Ndugu zangu vijana, UKIMWI unatafuna watu na sio wanyama

Ndugu zangu vijana, UKIMWI unatafuna watu na sio wanyama

Viral load ikiwa undetectable labda awanyunyuzie damu Lita moja.... It is difficult my dear.

Hivi unajua kwa mwanaume kuambukizwa na mwanamke HIV chance yake ni 0.38%, tena hapa ni kwa yule ambaye hatumii dawa?
Haki nimeogopa sana[emoji848][emoji848]...

Huu ugonjwa sio vizuri kumcheka mtu kabisa, unajua kwanini?

Ni bahati mbaya kama bahati mbaya/ ajali kama zingine zozote!

Hebu ona kuambukizana ilivyo ngumu? Ndo maana mtu hujiuliza maswali sana akiupata!

But mkuu, nasikia tigo ndio inaongoza kwa kupatisha ukimwi, yaan nasikia ile ni kugusa tu eti kweli?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenikumbusha swali hapa!

Eti ni kweli Bioline ikikupa majibu + na ukaenda kwenye kipimo kikubwa ni mara chache sana kupata _ results?

Ni kwanini?

Sent using Jamii Forums mobile app

Hii umeandika kinyume, Bioline haina False negative ikikupa majibu ya negative basi jua ni negative.

Determine ndiyo huwa na specificity
 
Naona vijana hufunguwa majukwaa mbalimbali ya kutafuna papuchi, au utahalamu wa style mbambali za migegedo na ufundi mwingine mwingi wa kupinduka pinduka kama samaki baharini.

ujumbe
ikiwa kama vijana, cheza vibaya unalo, HIV imekuwa kama moja ya qualification status, hatuogopi na kama tumejisahau kuwa ukimwi upo, in fact , kama huna maambukizi huwezi feel! ila ndugu zetu wengine walio pata maambukizi kwa sababu mbalimbali wao wanafeel na wananielewa nini nazungunza! ngono zembe, ni hatari, siku hizi HIV Tester zipo katika maduka ya madawa, nenda ukajipime na mwenza wako, usienda na mtu bila kupima, tuacheni michezo ya kujichezeaa kamali katika maisha yetu.

tujihadhali, ukimwi bado upo,
Ni vyema tukajilinda ili tusije kujutua baada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haki nimeogopa sana[emoji848][emoji848]...

Huu ugonjwa sio vizuri kumcheka mtu kabisa, unajua kwanini?

Ni bahati mbaya kama bahati mbaya/ ajali kama zingine zozote!

Hebu ona kuambukizana ilivyo ngumu? Ndo maana mtu hujiuliza maswali sana akiupata!

But mkuu, nasikia tigo ndio inaongoza kwa kupatisha ukimwi, yaan nasikia ile ni kugusa tu eti kweli?



Sent using Jamii Forums mobile app


Yes chance risk yake ni kubwa sana, especially kwa wasiotumia kilainishi
 
Ndomu mizinguo!

Inabidi ujicommit kwelikweli...

Wengine tumejiweka kwenye ndomu coz bado ndoto zetu hatujazitimiza[emoji134]...so mapenzi ni ile haste haste!

Tukifikisha mamiaka 35_50 full kujiachia[emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] huu ugonjwa ulikuja pabaya....mm huwa nasema n ngumu kukikinga na ukimwi aisee hasa kwa watu walio ktk mahusiano na ndoa,coz mtapima Leo mtakuta fresh keshokutwa mwenzio anachepuka anakuletea HIV ......yaan n ngumu sana jmn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haki nimeogopa sana[emoji848][emoji848]...

Huu ugonjwa sio vizuri kumcheka mtu kabisa, unajua kwanini?

Ni bahati mbaya kama bahati mbaya/ ajali kama zingine zozote!

Hebu ona kuambukizana ilivyo ngumu? Ndo maana mtu hujiuliza maswali sana akiupata!

But mkuu, nasikia tigo ndio inaongoza kwa kupatisha ukimwi, yaan nasikia ile ni kugusa tu eti kweli?



Sent using Jamii Forums mobile app
N kweli ndio....tigo n kugusa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom