Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,153
- 2,647
Treni unapata wasaa mzuri, unapiga story safi na abiria wenzako, mandhari mazuri ya kuvutia, toilet humo humo na vitafunwa na vinywaji unavipata bila shida yoyote, muda wa kusafiri ni mfupiPole sana mkuu
nakumbuka Nakumbuka Nime wai tembea na mkojo toka ilula mpaka uyole mbeya
Mateso niliyo ya pitia niliapa siji kupanda Basi Tena wale viumbe hawana utu