Ndugu zangu Kuna upendo kweli hapa?

Ndugu zangu Kuna upendo kweli hapa?

S
Siku hizi mnajipangia mahari na hapo jamaa hajaminywa vizuri nna sister yangu kipindi anaolewa alimminya jamaa dakika za lala salama mpaka jamaa akaingia madeni ili tu amuoe kimwali wake, usichoamini sasa hivi wanavuka mwaka wa 7 na watoto wawili mkononi na mmoja yupo njiani kumbe zile hela mwanamke kipindi cha uchumba, posa, mpaka ndoa hua mwanamke (mwenye akili) anazirudisha mkishaingia ndani, zingatia nazungumzia mwanamke mwenye akili anachofanya ni kukupima imani yako tu na upendo wako kwake km kweli unampenda utazitafuta hata kwa ku-risk maisha yako ili tu umpe, anazirudishaje kuna namna ya kujifunza vijana hio ni siri ya ka

Siku hizi mnajipangia mahari na hapo jamaa hajaminywa vizuri nna sister yangu kipindi anaolewa alimminya jamaa dakika za lala salama mpaka jamaa akaingia madeni ili tu amuoe kimwali wake, usichoamini sasa hivi wanavuka mwaka wa 7 na watoto wawili mkononi na mmoja yupo njiani kumbe zile hela mwanamke kipindi cha uchumba, posa, mpaka ndoa hua mwanamke (mwenye akili) anazirudisha mkishaingia ndani, zingatia nazungumzia mwanamke mwenye akili anachofanya ni kukupima imani yako tu na upendo wako kwake km kweli unampenda utazitafuta hata kwa ku-risk maisha yako ili tu umpe, anazirudishaje kuna namna ya kujifunza vijana hio ni siri ya kambi
Sio wote wenye akili iyo wengine wanataka mambo mkubwa Kwa ajil ya showoff nakusahau Kuna kesho
 
Hizi ndoa za kileo haziwezi kudumu kbs, hata huyu dogo akikaza fuvu atakula za uso kama mc pilipili muda si mrefu! madogo siku hizi wanaingia kwenye ndoa wakiwa ma-ndezi kbs...ndio maana wanalipa na kupiga magoti wanapomvisha Pete mwali.
 
Ila Binti ana dharau, imagine anamwambia jamaa amwambie mama ake amtafutie mke 😂😂😂. Jamaa Kai hukulia poa hii kauli ila ni nzito saana
Huyu jamaa ata akimuacha huyu dem anaonekana ni wale nice guy wanaowasikiliza madem kwa kila wanachosema
Mwanaume huwezi kuwa timamu unam treat mwanamke kama inavotakiwa kisha huyo mwanamke awe na confidence ya kuandika sms kama hizo
 
Mahari sio inshu ishu nikuishi naye ml 2.6 ni ndogo kwa mahari ila kama ndio unayo mwambie tu
 
Utoto unamsumbua, msamehe bure, hajayajua maisha yanavyokwenda, nenda naye taratibu, ila kaza atachukua nafasi ya mme
 
Wakuu huyu mwqnamke nampenda sana na anadai ananipenda sana, Sasa issue ipo kwenye mahali.

Binafsi Nina 1m kwa ajili ya ndoa ila Cha ajabu yeye anataka 2.6m anataka akiba yote niinvest kwenye mahali na ndoa jamani hii imekaa sawa??

Namuuliza anasema kama vipi tuachane. Mimi nimemwambia ukweli kuwa siwezi kutoa Zaidi ya 1.m kama deni sawa ntamalizia yeye anataka 2.6m Sasa inaamaana mtu uache kuexpand biashara uwekeze kwenye ndoa?? Hii ipoje wakuuu!
Hii kauli "penda" bado hutumika duniani?
 
Back
Top Bottom