Ndugu zangu Kuna upendo kweli hapa?

Ndugu zangu Kuna upendo kweli hapa?

Wakuu huyu mwqnamke nampenda sana na anadai ananipenda sana, Sasa issue ipo kwenye mahali.

Binafsi Nina 1m kwa ajili ya ndoa ila Cha ajabu yeye anataka 2.6m anataka akiba yote niinvest kwenye mahali na ndoa jamani hii imekaa sawa??

Namuuliza anasema kama vipi tuachane. Mimi nimemwambia ukweli kuwa siwezi kutoa Zaidi ya 1.m kama deni sawa ntamalizia yeye anataka 2.6m Sasa inaamaana mtu uache kuexpand biashara uwekeze kwenye ndoa?? Hii ipoje wakuuu!
Unasubiria nini kumwavha?
Mwanamke akikypa masharti halafu akwambie ukishindwa muachane...maliza kazi mapema
 
Kwanza Hana adabu anakuonesha dharau
Mwanamke lazima amueshimu anaempenda
 
sio dharau tu, anaonekana ana sauti kwa jamaa, yaani jamaa ameonyesha kuwa anampenda sana, ndio maana anamjambisha et tuachane kah! mil 2.6 ndogo? wakat kuna wenzake huwa wanaanza kuishi kwanza na wanazaa kabisa ndio mahari zinaenda

Hakuna upendo hapo
 
Ana 24 wazazi wake wanataka 4m yeye amepunguza mpaka 2.6m kisa anadai 1m sio Thamani yake
alaah.! hamna mke garasa hilo muache haraka..kama anakwambia 1m sio thamani yake kwahoyo hio m 2.6 ndio thamani yake..sasa ukishamuoa na thamani yake ameiweka kwenye pesa vp akitokea tajiri mwenye pesa kukuzidi akamuhonga japo milion 5 au akihongwa nyumba,gari na pesa amzalie mtu hakatai huyo..mwanamke anapenda maisha ya juu na kutrend na kufuja pesa atakutia umaskini tu mbaya zaidi hizo ndoa zenu za kanisani hata ukiingia chaka kuivunja kwa maumivu na gharama kubwa ..achana na kupe hilo
 
Wakuu huyu mwqnamke nampenda sana na anadai ananipenda sana, Sasa issue ipo kwenye mahali.

Binafsi Nina 1m kwa ajili ya ndoa ila Cha ajabu yeye anataka 2.6m anataka akiba yote niinvest kwenye mahali na ndoa jamani hii imekaa sawa??

Namuuliza anasema kama vipi tuachane. Mimi nimemwambia ukweli kuwa siwezi kutoa Zaidi ya 1.m kama deni sawa ntamalizia yeye anataka 2.6m Sasa inaamaana mtu uache kuexpand biashara uwekeze kwenye ndoa?? Hii ipoje wakuuu!
Mahali au Mahari? Anakupenda wakati kakwambia kama Vipi muachane? Muache hutakufa
 
Wakuu huyu mwqnamke nampenda sana na anadai ananipenda sana, Sasa issue ipo kwenye mahali.

Binafsi Nina 1m kwa ajili ya ndoa ila Cha ajabu yeye anataka 2.6m anataka akiba yote niinvest kwenye mahali na ndoa jamani hii imekaa sawa??

Namuuliza anasema kama vipi tuachane. Mimi nimemwambia ukweli kuwa siwezi kutoa Zaidi ya 1.m kama deni sawa ntamalizia yeye anataka 2.6m Sasa inaamaana mtu uache kuexpand biashara uwekeze kwenye ndoa?? Hii ipoje wakuuu!
Kenge huyo...aende zake. Mbususu zipo nyingi
 
Back
Top Bottom