Ndugu zangu Kuna upendo kweli hapa?

Ndugu zangu Kuna upendo kweli hapa?

Wakuu huyu mwqnamke nampenda sana na anadai ananipenda sana, Sasa issue ipo kwenye mahali.

Binafsi Nina 1m kwa ajili ya ndoa ila Cha ajabu yeye anataka 2.6m anataka akiba yote niinvest kwenye mahali na ndoa jamani hii imekaa sawa??

Namuuliza anasema kama vipi tuachane. Mimi nimemwambia ukweli kuwa siwezi kutoa Zaidi ya 1.m kama deni sawa ntamalizia yeye anataka 2.6m Sasa inaamaana mtu uache kuexpand biashara uwekeze kwenye ndoa?? Hii ipoje wakuuu!
Respect is everything.
Uncle una umri gani sorry for this question, cuz nasikia kinyaa kuhusu hili unaleta utoto na mwanamke wako mtoto mtoto. Hapo nini unataka tukushauri ( Binti kasema 1.mwambie Mama yako akutafutie. 2. Kama vipi tuachane) choose wisely. Alafu unasema Kama vipi utamalizia deni la 1.6M kwanini usitafute hiyo pesa yote utuletee ikiwa kamili ili tukukabidhi Binti yetu mwenye discipline kuzidi Mabinti wote wa humu JF maana inaonekana umeshidwa kumuacha mbali zaidi naona umekosa uvumilivu.
 
Ifike hatua hata wadada waone aibu kuolewa kwa mahari maana ni kama unanunuliwa ati!, ila ndo kwanza wameshupaza shingo wanajipangia mahari kubwa!.

Mkuu achana na huyo kasongo, kwanza umekosea sana hata kuja kutuomba ushauri huyo ilitakiwa unamuacha tu hakuna kuuliza.
Mwanaume Kutoa mahari ni agizo la Mungu KENZY
 
Naandika ushauri huu kwa uchungu sana.

KWANZA, Kupangiwa mahali nje ya uwezo wako wa kawaida ni kukosa utu, wazazi wenye akili ya maisha na wanaojua ndoa ni nini huwa wanampa ruhusa binti apange mahali kwasababu binti ndiye anajua maisha halisi ya mume wake mtarajiwa.

PILI, Kama mwanamke amedai muachane kwasababu hauna Mil. 2 au bajeti yako hairuhusu, mimi nakushauri ni heri uachane naye kweli na utafute maisha mengine kwa hasira. Utapata wa kukuelewa. Wapo mabinti wengi ambao ni waelewa sana na wanatafuta wanaume wa maisha.

TATU, Kama unampenda kweli itakutesa sana kwasababu ushauri tutakaokupa utaona kama haukufai na utaamua uamuzi wako. Ila ni heri uachane naye kabla hajakuambia mengine yatakayokushinda huku ukiwa tayari umeshatoa hela yako ya mahali.
 
Naandika ushauri huu kwa uchungu sana.

KWANZA, Kupangiwa mahali nje ya uwezo wako wa kawaida ni kukosa utu, wazazi wenye akili ya maisha na wanaojua ndoa ni nini huwa wanampa ruhusa binti apange mahali kwasababu binti ndiye anajua maisha halisi ya mume wake mtarajiwa.

PILI, Kama mwanamke amedai muachane kwasababu hauna Mil. 2 au bajeti yako hairuhusu, mimi nakushauri ni heri uachane naye kweli na utafute maisha mengine kwa hasira. Utapata wa kukuelewa. Wapo mabinti wengi ambao ni waelewa sana na wanatafuta wanaume wa maisha.

TATU, Kama unampenda kweli itakutesa sana kwasababu ushauri tutakaokupa utaona kama haukufai na utaamua uamuzi wako. Ila ni heri uachane naye kabla hajakuambia mengine yatakayokushinda huku ukiwa tayari umeshatoa hela yako ya mahali.
Nashukuru sana mkuu
 
Wakuu huyu mwqnamke nampenda sana na anadai ananipenda sana, Sasa issue ipo kwenye mahali.

Binafsi Nina 1m kwa ajili ya ndoa ila Cha ajabu yeye anataka 2.6m anataka akiba yote niinvest kwenye mahali na ndoa jamani hii imekaa sawa??

Namuuliza anasema kama vipi tuachane. Mimi nimemwambia ukweli kuwa siwezi kutoa Zaidi ya 1.m kama deni sawa ntamalizia yeye anataka 2.6m Sasa inaamaana mtu uache kuexpand biashara uwekeze kwenye ndoa?? Hii ipoje wakuuu!
Achana naye
 
Tokea lini mahari ikapangwa na mchumba wa kike?

Tatepa!!

Wakuu huyu mwqnamke nampenda sana na anadai ananipenda sana, Sasa issue ipo kwenye mahali.

Binafsi Nina 1m kwa ajili ya ndoa ila Cha ajabu yeye anataka 2.6m anataka akiba yote niinvest kwenye mahali na ndoa jamani hii imekaa sawa??

Namuuliza anasema kama vipi tuachane. Mimi nimemwambia ukweli kuwa siwezi kutoa Zaidi ya 1.m kama deni sawa ntamalizia yeye anataka 2.6m Sasa inaamaana mtu uache kuexpand biashara uwekeze kwenye ndoa?? Hii ipoje wakuuu!
 
Wewe una MAHALI yeye anataka MAHARI sasa hapo tu ndipo mnapotofautiana.

Jaribu kutafuta MAHARI tuone kama hali itabadilika.
 
Back
Top Bottom