Ndugu zangu vijana, UKIMWI unatafuna watu na sio wanyama

Ndugu zangu vijana, UKIMWI unatafuna watu na sio wanyama

Asante, najaribu kuelezea haya kwakua yupo dada yangu anaugonjwa huu na tunamtegemea sana kwani hakuna anachotuficha kuhusu hali yake. Mwanzoni tulikua na hofu ya maisha yake kuwa mafupi lakini sasaivi hatuna wasi wasi tena

Juzi tu amepima kipimo cha Ukimwi kile cha Unigold ameonekana mzima, na hiyo sio mara ya kwanza na amaeleza kuwa inatokana na kuzingatia dawa za ARVs pamoja na zile za kuzuia maambukizi. Picha nitatuma hapa ili watu wajue kumpima mtu bado haitoshi kumwaminiView attachment 1063693View attachment 1063695

Mkorintho wa 6
Mkuu huyu kwa alipofikia hata akikutana na mtu hawezi mpatia maambukizi kitu kikubwa cha muhimu ni yeye kujilinda asikutane na mtu mwingine mwenye virusi akampasia tena hapo atakuwa kaleta maambukizi mapya.

[emoji838]
 
Yaaan mi ningekuwa mwanaume nisingesugua K wala nini[emoji848]...kwanza ili nigundue nini?

Ningejiwekea pilau tuangalie mi na demu wangu akilowana na mimi nimedindisha karibia napiz, namuingizia dudu fasta nakojoa nachomoa!...yy akitaka kukojoa atajiju[emoji57]

Nisingesugua K kamwe mweeh!..


Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kuota huujui uanaume with double heads..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona vijana hufunguwa majukwaa mbalimbali ya kutafuna papuchi, au utahalamu wa style mbambali za migegedo na ufundi mwingine mwingi wa kupinduka pinduka kama samaki baharini.

ujumbe
ikiwa kama vijana, cheza vibaya unalo, HIV imekuwa kama moja ya qualification status, hatuogopi na kama tumejisahau kuwa ukimwi upo, in fact , kama huna maambukizi huwezi feel! ila ndugu zetu wengine walio pata maambukizi kwa sababu mbalimbali wao wanafeel na wananielewa nini nazungunza! ngono zembe, ni hatari, siku hizi HIV Tester zipo katika maduka ya madawa, nenda ukajipime na mwenza wako, usienda na mtu bila kupima, tuacheni michezo ya kujichezeaa kamali katika maisha yetu.

tujihadhali, ukimwi bado upo,
Angalau once in a while hii ni post nyeti sana. Shukran kwa kukumbusha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
babuu shemeji yako alikuletea condom!!!??
Anayway, huwa sizitrust hizo thin condom sijui kwa nini. Nimecheki hizo bareskin Amazon zinauzwa dollar 7 kwa 3 in 1.
Jap shemeji yangu sio mzee kama Mengi ni kijana tu wa makamo, Magnum ziko mzuka ni mambo ya ku experience vitu vipya tu. Japo mi sio fan wa mipira ila ule niliukubali. Upo laini tofauti na ile mifuko yenu ya PSI!
 
Uwe na maji hata kama yale ya katerero, ukitumia ndomu huwa yanapungua, yanapokwenda sijui, inawezekana ni labda mwili tu unayavuta pale utakapoanza kutumia ndomu!...waulize wadada wengi watumiaji watakwambia hili so haihusiani na ukavu au la!...

Ni kweli ndomu inachubua, na ukishachubuka ladha ya mapenzi inakata!

But ukinunua expensive condom hayo yote huwezi kuyasikia!...Ni kama mnakulana kavu tuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Me naona ni swala la akili inavyochukulia mgegedo wa ndom tena ndom labda zile mwanamke asizozipenda.. Anawaza hili tendo halitakua na ladha tena.. Anawaza... Anatoa ushrikiano lakin akijua na ndom hainogigi.. Kibailojia K hailowi kutosha wala kurusha katerero usipokua comfortable... K inakua kavu... Anapata michubuko.

Nahisi ndo kinachotokea ase, ndom haileti ukavu ila ni utayari wako tu kupokea kitu cha ndom.. tena ile unayoipenda kimkuno
 
Dah.. ni mara chache sana huwa nasoma uzi wenye page 30+ kuanzia mwanzo hadi mwisho ila huu nimeanza kuusoma tangu jana saizi ndio namaliza. Kwakweli kuna mengi ya kujifunza na ni muhimu tuendelee kukumbushana maana hapa katikati ni kama vile umaarufu wa huu ugonjwa umeshuka na watu hawauzungumzii tena sana. Unaweza kudhani haupo tena.

MASWALI:
1. Kuna sehemu nimewahi kusoma kwamba mtu ukiambukizwa mfano leo, baada ya muda kama wiki 1 - 2 mwili hu react na unaweza kupata homa kali then itapoa na hupati tena dalili pengine mpaka baada ya miaka kadhaa. Hili lina ukweli wataalamu?

2. Ni nini kimepelekea siku hizi mtu ukipima ukakutwa + unapewa dawa hapo hapo hata kama huumwi chochote? Wakati wataalamu wanasema unaweza kuishi na HIV kwa miaka mingi bila kuanza kuugua AIDS? Na ukizingatia ARV zenyewe zina side effects kibao?

Asanteni.
 
Me naona ni swala la akili inavyochukulia mgegedo wa ndom tena ndom labda zile mwanamke asizozipenda.. Anawaza hili tendo halitakua na ladha tena.. Anawaza... Anatoa ushrikiano lakin akijua na ndom hainogigi.. Kibailojia K hailowi kutosha wala kurusha katerero usipokua comfortable... K inakua kavu... Anapata michubuko.

Nahisi ndo kinachotokea ase, ndom haileti ukavu ila ni utayari wako tu kupokea kitu cha ndom.. tena ile unayoipenda kimkuno

Mkuu kiuhalisia wanawake wanachukia condom kuliko sisi wanaume. Ndio maana ukiivaa tu ukavu unakuja wenyewe automatically na pale anakua anafanya tu kukuridhisha wewe ila yeye hayupo tena.
Hata sisi wanaume kuna saa nyingine ukivaa ndom hadi jogoo analala kabisa na mzuka wote unapotea hasa kama uko na mtu uliemzoea.
 
Dah.. ni mara chache sana huwa nasoma uzi wenye page 30+ kuanzia mwanzo hadi mwisho ila huu nimeanza kuusoma tangu jana saizi ndio namaliza. Kwakweli kuna mengi ya kujifunza na ni muhimu tuendelee kukumbushana maana hapa katikati ni kama vile umaarufu wa huu ugonjwa umeshuka na watu hawauzungumzii tena sana. Unaweza kudhani haupo tena.

MASWALI:
1. Kuna sehemu nimewahi kusoma kwamba mtu ukiambukizwa mfano leo, baada ya muda kama wiki 1 - 2 mwili hu react na unaweza kupata homa kali then itapoa na hupati tena dalili pengine mpaka baada ya miaka kadhaa. Hili lina ukweli wataalamu?

2. Ni nini kimepelekea siku hizi mtu ukipima ukakutwa + unapewa dawa hapo hapo hata kama huumwi chochote? Wakati wataalamu wanasema unaweza kuishi na HIV kwa miaka mingi bila kuanza kuugua AIDS? Na ukizingatia ARV zenyewe zina side effects kibao?

Asanteni.
Naomba nilijibu swali namba 2.

Huwenda wameona mtu akitumia dawa virusi vinafubaa uwezo wa kusambaza unapungua ndio maana wanawaanzishia chap na hili limesaidia sana.

kwa wanawake akishajulikana ana mimba na ni + anaanzishiwa dawa hapo hapo ikiwa ni moja ya juhudi za kumkinga mtoto.

[emoji838]
 
Dah.. ni mara chache sana huwa nasoma uzi wenye page 30+ kuanzia mwanzo hadi mwisho ila huu nimeanza kuusoma tangu jana saizi ndio namaliza. Kwakweli kuna mengi ya kujifunza na ni muhimu tuendelee kukumbushana maana hapa katikati ni kama vile umaarufu wa huu ugonjwa umeshuka na watu hawauzungumzii tena sana. Unaweza kudhani haupo tena.

MASWALI:
1. Kuna sehemu nimewahi kusoma kwamba mtu ukiambukizwa mfano leo, baada ya muda kama wiki 1 - 2 mwili hu react na unaweza kupata homa kali then itapoa na hupati tena dalili pengine mpaka baada ya miaka kadhaa. Hili lina ukweli wataalamu?

2. Ni nini kimepelekea siku hizi mtu ukipima ukakutwa + unapewa dawa hapo hapo hata kama huumwi chochote? Wakati wataalamu wanasema unaweza kuishi na HIV kwa miaka mingi bila kuanza kuugua AIDS? Na ukizingatia ARV zenyewe zina side effects kibao?

Asanteni.
Ubarikiwe kwa maswali mazuri
Cc. Esky Eslat, Papa Mohimba, Omerta.
 
Kila kifo lazima kiwe na sababu na hizo sababu hatupangi au kuchagua sisi ni nature ndiyo inayochagua sababu ya kifo cha mtu.kwaiyo kama sababu ya kifo chako itakua ukimwi ndugu hata ujifiche wapi utaupata tu.Ndio ukimwi upo na tunatakiwa tuwe makini lakini ifike tu mahali tujue kua kuna mambo ni zaidi ya uwezo wetu wakibinadamu.Kwaiyo inapobidi ishi tu unavyoweza.Kinachotusumbua uku kwetu ni mapokeo ya jinsi ukimwi ulivyopokelewa.Ila laiti ukimwi ungechukuliwa kama ugonjwa wa kawaida japo wa hatari kama ilivyo saratani,homa ya ini,kisukari,presha hali isingekua hivi kuhusu ukimwi.
 
Uwe na maji hata kama yale ya katerero, ukitumia ndomu huwa yanapungua, yanapokwenda sijui, inawezekana ni labda mwili tu unayavuta pale utakapoanza kutumia ndomu!...waulize wadada wengi watumiaji watakwambia hili so haihusiani na ukavu au la!...

Ni kweli ndomu inachubua, na ukishachubuka ladha ya mapenzi inakata!

But ukinunua expensive condom hayo yote huwezi kuyasikia!...Ni kama mnakulana kavu tuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea kitaalam sana hongera

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom