- Thread starter
- #41
Sasa si upige chini
Huyo atakupelekesha huko mbeleni...ama uko tayari kuolewa?
Kwanza anakuandikiaje text kiubabe namna hiyo au ni drama tu hizi unatuletea humu?
Hapana hakuna Drama mkuu,Sasa si upige chini
Huyo atakupelekesha huko mbeleni...ama uko tayari kuolewa?
Kwanza anakuandikiaje text kiubabe namna hiyo au ni drama tu hizi unatuletea humu?
Hapana mkuu hakuna Drama, hiyo ndio hulka yakeSasa si upige chini
Huyo atakupelekesha huko mbeleni...ama uko tayari kuolewa?
Kwanza anakuandikiaje text kiubabe namna hiyo au ni drama tu hizi unatuletea humu?