witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Weee nisipende? ...haha hahaNa kama mwanamke hupendi kusuguliwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weee nisipende? ...haha hahaNa kama mwanamke hupendi kusuguliwa?
Usi shawishike utam ni ulele sema unachelewa tu na inategemea na aina ya kondomHebu nieleweshe vizuri hapa...nakosa mautamu hivi hivi kisa uoga[emoji134]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatupo salama tena.😃yani kula pipi na maganda!?
Halafu watu wanaongea vitu nusu watuambie tujifunze
Vinapatikana kwa mbinde kama ulivyosema!Nilipata juzikati mtoto mkali kutoka Mbeya ,kaja DSM nikamleta getho sasa ikabid nimpimr HIV pale chapu,majibu yalikuwa mazur,baada ya hapo ikafata mechi heavy aisee tamu sasa ....sasa zle vipimo nilikuwa Nazo mbili tu so zmeisha...sasa nimebaki na ile buffer so HV hizi rapid HIV test naweza zipata dukani maana hz za awali nilizipata kwa mbinde balaa!!!
Lkn pia n Mungu tu atulinde kwa sababu ukipima Mara moja huwez kupata fully positive results kabisa labda upime walau Mara mbili ktk nyakati tofauti ila walau kwa kupunguza risk naomba kuelekezwa kama HVO vipimo dukani vinapatikana tena au n haramu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes nimevukaUmesha vuka myaka 30?
Yah yan nasemea ndy unakutana nae then mnaanza mahusiano hata ndani ya miez minne na kwa maisha ya saiv, kuvumiliana wiki 2 tu ni mtihani so kwa mara ya kwanza, tahdhr ipo but for the coming days, huyo boy lazima aungueKusex na mtu mwenye HIV haimaanishi kuwa ndiyo umeshaupata mkuu
Eti Mungu[emoji849][emoji849]....Utamu ulee aisee..hatarii snaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mungu kuweka Ukimwi palee hapana alituweza aiseee
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣Nakufatilia comments zako mama
Mbona kitombi sasa?Kama anatumia dawa vyema, viral load hushuka na cd4 kupanda vizuri..... Mara nyingi wagonjwa wa hivi hawana maambukizi.
U=U, meaning Undetectable=Untrasmittable
Oooh ok ok....yale madonge vipi?Yupo sahihi, ameshinda Stigma.
Stigma ni mbaya sana, wale ambao hawajajikubali na wamenyanyapaliwa hupata magonjwa nyemelezi na clinical failure mapema sana
Nilisubili hili jibu kama nimeuliza mimi ha ha haaa.
Ahaaaahaaaaaaaaaaa[emoji16][emoji16]Aisee yaani wew unawaza k tu hii ni dawa ya Maralia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
LabdaYes nimevuka
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji134]Ahaaa dadadaeeeeiiiiikkkkkii..
Hii tamu sana, nina game leo jioni ya kimrembo fulani mchepuko wacha nijaribishe hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes mkuu...Nilisubili hili jibu kama nimeuliza mimi ha ha haaa.
Nauliza langu je maandalizi ya kutosha ndom laini humalizi haja zako?