi anatolea mifano makabila ya wenzake?
Ulisema umemkuta bikra e?
unatamani angekuwepo apate kelebu moja akili zimrejeeHuyu pimbi yeye kabila gani hadi anatolea mifano makabila ya wenzake?
Ulisema umemkuta bikra e?
Mndali wa namna gani huyo, wandali hawanaga mahari za miln 4 mbonaYeye ni mndali mtu wa mbeya
Ndio nimemkuta bikra ila kwasasa Hana tena
wewe je ni shingapiEh mazito huyo bint ana umri gan na kwann yeye ndo aseme kias Cha mahal na sio wazaz wake
Yeye ni mndali mtu wa mbeya
Ndio nimemkuta bikra ila kwasasa Hana tena
Mchumba wako anapanga vipi mahari?Wakuu huyu mwqnamke nampenda sana na anadai ananipenda sana, Sasa issue ipo kwenye mahali.
Binafsi Nina 1m kwa ajili ya ndoa ila Cha ajabu yeye anataka 2.6m anataka akiba yote niinvest kwenye mahali na ndoa jamani hii imekaa sawa??
Namuuliza anasema kama vipi tuachane. Mimi nimemwambia ukweli kuwa siwezi kutoa Zaidi ya 1.m kama deni sawa ntamalizia yeye anataka 2.6m Sasa inaamaana mtu uache kuexpand biashara uwekeze kwenye ndoa?? Hii ipoje wakuuu!
unatamani angekuwepo apate kelebu moja akili zimrejee