Ndugu zangu vijana, UKIMWI unatafuna watu na sio wanyama

Ndugu zangu vijana, UKIMWI unatafuna watu na sio wanyama

Nilipata juzikati mtoto mkali kutoka Mbeya ,kaja DSM nikamleta getho sasa ikabid nimpimr HIV pale chapu,majibu yalikuwa mazur,baada ya hapo ikafata mechi heavy aisee tamu sasa ....sasa zle vipimo nilikuwa Nazo mbili tu so zmeisha...sasa nimebaki na ile buffer so HV hizi rapid HIV test naweza zipata dukani maana hz za awali nilizipata kwa mbinde balaa!!!
Lkn pia n Mungu tu atulinde kwa sababu ukipima Mara moja huwez kupata fully positive results kabisa labda upime walau Mara mbili ktk nyakati tofauti ila walau kwa kupunguza risk naomba kuelekezwa kama HVO vipimo dukani vinapatikana tena au n haramu

Sent using Jamii Forums mobile app
Vinapatikana kwa mbinde kama ulivyosema!

Kitaa hupati

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani huwa inakuwaje eti??

Sent using Jamii Forums mobile app

Ukifanya sex ya kawaida ni asilimia ndogo (nishasahau exactly ni kiasi gani).... Pia sasa hivi kwa matumizi ya ARV inayoshusha viral load to undetectable level maambukizi yameshuka sana. Mtu mwenye viral load undetectable hawezi kuambukiza kama vile tu mtu asiyekuwa na mdudu kabisa
 
Kusex na mtu mwenye HIV haimaanishi kuwa ndiyo umeshaupata mkuu
Yah yan nasemea ndy unakutana nae then mnaanza mahusiano hata ndani ya miez minne na kwa maisha ya saiv, kuvumiliana wiki 2 tu ni mtihani so kwa mara ya kwanza, tahdhr ipo but for the coming days, huyo boy lazima aungue
 
Back
Top Bottom