Haki nimeogopa sana[emoji848][emoji848]...Viral load ikiwa undetectable labda awanyunyuzie damu Lita moja.... It is difficult my dear.
Hivi unajua kwa mwanaume kuambukizwa na mwanamke HIV chance yake ni 0.38%, tena hapa ni kwa yule ambaye hatumii dawa?
Ha ha ha hapana hizi story za mtaani.... Virus siyo floating substancesOk ok..
Pia kuna ile ishu wanasema kuwa eti dawa inalewesha virus, so muda mwingi wamesinzia[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Shetan anaplay part za kifirauni sana!...halafu ukishaharibu anakaa pembeni anakuchekaYaani, matokeo yake ndio hayo roho ya kishetani inakuingia.
Mmmh mkuu unatumia salama nini?Condom zime panda bei kishenzi yani safari hii tutakufa kama kuku
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila inaonyesha viko powerful balaa...Ha ha ha hapana hizi story za mtaani.... Virus siyo floating substances
Umenikumbusha swali hapa!
Eti ni kweli Bioline ikikupa majibu + na ukaenda kwenye kipimo kikubwa ni mara chache sana kupata _ results?
Ni kwanini?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]...unataka kunisaidia mkuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha umepinda wewe....Ila inaonyesha viko powerful balaa...
Hivi hata ukipiga gambe havipati stimu kweli?[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni muoga sana, chance hata haiwi 1%Eeeh[emoji134][emoji134]...kwahiyo wanawake ndo rahisi kuambukizwa eeh?
Na nilazima uchubuke ndo unaupata au tu hata normal sex?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni vyema tukajilinda ili tusije kujutua baadaNaona vijana hufunguwa majukwaa mbalimbali ya kutafuna papuchi, au utahalamu wa style mbambali za migegedo na ufundi mwingine mwingi wa kupinduka pinduka kama samaki baharini.
ujumbe
ikiwa kama vijana, cheza vibaya unalo, HIV imekuwa kama moja ya qualification status, hatuogopi na kama tumejisahau kuwa ukimwi upo, in fact , kama huna maambukizi huwezi feel! ila ndugu zetu wengine walio pata maambukizi kwa sababu mbalimbali wao wanafeel na wananielewa nini nazungunza! ngono zembe, ni hatari, siku hizi HIV Tester zipo katika maduka ya madawa, nenda ukajipime na mwenza wako, usienda na mtu bila kupima, tuacheni michezo ya kujichezeaa kamali katika maisha yetu.
tujihadhali, ukimwi bado upo,
[emoji16][emoji16][emoji16]daaah nimepata nguvu sana[emoji123][emoji123]..Wewe ni muoga sana, chance hata haiwi 1%
Cha muhimu msiwe na magonjwa mengine ya Zinaa
Ooh yeah nimeandika vice versa [emoji16]...Hii umeandika kinyume, Bioline haina False negative ikikupa majibu ya negative basi jua ni negative.
Determine ndiyo huwa na specificity
Nimetoka kupima last week!Eeeeh nicheck nikupe utaratibu wa kuvipata
Haki nimeogopa sana[emoji848][emoji848]...
Huu ugonjwa sio vizuri kumcheka mtu kabisa, unajua kwanini?
Ni bahati mbaya kama bahati mbaya/ ajali kama zingine zozote!
Hebu ona kuambukizana ilivyo ngumu? Ndo maana mtu hujiuliza maswali sana akiupata!
But mkuu, nasikia tigo ndio inaongoza kwa kupatisha ukimwi, yaan nasikia ile ni kugusa tu eti kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] huu ugonjwa ulikuja pabaya....mm huwa nasema n ngumu kukikinga na ukimwi aisee hasa kwa watu walio ktk mahusiano na ndoa,coz mtapima Leo mtakuta fresh keshokutwa mwenzio anachepuka anakuletea HIV ......yaan n ngumu sana jmnNdomu mizinguo!
Inabidi ujicommit kwelikweli...
Wengine tumejiweka kwenye ndomu coz bado ndoto zetu hatujazitimiza[emoji134]...so mapenzi ni ile haste haste!
Tukifikisha mamiaka 35_50 full kujiachia[emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekujib best....Ha ha ha umepinda wewe....
Hlf kuna mahali nilikuulizaga kitu ukanipotezea
N kweli ndio....tigo n kugusaHaki nimeogopa sana[emoji848][emoji848]...
Huu ugonjwa sio vizuri kumcheka mtu kabisa, unajua kwanini?
Ni bahati mbaya kama bahati mbaya/ ajali kama zingine zozote!
Hebu ona kuambukizana ilivyo ngumu? Ndo maana mtu hujiuliza maswali sana akiupata!
But mkuu, nasikia tigo ndio inaongoza kwa kupatisha ukimwi, yaan nasikia ile ni kugusa tu eti kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimetoka kupima last week!
Ntakuchek baada ya 3 months mkuu, usijali
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nikufate chemba